Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari gani jamani. Mimi ni mmarekani aliyeishi Tanzania miaka miwili kuanzia 2014 mpaka 2016. Nimejiunganisha na jamii forums hivi karibuni tu lakini... Samahani nimechelewa. Basi... Wakati...
18 Reactions
109 Replies
12K Views
Tafsiri sentensi hizi za 'tenses' kwenda kiingereza ujishindie Kitabu chetu cha JIFUNZE KIINGEREZA KWA KISWAHILI. Ni mojawapo ya vitabu vilivyovunja rekodi ya mauzo ndani ya muda mfupi sokoni. 1...
0 Reactions
48 Replies
9K Views
Kikawaida MFU ni mtu aliekufa (kwa lugha ya kuonyesha hadhi ya kiumbe) ambae anaweza akawa katika hali mbili. moja akiwa hai na ya pili akiwa maiti. katika ile hali ya kuwa maiti,mfu anakuwa ni...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Leo nimekutana na kijana, wakati tunaongea ameniambia maneno ambayo Kwa kweli sikumuelewa eti "Mzee Baba" maana yake nini?
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Mist Ever imagine having eyes But you can’t not see Trying so hard and not making a step Imperfections,rejections and being ignored for every step of your way Wanting the love you can not...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Nakumbuka nilikuwa darasa la nne, miaka kadhaa iliyopita, Mwalimu wetu wa Kiswahili ambaye alikuwa jinsia ya Kike,alituambia kuwa kila Mwanafunzi ataje Methali anayoijua au Kujifunza, na Unasema...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Naomba tofauti ya sentensi hizi 1. She is gone. 2.She has gone.
0 Reactions
53 Replies
11K Views
Kiswahili kinazidi kuchungulia kaburi kila siku Kuna mijitu hasa hii ya mjini hasa hasa wadada wanapenda sana kutumia haya maneno ,MTU unamtumia meseji anaishia kujibu P,Mara K,Mara PW Mtu...
9 Reactions
110 Replies
15K Views
SKUNK: any of various common omnivorous black-and-white New World mammals (especially genus Mephitis) of the weasel family that have a pair of perineal glands from which a secretion of pungent...
1 Reactions
0 Replies
478 Views
Heshima kwenu wakuu, kama mjuavyo leo ni siku maalumu, na katika hizi siku maalumu huwa 90% tunatumia wali ule mchafu almaarufu(pilau) sasa nataka nimualike rafiki yangu mzungu ila sijui pilau...
0 Reactions
50 Replies
10K Views
Lugha ya Kiswahili ni lugha maarufu sana katika ukanda wa Afrika ya mashariki hasa nchini Tanzania ambako asilimi kubwa ya watu wake wanakizungumza Kiswahili katika maelewano mazuri licha ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Rafkiangu(yeye hana access na jamii forum) mmoja alikuwa katika majibizano makali na mpenzi wake,mwanamke ni mnyaturu, yeye ni mhehe ss katika moja ya Meseji,akatumiwa message imeambatana na...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jamn msaada wa maana ya hui msemo manaake umekua gumzo sana naona watu wengi wanautumia!! Lakin nikijaribu kkutafsiri nahisi kama ni msemo mchafu!!?
0 Reactions
7 Replies
16K Views
Japo misemo hii ilikuwa hatari kusikika katika masikio ya watu lakini pia baadhi yao waliumia kuisikia na wengine hawakutaka hata misemo hii itamkwe. 1)xxxxxxxx =msemo huu ulianzia ktk nyumba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika pitapita ya kujisomea nimekutana na neno Afande ambapo nimesituka sana na maana ya pili ya neno hilo, hii inatokana na Tabia yangu kupenda kuitana na rafiki zangu "afande" hapa nimejifunza...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Wako baadhi ya watu wanaodhani kuwa kuzungumza lugha ya kingereza ni lazima uwe na elimu,hali ambayo huchukuliwa tofauti kabisa na wakazi wa Arusha. Ikumbukwe kwamba Arusha ni mkoa wa kitalii na...
8 Reactions
36 Replies
6K Views
Jamani naombeni msaada wa hilo neno la kizungu na matumizi yake
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Ni zipi zinapendwa sana katika jamii?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Je, ni kwanini? Na ni nchi zote duniani zinawakilishwa na pronoun "her"?
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini Wadau, Naomba mnijuze tofauti ya kimaana kwa hizo sehemu nilizoziainisha. Kwa kimombo, tafsiri niijuayo ni hii:- ¤ Ufukwe : Beach ¤ Pwani : Coast ¤ Mwambao : ? Utaweza kusikia...
2 Reactions
14 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…