Sijadili udini hapa, lakini ukitafakari kidogo tu utagundua kwamba waislam hupoteza fursa nyingi zinazopatikana kwa kutumia jazba zisizo na tija. Heri kurudi nyuma kutafakari na kujipanga upya...
Tunaposema tunaonewa na kuwaangalia wengine kwa jicho baya la chuki, je, tunaiangaliaje historia yetu kwa jicho lenye ukweli?
Waarabu walikuja kwenye nchi yetu miaka takriban 1000 iliyopita...
Great thinkers,
Nimebahatika kuaccess attached article, nimeipitia critically nikaona ina maswali na majibu mengi kuhusu msigano wa kidini katika nchi yetu. Nawapeni changamoto muisome between...
Ndugu zangu,
Wakati tukijiandaa na maadhimisho ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere tarehe 14 Oktoba 2012 nimewiwa kuanzisha uzi huu. Serikali yetu iliamua kwamba tarehe ya...
Salaam. Je, humu kuna wanahistoria wa maendeleo linganifu ya kiuchumi wanaochambua kazi za Kiekonemetrika za Daron Acemoglu, Simon Johnson na James Robinson (AJR) na watafiti walio shule yao ya...
Tujikumbushe baadhi ya matamshi muhimu kutoka kwa mwasisi wa taifa la India Hayati Gandhi na jinsi yanavyoweza kutusaidia in day to day affairs za nchi yetu na sisi wenyewe, enjoy!!!!!!!!!!
10...
Inasikitisha kuona baadhi ya watu wakibedha uongozi wa Baba wa Taifa Hayati Mwl. J.k. Nyerere kwamba alikuwa mbaguzi kwenye suala/tasinia ya elimu.
Binafsi, naona ni kumvunjia hadhi na heshima...
Ninafahamu kuwa humu ndani ya jamvi kuna hazina kubwa ya watu wenye uwezo, ujuzi na uzoefu wa mengi.
Wazo langu ni kuwa kwa kuenzi siku hii kwa nini kwa wale waliokuwa wanamfahamu/ kumjua etc...
Lawrence Mafuru - MD wa NBC Bank amerudi kuendelea na wadhifa wake baada ya kutokutwa na hatia yoyote kutokana na tuhuma alizopewa. Jamani hivi tutaendelea kweli kama watu watakuwa wanaendeleza...
Nyerere issued the Arusha Declaration, which outlined his socialist vision of ujamaa that came to dominate his policies. The policies led to a collapsing economy, systematic corruption, and...
Ukiacha hivi vimashambulizi vya kuviziana viziana vya baina ya nchi ambazo hapo mwanzo zimewahi kuwa nchi moja kabla ya kamoja kujitenga.
Niko tayari kusahihishwa, lakini kumbukumbu zangu...
Hizi ni video za muhadhara wa Sheikh Mohamed Said alioutowa UDSM kwa MSAUDI. Natumai utafaidika nazo kwa kujuwa historia ya Waislamu Tanganyika.
*Uislamu Tanganyika 1*
Lecture of Mohamed Said at...
If you withhold from your country Ethiopia the death from cough or head-cold of which you would otherwise die, refusing to resist (in your district, in your patrimony, and in your home) our enemy...
ESSAYS
Tanzania: Civil-military Relations and Political Stability
Herman Lupogo
Published in African Security Review Vol 10 No 1, 2001
By some accounts, Tanzania is second from the bottom on...
HAYA NI MAKUBALIANO YALIYOFIKIWA KATI YA VIONGOZI WA ZIMBABWE NA UINGEREZA JINSI YA KUTATUA MAMBO YALIYOKUWA YANAHUSU ZIMBABWE, AMBAPO PM TONY BLAIR ALIYAVUNJILIA MBALI!
SOUTHERN RHODESIA...
Exodus of the Zigula (Somali Bantu)
Max Dashu, Suppressed Histories Archives
Many scholars think that the ancestral Bantu cultures were matrilineal. Even today some cultures retain...
Ni vizuri tukaijua Historia ya Tanzania kidogo. Hapa kuna suala la wananchi kudai matumizi mazuri ya kodi yao. These were PEASANTS putting their GOVERMENT to task. Vijana wa leo hatujakosa mifano...