Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hatari ya wanafunzi wa chuo kikuu kujiuza kwa awamu nyingine inanukia baada ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutojua hatima ya maisha yao, hali hii inatokana na kutojua tatizo liko wapi na kwanini...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
ndugu wana jf naomba kujua ambaye alisha wahi soma online kozi za BIASHARA vyuo vya marekani maana nategemea march nianze shule 1; sijui ugumu wake na kama kuna usumbufu wa kufanya nishindwe...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Wadau naomba niulize kuhusu wale waliokosa mkopo then wakaappeal mbona kimya?je kuna tetesi zozote kuhusiana na kupata mkopo kwa watu hao?
0 Reactions
1 Replies
775 Views
what is the difference between a state,empire,kingdom and territory
0 Reactions
4 Replies
768 Views
jinamizi la wanavyuo elimu ya juu linazidi kushika kasi katika nchi hii kwa wanavyuo kuzidi kusoteshwa na bodi ya mikopo HESLB. Katika chuo kikuu cha dodoma UDOM wanafunzi wa mwaka wa kwanza...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Mimi mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu cha Dodoma na tangu nianze masomo nilikuwa nawaza namna ya kuwasaidia vijana ambao hawakufanikiwa kuendea mbele na ambao hawajui wafanye wafanye nini...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Some students graduating from various universities in Tanzania have reportedly been buying ‘research papers’ from friends, relatives and even conmen, which are then submitted as original work to...
1 Reactions
1 Replies
966 Views
Leo nimesikia habari kuna mzazi amegoma kumpeleka mtoto wake shule kisa mtoto amemaliza darasa la saba hajui kusoma wala kuandika!according to mzazi huyo mtoto amerudia darasa la saba mara...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Hama kwa hakika watz 2meshindwa kuwa wachunguzi wa mambo, hv unazani serikali inashindwa kutoa AJIRA au wanataka Walimu waajiriwe kwnye sekta nyingine ili idadi ndogo ya walimu wakiajiriwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilisikia habar hii naskia kwamba wanafunzi wanapo maliza kidato cha sita wanatakiwa kujiunga jeshini kabla ya kuendelea na masomo ya chuo kikuu .Si dhani nilazima kwa jambo hili kufanyika japokua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Namtafta mfanyakaz wa bodi ya mikopo na anithbitishie nina sir nzito nataka nimpe coz nimechoka kujua kit na kukificha
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Imetokea ktk chuo hiki kiitwacho utra modern!Hakuna jenereta ktk lecture room,umeme ulipokatika simu zikamulika!!
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Ni kwa mda mrefu sasa shule,vyuo na taasisi nyingine zinazotoa huduma kwa jamii huku zikimilikiwa na makanisa hasa kanisa katoliki yamekuwa yakijidadavua kuwa na malengo ya kuwasaidia watoto na...
2 Reactions
62 Replies
7K Views
walimu kila kona ya nchi hii wamekaa kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea huku wakihamasishana kufelisha kwa nguvu watoto wa tanzania je wadau kizaz cha tanzania inayokuja itakuwa ya aina gani...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mida hii mwanachuo kaacha ujumbe kua anaenda kujiua,mlima wilolesi hapa iringa,tunamtafuta haonekani,first year,tetesi mtihani w jana mgumu.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF. Ninahitaji msaada wa kupata matokeo ya Form 2 kupitia kwenye mtandao. je kuna yeyote anafahamu jinsi ya kuyapata? Naona NECTA wala Wizara hawajaweka mtandaoni.
0 Reactions
2 Replies
8K Views
jamani mie ni mwanafunzi mwaka wa kwanza ...flani cha serikali hapa dar...nasoma bachelor of science in computer science....ila mara kwa mara nikiwa na wenzangu tukiwa tunapiga stori na...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Attached is a list of short courses that the department of Statistics of the University of Dodoma (UDOM) will run for the year 2013.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BRAIN DAMAGING HABITS 1. No Breakfast People who do not take breakfast are going to have a lower blood sugar level. This leads to an insufficient supply of nutrients to the brain causing...
0 Reactions
1 Replies
932 Views
Natanguliza shukurani,,, Kwa wale walioipitia jkt ruvu tupeanea michakato,, nimechaguliwa kambi hiyo Cheers
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom