Majanga yanaanzia Septemba 23, 1955, ambapo James Dean raia wa Los Angeles US alinunua gari yake ya michezo aina ya Porsche 550 kwa muuzaji George Barris na akaenda kuiboresha zaidi ionekane vile...
KWENYE PICHA
Kwenye picha hii kuna watu Wanne.
Hao wanaume Weusi
Mmoja ni Susi
Na mwingine ni Chuma Wakiwa Nchini Uingereza Kwenye Mazishi.
Chuma na Susi ndio Waafrika Pekee waliobeba Mwili wa...
Mtawala wa Saadani, Alitawala chini ya Sultani wa Zanzibar kama mkubwa wake lakini akafaulu kutetea nafasi yake kama sultani aliejitegemea.
Mwaka 1882 aliweza kushinda jeshi la Sultani Sayyid...
Umuofia kwenu!
Naomba kujuzwa machache kuhusu Taifa hili, linaloongozwa na Mfalme Mswati (kwa sasa). Kijiografia limezungukwa (limemezwa) na nchi ya Africa Kusini, machache kati ya mengi ni kama...
THE 1966 CRISS; TO ATTACK THE MENGO KABAKA'S PALACE ON MAY 24th 1966
By Comred Mbwana Allyamtu
mbwanaallyamtu990@gmail.com
At the time of the attack, Sir Edward Muteesa, the then 35th Kabaka of...
HOTUBA YA RAIS WA TANGANYIKA JULIUS NYERERE BUNGENI 10 DESEMBA 1962 WAKATI TANGANYIKA INAKUWA JAMUHURI
‘’Hakuna njia nyepesi ya kuondoa tafauti baina ya raia wetu Waafrika na wasio Waafrika...
Kuna muda huwa nawaza kuhusu Iddi Amin nikagundua alikuwa kiongozi mzuri aliyeandikwa vibaya
Iddi Amini angekuwa hai pengine Uganda ingekuwa na maendeleo kupita hata Marekani. Iddi Amini...
(MAZINGE WA INDIA)
Dr. Zakir Naik
Dr. Zakir Naik kwa wale watazamaji wa TV iitwayo Peace Tv inayo endesha vipindi vya dini sio sura ngeni kwa mtaalamu huyu.
Dr. Naik ni mwanaharakati wa dini...
3 Karimjee Jivanjee & Co in Tanzania, 1860–2000: A case for ‘diasporic family firms’1 Gijsbert Oonk Erasmus University Rotterdam Oonk@eshcc.eur.nl To be published in Ute Röschenthaler and...
SAYYID SALIM OMAR L’ATTAS
Nina kawaida kila ninapopata taarifa za historia za watu ambao jamaa zao wapo hai huwa nawapelekea ili ikiwa wana jambo ambalo mimi silijui wapate kunifahamisha na hii...
Azarel kaandika maneno hayo hapo chini:
"Nyerere alikuwa mwerevu na mwenye uwezo mkubwa wa kuongoza.
Aliwafumbua macho wacheza bao, wale wavaa kobasi waliokuwa na Ilmu Akhera tu." Azarel (JForum)...
Kikosi cha kumlinda rais Marekani , kupendekeza msafara wa huyu jamaa uwe kwenye gari ya limousine convertible kuliyagharimu maisha yake.
Natumaini vitengo vya ulinzi wa rais duniani kote...
Moja ya mambo makubwa niliyojifunza Ughaibuni ni namna wenzetu (hasa weupe) wanavyothamini mambo yao ya kale. Na tunaposema “kuhifadhi” si tu watu maarufu au kadhia fulani za kiserikali. Zamani...
KHITMA YA SAIGON CLUB YA IDDI SIMBA MSIKITI WA MTORO
Msikiti wa Mtoro kwa baadhi yetu tuliokulia Dar es Salaam unatukumbusha wengi katika wapendwa wetu ambao wametangulia mbele ya haki.
Binafsi...
Ni kwamba Marehemu Satta,wazazi wake wana asili ya Tabora inaposemekana pia hadi leo pana hotel iitwayo Satta na ndugu zake wengine wapo huko.Inadaiwa hivyo jameni.
Alizaliwa 1937 lakini critics...
MAKARATASI YA "UCHOCHEZI" DHIDI YA SERIKALI SEHEMU YA KWANZA
Wakati natafiti kitabu cha Abdul Sykes nilipata taarifa za kachero Amiri Kweyamba kutoka kwa kinywa cha Ally Sykes.
Ikatokea nikaja...
Katika mambo ambayo mpaka leo yameshindwa kujulikana, ni nani allitengeza sarafu ya Bitcoin ambaye alijipachika jina la Satoshi Nakamoto.
Watu wengi wamekuwa wakihisiwa lakini mwisho inagundulika...
MAKARATASI YA "UCHOCHEZI" DHIDI YA SERIKALI SEHEMU YA PILI NA YA MWISHO
Wakati Ally Sykes yuko ndani nyumbani kwake Mtaa wa Kipata anachapa mikaratasi yake ya "kuchochea," wananchi kujiunga na...
MARA YANGU YA KWANZA KUMTIA MACHONI IDDI SIMBA 1980s
Ilikuwa miaka ya 1980 tuko nyumbani kwa marehemu Bi. Mruguru bint Mussa, mama yake Ally Sykes Mtaa wa Lindi.
Pametokea msiba Bi. Mariamu...
Serikali ya Mkoa wa Singida imefanya uamuzi wa kubadili jina la uwanja wa mpira wa MAMFUA STADIUM na sasa umepewa jina la LITTI STADIUM ikiwa ni hatua muhimu za kumuenzi mwanamke shujaa wa Singida...