Kiswahili cha wapi hiki?

Dah kweli ujana ni kuambukizana maana hii kitu ni wimbi zito kila saa utalisikia hilo neno.
 
Leo nimekutana na kijana, wakati tunaongea ameniambia maneno ambayo Kwa kweli sikumuelewa eti "Mzee Baba" maana yake nini?



Ni ya kitambo sana, hii nimeanza kuisikia 2008

Ila kuna nyingine nimeiona kwenye wall picture kwa jirani yangu imeandikwa

"Asiyeweza kushukuru kwa kidogo ata kikubwa ashukuru"
 
Kumbe kuishi mikoani kunashida, huyu aliyeniambia huu msemo atakuwa ametokea DSM tu
 
Back
Top Bottom