Jukwaa la Historia

On JF:

"What counts in life is not the mere fact that we have lived, it is what difference wehave made to the lives of others that will determine the significance of the life we had". The voice of the...
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Huyu anaitwa Roy Benavides alikuwa Askari wa Jeshi la Marekani akiwa na cheo cha Staff Sajent, alizaliwa tarehe 05/06/1935 huko Texas, Marekani. Baba yake Mzee Salvatory Benavides alifariki...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
MWAMKO MPYA KUHUSU HISTORIA YA BI. TITI Mwaka jana 2021 kuanzia mwezi October hadi kufika mwezi kama huu na siku kama hizi nilipokea wageni wengi nyumbani kwangu kutoka vyombo vya habari pamoja...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tujikumbushe Operation ya kuwaokoa mateka wa ki Israel na mataifa mengine Kwenye uwanja wa ndege wa ENTEBBE nchini Uganda. Kwa wale wenye ufahamu mkubwa wa hiyo operation watueleze. Tunasikia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
MBONA TUMESAHAU HARAKA KIASI HIKI? Kitabu hicho hapo chini kiliandikwa kueleza na kuhifadhi yaliyotokea Zanzibar mwaka wa 2001. Nimeweka picha chache labda tutazinduka. Picha nyingine ndani ya...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
ATHARI YA MAJINA YA MITAA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA Mtaa wa Makunganya unaanza karibu ya Msikiti wa Shia ambao uko kwenye kona ya Mtaa wa Zanaki unashuka chini kama unakwenda Picha ya Bismini...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
WADAU AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya...
1 Reactions
2 Replies
814 Views
Mwaka 1869 ulifunguliwa Mfereji mashuhuri wa Suez (Suez Canal), Ni mfereji ambao ulitengenezwa kwa Nguvu ya Binadamu ili Kufupisha safari ya Kutoka Bara la Ulaya Mpaka Asia. Kabla ya kuwepo kwa...
12 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama tusingeandika historia yetu waliokuwa hawapo hiki kizazi kipya kisingeijua historia ya Sheikh Hassan Kinyozi. Tungemzika Sheikh Hassan Kinyozi kama tunavyowazika masheikh wetu...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
KUMBUKUMBU YA DAR ES SALAAM DOCKWORKER'S UNION 1948 KATIKA NYERERE SQUARE DAR ES SALAAM 2022 Hapo Nyerere Square palipojengwa jengo la kuvutia mwaka wa 1948 palikuwa na jengo la mbao na paa la...
3 Reactions
0 Replies
856 Views
GAIUS JULIUS CAESAR; MWANASIASA PEKEE ALIYEWAHI KUWA NA USHAWISHI MKUBWA ZAIDI DUNIANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Sunday-29/05/2022 Marangu Mtoni, Kilimanjaro Tanzania Katika historia ya...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila...
16 Reactions
54 Replies
8K Views
KWA NINI NILINYANYUA KALAMU? Naona ukumbi kama vile umejaa na kinachosubiriwa ni kuanza mazungumzo. Najiuliza mwenyewe kwa nini niliamua kuandika kitabu hicho hapo juu kueleza historia ya TANU...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
SHEIKH MOHAMED NASSOR NA KIBAO CHA MTAA WA SHEIKH MUHAMMAD YUSUF BADI Mashaallah Sheikh Muhammad Nassor kasimama chini ya kibao cha Sheikh Muhammad Yusuf Badi kilichopo mjini Lindi. Sheikh...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
THE STANDARD OF THE REASONABLE MAN’’ (KIWANGO CHA FIKRA YA MTU WA KAWAIDA): MJADALA WA UTEUZI WA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR Lord Denning wanasheria wanamjua sana kwa hukumu zake...
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Wakuu leo nishee na nyinyi kitu hiki. Historia ya Ng'wana Malunde Na Emmanuel Kasomi Maisha ya awali Ngw'anamalundi alizaliwa katika kijiji cha Mwakubunga Nera katika Wilaya ya Kwimba mkoani...
6 Reactions
32 Replies
13K Views
Mnakumbuka kuhusu hafla ya kumzika malikia Elizabeth ll yalifanyika kwa faragha siku ya mwisho ya kuuweka mwili wake eneo la mapumziko?. Sasa bwana jambo lile lilizua mjadala huko Uingereza, hoja...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Ilikuwa kwa upande wa akina mama wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika nafasi ya kuongoza umma kwa akina mama chini ya TANU ishikwe na Bi. Halima Hamisi au Bi. Titi Mohamed. Bi. Halima wakati...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
CHAMA CHA SIASA KINAPOOGOPA SANDUKU LA KURA Hili ni jinamizi. Chama cha siasa kutishika na ''ballot box.'' Vipi utakuwa bondia wakati unaogopa uso wako kuguswa na makonde? Vipi utakwenda...
0 Reactions
2 Replies
642 Views
HASSAN KINYOZI NA AHMED SEIF: WAAJIRIWA WA KWANZA WA TANU SOUTHERN PROVINCE 1955 Bingwa wa historia ya Tanganyika John Iliffe amepata kusema kuwa historia ya TANU iko mikononi mwa watu binafsi...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Back
Top Bottom