Tarehe 04 July kwa Wamarekani ni siku ya kusheherekea uhuru wa nchi hiyo na siku hii ni ya mapumziko. Miaka 240 iliyopita 1776 tarehe 4 July Congress ilitangaza Uhuru wa makoloni 13 ya Marekani...
VUGUVUGU HILI LA KUTAKA DEMOCRACY IACHWE KUKANDAMIZWA SIO KWA TUNDU LISSU WA CHADEMA AU ZITTO KABWE WA ACT-WAZALENDO TU
HATA KIPINDI CHA UKOLONI NYERERE...
Mzee huyu(jina limehifadhiwa) ni miongoni mwa wanachama wa TANU mkoani mtwara kwenye miaka ya 1950. anaishi mtwara maeneo ya Kijiji Cha Kianga nje kidogo MJINI Mtwara. amehifadhi barua nyingi sana...
Binadamu wa kwanza katika historia ya Dubai aliishi hapo takriban miaka 3000 BCE (Before Christian Era) wakati huo waliishi watu wa jamii ya nomadic watu ambao ni wafugaji na wawindaji na...
NONDO NNE ZA MASWALI.
[emoji255][emoji253][emoji260][emoji116][emoji116][emoji255][emoji253][emoji260]
Swali la kwanza:
[emoji116][emoji116]
Ikiwa muanzilishi wa Madh-habu...
Napoleon Bonaperte kwa jina linginge Napoleone di Boungartealizaliwa 15 August 1769 na alifariki 05 May, 1821. Alikuwa mwanajeshi wa Kifaransa na pia kiongozi wa kisiasa aliejipatia umaarufu...
Rajab Athmani Matimbwa
Rajab Matimbwa katoka Chole, Uzaramo kaja Dar es Salaam kijana mdogo kutafuta maisha.
Rajab, Bi. Titi ni shangazi yake na akikaa nyumbani kwake Shauri Moyo.
Harakati za...
Huyu ndie rais wa kwanza duniani ni rais wa kwanza wa marekani 1789-1797 amevunja rekodi ya kuwa rais wa kwanza hapa duniani.
Kipindi anakuwa rais nchi nyingi zilikuwa zinatawaliwa kifalme na...
Mtangazaji wa Azam TV Faraja Kiongole na Mwandishi katika Kipindi
Maalum cha Mashujaa
Video itawekwa hivi karibuni In Shaallah...
Katika kipindi hiki nilijaribu kueleza historia ya baadhi ya...
Leo hii ukizungumzia nchi zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo hawezi kuacha kuitaja Japani. Lakini iliwezaje kufikia hatua hii? Historia inasema nini kuhusu maendeleo ya Japani? Nitazungumzia...
Askari wa kikoloni wakifaransa waliwaua Waafrika wengi kwa lengo la kukusanya fuvu zao ili kuimarisha Makumbusho yao ya historia (Museums) na walikuwa wakiingiza fedha nyingi sana kwenye hayo...
Siku kama ya leo tarehe 16 Julai 1976 ni siku ambayo sherehe ya kukabizi shirika la Reli la Tazara kwa nchi za Tanzania na Zambia. Wana JF je kulingana na changamoto ambalo shirika hilo linapitia...
Ebu cheki baadhi ya michoro hiyo. Je sisi watu weusi ni sahihi kuitwa tulikuwa hatujui kusoma na kuandika?
Angalia picha ya tatu kuna helicopta ya kisasa na ya egyptian wanajf tuambizane...
Kama ndio kitu mission kuwa perfecf basi mission aliyofanyiwa jamaa huyu ilikuwa babu kubwa,
Neman Chilomo alisoma Bihawana sec.school miaka ya 70 na baadae Mzumbe A LEVEL. Alikuwa mwenyeji wa...
Yoweri Kaguta Museveni alizaliwa 19 September 1944, ni mwanasiasa wa Uganda ambae amekua rais wa Uganda tangia 29 January, 1986.
Museverni alijiunga na majeshi ya uasi ambayo yamtoa aliyekua rais...
Ndiye alieongoza vuguvugu la uhuru wa Congo na alikua kiongozi wa kwanza aliechaguliwa kwa demokrasia nchini humo, pia ni mwanzilishi wa chama cha Mouvement National Congolais (NMC).
Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa sana na Dutch East Africa, mipango hiyo yote ilizimika baada ya kushindwa kwao katika vita kuu ya pili ya dunia (II WW). Makoloni ya Mjerumani Afrika ilikua...
Mohamed Said: MUFTI SHEIKH HASSAN BIN AMIR - MWINYI BARAKA FOUNDATION ZANZIBAR KONGAMANO LA RAMADHANI 1437/2016
Mwinyi Baraka
Kushoto: Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Julius Nyerere, Sheikh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.