Ndugu wana JF naombeni mwenye kufahamu mahali ambapo kuna chuo au mwalimu ambae ataniwezesha kuongea vizuri,au kuongea fasaha Lugha ya Wachina,naomba hivyo nikiwa na maana mbili,MOJA....uchumi wao unakuwa kwa kasi sana kias kwamba miaka kumi ijayo yawezekana wakateka soko la kila kitu Dunian,na wao hawapo tayari kujifunza kingereza kwani wanasema siyo Lugha ya kibiashara,MBILI....kila nikutanapo na mchina kwenye Dili mala nyingi nakosa kaz au Dili kwa kutojua au kufahamu Lugha yap,pls mwenye msaada aliepo ndani ya JF naomba msaada juu ya hilo....!!