Great thinkers,
Nimebahatika kuaccess attached article, nimeipitia critically nikaona ina maswali na majibu mengi kuhusu msigano wa kidini katika nchi yetu. Nawapeni changamoto muisome between the lines ili kuona ni wapi tumeteleza, wapi tunaweza kuinuka na wapi tunaweza kuanguka kama taifa.
Ninaamini mchango wako katika context ya Article hii ni muhimu sana katika mustakabali wa Tanzania tuipendayo na tunayoitamani sote bila kujali dini, kabila, rangi, mkoa.
Tanzania yenye matumaini inakutegemea wewe na mimi.
Wasaalam
Nimebahatika kuaccess attached article, nimeipitia critically nikaona ina maswali na majibu mengi kuhusu msigano wa kidini katika nchi yetu. Nawapeni changamoto muisome between the lines ili kuona ni wapi tumeteleza, wapi tunaweza kuinuka na wapi tunaweza kuanguka kama taifa.
Ninaamini mchango wako katika context ya Article hii ni muhimu sana katika mustakabali wa Tanzania tuipendayo na tunayoitamani sote bila kujali dini, kabila, rangi, mkoa.
Tanzania yenye matumaini inakutegemea wewe na mimi.
Wasaalam