"What counts in life is not the mere fact that we have lived, it is what difference wehave made to the lives of others that will determine the significance of the life we had".
The voice of the...
Huyu anaitwa Roy Benavides alikuwa Askari wa Jeshi la Marekani akiwa na cheo cha Staff Sajent, alizaliwa tarehe 05/06/1935 huko Texas, Marekani.
Baba yake Mzee Salvatory Benavides alifariki...
MWAMKO MPYA KUHUSU HISTORIA YA BI. TITI
Mwaka jana 2021 kuanzia mwezi October hadi kufika mwezi kama huu na siku kama hizi nilipokea wageni wengi nyumbani kwangu kutoka vyombo vya habari pamoja...
Tujikumbushe Operation ya kuwaokoa mateka wa ki Israel na mataifa mengine Kwenye uwanja wa ndege wa ENTEBBE nchini Uganda.
Kwa wale wenye ufahamu mkubwa wa hiyo operation watueleze. Tunasikia...
MBONA TUMESAHAU HARAKA KIASI HIKI?
Kitabu hicho hapo chini kiliandikwa kueleza na kuhifadhi yaliyotokea Zanzibar mwaka wa 2001. Nimeweka picha chache labda tutazinduka. Picha nyingine ndani ya...
ATHARI YA MAJINA YA MITAA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA
Mtaa wa Makunganya unaanza karibu ya Msikiti wa Shia ambao uko kwenye kona ya Mtaa wa Zanaki unashuka chini kama unakwenda Picha ya Bismini...
WADAU
AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya...
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia.
Kabla ya kuwepo kwa...
Kama tusingeandika historia yetu waliokuwa hawapo hiki kizazi kipya kisingeijua historia ya Sheikh Hassan Kinyozi.
Tungemzika Sheikh Hassan Kinyozi kama tunavyowazika masheikh wetu...
KUMBUKUMBU YA DAR ES SALAAM DOCKWORKER'S UNION 1948 KATIKA NYERERE SQUARE DAR ES SALAAM 2022
Hapo Nyerere Square palipojengwa jengo la kuvutia mwaka wa 1948 palikuwa na jengo la mbao na paa la...
GAIUS JULIUS CAESAR; MWANASIASA PEKEE ALIYEWAHI KUWA NA USHAWISHI MKUBWA ZAIDI DUNIANI.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Sunday-29/05/2022
Marangu Mtoni, Kilimanjaro Tanzania
Katika historia ya...
Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila...
KWA NINI NILINYANYUA KALAMU?
Naona ukumbi kama vile umejaa na kinachosubiriwa ni kuanza mazungumzo.
Najiuliza mwenyewe kwa nini niliamua kuandika kitabu hicho hapo juu kueleza historia ya TANU...
SHEIKH MOHAMED NASSOR NA KIBAO CHA MTAA WA SHEIKH MUHAMMAD YUSUF BADI
Mashaallah Sheikh Muhammad Nassor kasimama chini ya kibao cha Sheikh Muhammad Yusuf Badi kilichopo mjini Lindi.
Sheikh...
THE STANDARD OF THE REASONABLE MAN’’ (KIWANGO CHA FIKRA YA MTU WA KAWAIDA): MJADALA WA UTEUZI WA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR
Lord Denning wanasheria wanamjua sana kwa hukumu zake...
Wakuu leo nishee na nyinyi kitu hiki.
Historia ya Ng'wana Malunde
Na Emmanuel Kasomi
Maisha ya awali
Ngw'anamalundi alizaliwa katika kijiji cha Mwakubunga Nera katika Wilaya ya Kwimba mkoani...
Mnakumbuka kuhusu hafla ya kumzika malikia Elizabeth ll yalifanyika kwa faragha siku ya mwisho ya kuuweka mwili wake eneo la mapumziko?.
Sasa bwana jambo lile lilizua mjadala huko Uingereza, hoja...
Ilikuwa kwa upande wa akina mama wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nafasi ya kuongoza umma kwa akina mama chini ya TANU ishikwe na Bi. Halima Hamisi au Bi. Titi Mohamed.
Bi. Halima wakati...
CHAMA CHA SIASA KINAPOOGOPA SANDUKU LA KURA
Hili ni jinamizi.
Chama cha siasa kutishika na ''ballot box.''
Vipi utakuwa bondia wakati unaogopa uso wako kuguswa na makonde?
Vipi utakwenda...
HASSAN KINYOZI NA AHMED SEIF: WAAJIRIWA WA KWANZA WA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955
Bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko mikononi mwa watu binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.