Saturday October 18, 2014 the 289th day and 41st week of 2014, there are 75 days and 11 weeks left in the year. Highlights of today in world history...
1867 U.S. takes possession of Alaska
On...
hivi wandugu huu mpango wa TASAF kusajili watu maskini ilhali serikali ikijua fika tunaelekea kwenye chaguzi ndogo za serikali za mitaa na huku serikali ya CCM ikijua fika watu maskini hasa hasa...
Najisikia kuandika kidogo kuhusu Nyerere (Baba wa Taifa),
He was a great man,a father figure and beyond reasonable doubt " the best Politician Africa ever had",but on the other hand It's an...
Kumbe na si watanzania ni noma.
Why did Che Guevara go to Tanzania secretly?
Picha hii yenye maelezo, "Mondlane na Che Guevara, Dar es Salaam, 1965) imepatikana itsdar.net.
The...
Huyu Jamaa....Lah..! Ebu msikilize akiendesha kikao cha 'KAbINET'.....
https://www.youtube.com/watch?v=maoBHjUqLNc
Mbali na ubaya wake.........
Kuna mwenye 'full coverage' ya KIKAO hiki ambayo...
Madhara ya vita ya Kagera baina ya Tanzania na Uganda katika uchumi wa Tanzania yalikuwa machungu sana. Vita hii imekuwa inatumiwa na wanaomchukia Nyerere binafsi, hasa katika utawala wa sasa...
Many outsiders love to thing that Africa as a Continent did not contribute much in world development, maybe we dont agree with that.
However, Africa had a great contribution of DICTATORS, WE...
Kwanini Ujamaa wa Azimio la Arusha 1967 umetucost,Unajua timing ya Ujamaa wa Mwalimu ilikuja baada ya Mahusiano ya Kimataifa baina yetu na Wingereza kuharibika 1965' hii ilitokana na fact kwamba...
Wamejivika ufalme mabegani mwao, wameifanya hii nchi kuwa ni pango la wanyang'anyi toka nje na ndani ya nchi.
Wamekua wakiingia mikataba mibovu na yenye kudhalilisha walio wengi kwa manufaa yao...
Said Amour Arfi.
Naona Huyo mjumbe anawakilisha kundi la walio wachache.
Sasa kama mmeshigawa hivii, kuna haja gani ya kubaki kama kuna wajumbe wanaendelea kutoa maoni kwa niaba yenu.
Jukwaa la kikristo Tanzania limetoa waraka kwa sisi waumini kuhusu mambo yanavyoendelea katika bunge la katiba na kwamba waumini wa kikristo na wote wenye mapenzi mema waikatae katiba...
Jamaa kumbe mshenzi alikuwa, Rais wa Libya aliepinduliwa Muammar al Ghaddafi alikuwa na katabia ka kuwaibia wake zao na watoto wao Marais wenzake, na mara nyingine hapo hapo wakiwepo ziarani, au...
Miaka michache iliyopita baadhi ya wanajeshi wakiungwa mkono na wakazi wa kisiwa kimojawapo cha vinavyounda nchi ya Komoro waliasi na kutaka kujitenga kwa kutumia nguvu ya wanajeshi walioasi...
Bonde la Olduvai ni sehemu maarufu sana hapa Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla. Umaarufu wa bonde hili unatokana na historia yake iliyotukuka kwani ndipo mahali ambapo fuvu la binadamu wa...
Katika vitu nakumbuka ni chaguzi za Hdiyo Hapana najua wazazi wangu walidhurumiwa sana haki yao mimi nawatanzania wenzangu tusikubali hii dhuruma tupiganie haki yetu je wewe hupo tayari...
Sasa hivi kila tukio wizara ya fedha lazima uwe ni wewe uliyelitenda yaani kana kwamba wewe ndiyo kingozi pekee na msemaji huko wizarani. Punguza misifa mkuu, wewe Fanya kazi Watanzania wataiona...
katika siasa za tanzania tumekuwa tukiona migongano ya kimaslahi katika maamuzi mbalimbali yanayo amuliwa katika nyanja tofauti tofauti. Tumeshudia maamuzi ya bunge la jamhuri ya muungano wa...
Wadau, kwa namna waliowengi tulivyoshuhudia namna Jaji Warioba alivyolihutubia Bunge Maalum la Katiba jana 18 Machi 2014 kwa kutamka kwa ufasaha bila woga, unafiki wala upendeleo historia ya...
Leo nimesoma katika gazeti kwamba kuna mtaa huko Palestina utaitwa kwa jina la Nyerere ili kumuenzi katika kuwaunga mkono dhidi ya ukandamizaji toka Israel. Nakumbuka ikisemekana kuna wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.