Jukwaa la Historia

On JF:

Wimbo wa taifa wa Tanzania "Mungu ibariki Afrika" ulibuniwa na mtunzi kutoka Afrika Kusini Enoch Sontonga. Wimbo huu asili yake ni wimbo Nkosi Sikelel’i Afrika aliotunga mwaka 1897. Tafsiri ya...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
PYRAMID linalopatikana Misri lilikua ndio jengo refu zaidi lililojengwa na mwanadamu miaka 4000 iliyopita .Mojawapo ya pyramid refu zaidi huko Misri (Egypt) lina urefu wa futi 481 sawa na jengo...
7 Reactions
15 Replies
7K Views
Tafsiri ya kitabu The Autobiography of Malcom X. Unaweza kukisoma ndani ya Maktaba Sauti app. Muandishi: Malcom X(Alex Haley), 1965. Mtafsiri: Pictus Publishers ltd Email...
10 Reactions
155 Replies
19K Views
KITABU KINACHOHUSU MATESO KATIKA JELA YA KIINUA MIGUU BAADA YA KUUAWAKWA MZEE KARUME 1972 Toka jana baada ya kutoka taarifa ya kuahirisha uzinduzi wa kitabu kwa kuwa hakijapitishwa na BAKIZA...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
MUHIMU: jiji la Mbeya ni wilaya moja tu ndani ya Mkoa na sio wilaya zote za Mbeya WANYAKYUSA Hawa kwa asili sio wazawa wa wilaya ya Mbeya jiji, wametokea wilaya jirani za Rungwe (ulipo mji...
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Alhamisi Aprili 18, 1963: Gazeti likimuonesha Bi. Jean Conrad, Afisa biashara wa Mansfield Telephone Co., akiwa na simu ya mfukoni isiyotumia waya ambayo alisema Mansfielders wataibeba siku moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UTANGULIZI Masiku yamepita huku nikitamani sana kuandika chochote kuhusu Uyahudi na Wayahudi. Kuandika kuhusu chimbuko lao, kuandika kuhusu uhusiano wao na wana wa Israeli,kuandika kuhusu itikadi...
6 Reactions
201 Replies
26K Views
AGA KHAN PATRON WA EAMWS ALIPOKUTANA NA VIONGOZI WA BAKWATA MIAKA YA 1980 Nakusudia In Shaa Allah kuweka hapa makala mbili au tatu hivi kueleza yaliyotokea baada ya miaka mingi na Aga Khan...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna hii nadharia ya Falme iitwayo Tartaria, ambayo inadai kwamba zamani kulikuwa na milki kuu ya ulimwengu inayoitwa Tartaria katikati mwa Asia (kama, ndio, ambapo Watartari wanatoka kweli...
0 Reactions
2 Replies
471 Views
MAKOSA KATIKA HISTORIA YA NYUMBA YA JULIUS NYERERE MAGOMENI KAMA ILIVYOANDIKWA NA DAILY NEWS Daily News la tarehe 9 December 2023 (link hiyo hapo chini) imechapa makala yanayosema kuwa nyumba...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
MZEE MAXWELL NA HISTORIA YA TANU Mzee Maxwell kaniona mimi toka udogo wangu labda hata sijaanza kutembea. Nimemjua Maxwell kwa jina lake hili moja. Maxwell alikuwa pamoja na Dome Okochi Budohi...
0 Reactions
3 Replies
583 Views
HUU NI MFULULIZO WA HISTORIA YA KWELI YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA Sehemu ya kwanza “..kama unasoma ujumbe huu, muda huu… uko mpweke! Pengine ushahidi pekee uliobakia ni kijipande hiki cha...
23 Reactions
242 Replies
61K Views
MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa. Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina...
2 Reactions
8 Replies
811 Views
Labda Tanzania ndiyo taifa teule?
6 Reactions
14 Replies
898 Views
Wakuu, Kwa wale wanaoifahamu Jiografia ya Mkoa wa Kilimanjaro, Huu mkoa umekaliwa sana na Wapare (maeneo ya Same na Mwanga), Wamasai kidogo na Wachaga kwa wingi, takribani kwa wilaya nyingine...
20 Reactions
473 Replies
76K Views
Wakati mwaka 1944 ukiwa unaelekea tamati, hii ni baada ya miaka zaidi ya saba ya vita, mambo yalikuwa yanaiendea kombo Japan.⁣⁣⁣ Uchumi wake ulikuwa umeharibika vibaya, jeshi lake lilikuwa...
29 Reactions
68 Replies
16K Views
ILIKUWA SAFARI NDEFU Ilikuwa siku kama ya leo sasa imetimu mwaka mmoja. Picha hizo hapo chini ni maofisa kutoka Heritage Centre for Liberation of Afrca na TBC wakiwa Ukumbi wa Arnautoglo...
1 Reactions
0 Replies
482 Views
Treni ya Kwanza nchini ilianzia kule Kisiwani Zanzibar mwaka 1879 Treni ya Kwanza Bara ilianza mwaka 1893 Treni ya Kwanza ya TRC ilianza mwaka 1907 kutoka Dar hadi Morogoro kisha mwaka 1909...
2 Reactions
11 Replies
710 Views
Na: Mwalimu Makoba 1 Hadithi ya Idi Amin na wake zake ni miongoni mwa hadithi za kusisimua, kuchekesha na zilizojaa ukatili. Kuwa na wake watano na wote wazuri ni msisimko wa aina yake. Kuwa na...
4 Reactions
46 Replies
9K Views
MFALME CONSTANTINE I WA ROMA Huwezi kuutaja UKRISTO katika dola ya Roma bila kumtaja Mfalme Constantine I ukifanya hivyo huenda historia yako hiyo isikamilike Kwa sababu hapo awali...
15 Reactions
66 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…