Jukwaa la Historia

On JF:

Wadau kuelekea kuadhimisha miaka 17 ya kifo chake aliyekuwa Spika wa Bunge wa Kwanza wa Bunge la Jamuhuri Ya Muungano ya Tanzania tuna yapi ya kumuelezea ? na yapi ya kujifunza hasa kaatika siasa...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Nelson Mandela daima alitajwa kama 'kiongozi mkongwe wa dunia' ambaye alikuwa na ujuzi wa kutatua matatizo ya kidunia. Sifa yake ya madili mema ilimfanya kuonekama kama mrithi wa Mahatma Gandhi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Zama zimepita wengi wetu hatufaham kua pemba ilikua na pesa yake ambayo ikiitwa Pemba rupes ambayo ilikua na nembo ya karafuu mbili na ilitumika kuanzia 1940 chini ya utawala wa sultan Sayyed...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Binafisi naamini hapa duniani kila mtu anajambo alilowahi kulifanya na kupelekea jamii yake kubaki ikimkumbuka daima. Jambo linaweza kuwa jema au baya,lakini bado atakumbukwa kwa hilo.binafsi kwa...
3 Reactions
205 Replies
58K Views
Published on 5 Sep 2013 Visit of Sir Richard Turnbull, Governor, to Lindi Town Council and to open the Government Indian Secondary School. Source: Adrian Roden
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kaskazini mwa nchi yetu upo mlima maarufu sana wa Kilimanjaro. Chini ya milki ya mlima huo aliishi Mangi maarufu sana aliyeitwa Mandara ambapo jina lake la pili ni Rindi. Mandara alianza kuwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimeshinda Google mchana kutwa kutafatu ramani ya jamuhuri ya watu wanzazibar bila mafanakio.Naomba link wana JF, wajukuu hawanielewi wanafoka babu nchi gani hiyo haina ramani.
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Prof. Ibrahim Noor Shariff Mwanachuoni wa Chuo Kikuu Cha Rutgers, New Jersey, Marekani, Ibrahim ni msomi wa Sanaa, Tarikh (Historia) na Fasihi ya Kiswahili. Prof. Ibrahim Noor Sharif ameandika...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Sio mtahalamu sana ila najua wapo wenye uelewa mkubwa sana kwahili naomba watukumbushe vema ilikuwaje,nani katika hao alikuwa anaunga utumwa na nani alikuwa anapiga vita utumwa,karibu jamaa zangu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanamajlis, Naona kumekuwa na hamu mpya ya kusoma historia ya nchi yetu. Pamoja na kitabu cha Abdul Sykes kipo kitabu kingine kimeandikwa na Ali Muhsin Barwani aliyekuwa kiongozi wa Zanzibar...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Hii ndiyo maana (wikipedia) ya mauaji ya kimbari ni maangamizi ya mpango ya kundi zima la watu au ya sehemu yake kwa msingi wa taifa, kabila, rangi au dini! Sasa nijuavyo mimi Rwanda kuna watu wa...
1 Reactions
39 Replies
11K Views
Kaskazini mwa nchi yetu upo mlima maarufu sana wa Kilimanjaro.Chini ya milki ya mlima huo aliishi Mangi maarufu sana aliyeitwa Mandara ambapo jina lake la pili ni Rindi. Mandara alianza kuwa Mangi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
“Does the white man understand our custom about land?” “How can he when he does not even speak our tongue? But he says that our customs are bad; and our own brothers who have taken up his religion...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Vita vya Uingereza na Zanzibar ndiyo vita fupi zaidi duniani. Ilidumu dak. 38 tu. Ilikuwa 27 Agosti 1896. kwenye vita hiyo majengo yaliharibiwa pamoja na vifo vya raia wengi vilitokea. je sababu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mama Frolence Nightingale RIP amekuwa alama muhimu ya uuguzi duniani kutokana na yale aliyoyafanya kwenye hiyo sekta Tunapoadhimisha siku hii muhimu duniani je Tanzania tuna wauguzi kaliba ya...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Sheikh Ibrahim, Salim Msoma hajaelezea mambo yalivyokuwa kisawasawa. Kundi la vijana waliopata mafunzo Misri haikuwa makusudio ya Misri wala ya viongozi wa Hizbu kumuondoa mfalme. Makusudio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BABA WA TAIFA ALIPOZUNGUMZA UNO KWA MARA YA KWANZA 1955 KUDAI UHURU WA TANGANYIKA MIAKA 61 IMEPITA... TUWAKUMBUKE WAZALENDO WALIOFANIKISHA HAYA Miaka 61 Tangu Nyerere Kwenda UNO New York Kudai...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Vita hivi vilipiganwa mwaka 1896 kati ya Utawala wa kifalme wa visiwa vya Uengereza na Utawala wa kifame wa visiwa vya Zanzibar. Sababu kuu ya vita hivi ni mgogoro wa madaraka uliotokea Zanzibar...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF, habari ambazo zimeondolewa zuio la usiri (chini) toka kwenye makabrasha ya FBI zinaonyesha Taasisi hii kwa muda mrefu baada ya kumalizika vita ilighubikwa na haja ya kuelewa aliko Adolf...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Huyu ndiyo Konrad Zuse (*1910 - 1995 †) ndiye aliyegundua Computer kama tuijuavyo leo hii! Computer yake aliita Z3 ambayo ndiyo mwanzilishi wa Computer hapa Duniani, ingawaje kuna wengi...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Back
Top Bottom