Eloi Eloi Lama sabakhtani " Mungu wangu. Mungu wangu mbona waniacha." Je alipokuwa mimba ina maana dunia haikuwa na Mungu? Je Mungu hakuwa na namna ya 'kuwakomboa' hao waliopotezwa na shetani...
ELLEN G. WHITE
Ellen Gould White (née Ellen Gould Harmon; Novemba 26, 1827 - Julai 16, 1915) alikuwa mwandishi na mwanzilishi mwenza wa Kanisa la Waadventista Wasabato. Pamoja na viongozi wengine...
MAKTABA IMEPOKEA JARIDA LA KUMUENZI PROF. ABDALLA BUJRA (1938 – 2025)
Siku chache zilizopita alinipigia simu Prof. Mohamed Khalil Timamy kutoka Takaungu, Mombasa akaniambia kuwa anakwenda Malindi...
Machafuko ya Desemba 2001, yanayojulikana pia kama Argentinazo, yalitokea nchini Argentina kufuatia mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Serikali ilizuia watu kutoa pesa benki (Corralito), hali...
ilianzishwa kama Dola huru la Kongo likiwa mali binafsi ya mfalme Leopold II wa Ubelgiji. Historia yake ni ya aibu na ya ukatili kupindukia.
Utawala wa mfalme ulionekana kuwa wa kinyama na...
Ninawi ni mji mkongwe na uliokuwa maarufu zaidi miaka ya Yona, mji huu unapatikana katika nchi ya Syria karibu kabisa na mji unaoitwa Mosul uliopo Iraq.
Ninawi ulikuwa mji muhimu sana kwa sababu...
harakati za mkwawa zilikua ni kukamata himaya moja baada ya nyingine na kuifanya yake. na alizikamata kwa nguvu. inshort alikua mkoloni na na yeye kwa makabila ya jirani. Hakupanga kuacha, mpaka...
https://youtu.be/CVXxtVyvVPM?si=rF3f154L9fP4pv3c
Baada ya kuangalia kipindi cha Kenneth Kaunda nikaona niweke makala yake niliyoandika mwaka wa 2021 alipotimiza miaka 97.
KENNETH DAVID KAUNDA NA...
MAKTABA: MUHIDIN ISSA MICHUZI NA PICHA ALIZOPIGA MAREHEMU MOHAMED SHEBE
Leo Maktaba imewapokea wapiga picha maarufu na wakubwa katika nayakati zao Muhid ''Ankal'' Issa Michuzi na Mohamed Shebe...
MJUE EUGENE MAGANGA MHUSIKA WA NJAMA ZA KUIPINDUA SERIKALI YA RAIS JULIUS NYERERE Jan 9, 1982.
"Tunajutia tu kushindwa mapinduzi, lakini hatujutii kupanga mapinduzi" -Capt. Eugene Maganga.
JAN...
Zanzibar ndo ulikua Mji wa kwanza kutumia Taa za umeme Afrika na Tanganyika kwa ujumla
Moja kati ya stori ambayo watu wengi hawajui kuhusu Maendeleo kati ya Tanganyika na Zanzibar basi Zanzibar...
Ugweno, Mwanga
Kilimanjaro
Tanzania
HISTORIA YA SHUJAA WAUGWENO WILAYA MWANGA, ALIYEITUMIKIA TANZANIA
https://m.youtube.com/watch?v=0cM3JTfPQpc
Ugweno Mwanga milimani mkoani Kilimanjaro wafungua...
THE LEGACY OF MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE: The Powerful Lesson for Africas New Generation.
ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY
P.O BOX 5079, TANGA.
Authors:
Jilala Simon N. (Assistant...
UZINDUZI WA KITABU KIPYA CHA HISTORIA YA MAPINDUZI ZANZIBAR
Speaker: Mohamed Said
Chairperson: Hamza Zubeir
Date and Time: SUTURDAY 17 August 2024, at 4.00 PM
Venue: ZIRPP...
KESI YA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE No. 2207/58, KESI YA FIDEL CASTRO 1953 NA KESI YA TUNDU LISSU
Nimeamka na Maktaba.
Kwa haraka haraka nimepitia kijuujuu vitabu hivi viwili vya watu...
https://youtu.be/Zv8eSKAM4cU?si=jpAWzFbsa1qG--wS
IPI HISTORIA YA KWELI YA CHAMA CHA TANU?
Nimeweka historia nne za kuasisiwa kwa chama cha TANU.
Kuna historia ya TANU inayoanza na Mwalimu...
"How long shall they kill our prophets while we stand side and look" By Bob Marley
-Biko
-Nkuruma
-Sankara
-Samora
-Nk
WAKE UP AFRIKA WAKE UP BLACK PEOPLE THIS IS YOUR TURN!!