Jukwaa la Historia

On JF:

Tafadhali moderator. Usiiondoe hii posting.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Ni hivi, haitajwi aliondokaje nchini, lakini alikimbilia Uingereza kupitia uwanja wa ndege nchini Kenya na serikali ya Tanzania ikatangaza baadaye sana. Kuthibitisha hilo, Jumanne ya Januari 23...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
''Mheshimiwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mwanasheria, alikuwa anafundisha wanafunzi Chuo Kikuu. Moja ya vitu alivyokuwa anafundisha ni 'NATURAL JUSTICE'. Mheshimiwa Spika, Wewe pia ni...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
_wengi husema kuwa kiswahili ni: _KIBANTU _KICONGO _KIARABU *KIBANTU: wengi husema kuwa chimbuko ya lugha kiswahili ni kibantu kwa sababu maneno na misamiati yatokanayo na lugha ya...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Siku Nyerere alipotishia kunichapa KIZA kilikuwa kimekwishaanza kutanda nilipoikaribia hoteli ya St. Ermins jijini London. Hoteli hiyo ni ya nyota 4 lakini ina haiba ya aina yake na ipo mahala...
11 Reactions
41 Replies
12K Views
Ni sababu gani zilizopelekea kuasi kwa jeshi 1964?Kwa anaefahamu anisaidie
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kwa wale wenye umri kama wangu watakumbuka vita Tanzania iliyopigana na Idd Amin baada ya majeshi ya Uganda kuvamia sehemu za kaskazini magharibi ya Tanzania. Ikumbukwe kuwa, Ghaddafi alituma...
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Je ulifaham kuwa Ziwa Victoria linebinafsishwa kwa Wazungu kwa muda wa takribani miaka 77 basi kama hukufaham hyo ndo historia fupi sasa je una maoni gani kuhusu jambo hili ambalo lingefanyika...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Na Nova Kambota, Jumatano, 26 June 2013 “Unless not later than 11 a.m , British summer time , today September 3rd ,satisfactory assurances have been given by the German government and...
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Wajukuu wa Mwalimu Nyerere wakiwa na baba yao mdogo, John Nyerere (katikati). Kulia ni Moringe Magige na kushoto ni Julius Makongoro. Picha na Julieth Kulangwa NyereNyerere(katikati) , Picha na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu kama mnakumbuka vizuri mwaka 1984 kulikua na vuguvugu kubwa sana la Kenya kuivamia kijeshi Tanzania. Sababu kubwa ilikua ni mnyukano wa kugombea mali za JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI...
3 Reactions
50 Replies
11K Views
Naomba Tuweke kumbukumbu sawa kidogo...... Picha hii ni ilipigwa miaka ya 90 kipindi Dr. Slaa anahamia Chadema akitokea CCM, Na huyo Mwenye Kaunda suti ndiye alikuwa mbunge wa kwanza Na pekee...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kama picha inavyoonyesha hapo chini Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe na kundi lake wakitoka Mahakamani ambapo bado wanapambana na Serikali mpka leo hii kuhusu Mazisihi ya Bw.Mawazo, sijui ni siku ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Vijana wa zamani habu naomba mnijuze Abdul Omary Masood mtangazaji wa michezo wa redio Tanzania ENZI HIZO aliuwawa na nani? na kwa sababu gani, tunasikia wauwaji wake walimwua yeye tu mbele ya...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Leo ni siku ya kukumbuka jinsi Ma Legendary wetu Mwl. Julius K Nyerere na wanaharakati wengine walivyopigania uhuru wa Tanganyika kwa vitendo. Baada ya miaka 51 ya uhuru leo Tanganyika ni kichwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba mwenye ufahamu anijulishe Marehemu Abeid Amani Karume (04/08/1920 - 07/05/1972) alikuwa ana msimamo gani juu ya Muungano wa Tanganyika? Kuna maandiko yake yoyote juu ya mawazo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia miaka ya 1978 kulikuwa na njaa,je hiyo njaa kulikuwa hakuna mvua na ukame ulizidi ?au vita vya Uganda na Tanzania ndo sababu?au mfumo wa ujamaa wa Mwalimu Nyerere ulichangia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau habari humu!! embu nijuzeni hapa kwa sababu nimejaribu kufuatilia lakini sijapata jibu sahihi ambalo lina mantiki na halina utata. Hivi jina 'TANGANYIKA' lilitoka wapi na nini chanzo chake?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasalaam Ndugu wana jamvi kwa maoni yangu Imefikia wakati wabunge wa ukawa wapiganie muungano wa vyama utambulike kisheria na kupatikana kwa tume huru na matokeo ya uraisi yaweze kuhojiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa marejeo ya kihistoria (historical facts) tunaelezwa kuwa hadi kufikia karne ya 15 Africa na Ulaya walikua katika usawa wa kimaendeleo na kiteknolojia lakini walikuja kutuzidi maada...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…