Jamani wana jamvi wenzangu la elimu nilikuwa naomba kwa yeyote anayefahamu website ambayo nnaweza kushusha vitabu bure bila malipo anisaidie.. vitabu vya masomo ya science lakn kwa A-Level maana...
Ugonjwa wa Kichocho ni ugonjwa hatari unaenezwa na konokono wanaoishi katika maji baridi (yasiyo na chumvi) katika nchi za kitropiki. Ugonjwa huu unasababishwa na minyoo bapa wanaoshambulia zaidi...
Wahitimu wa shahada ambao wamesoma coz moja masomo yanayofanana wote chuo kimoja wote wamejaza form za kuomba ajira wizara ya elimu ajira zimetoka baadhi wameajiriwa wengine wanaachwa wanaenda...
Kwenye website ya chuo cha ardhi kuna link ya kushusha barua hizo, na ukiclick link za barua za program nyingine zinaachia mzigo na unadownload lakini mimi ambaye shida yangu ni kushusha adm...
Habari wana JF UDSM kumekua na utapeli ambao unaendelea, miaka miwili iliyopita UDSM kupitia tawi lake la COET limetangaza kuanzisha kozi ya Record and Archives Management chini ya tapeli mkuu Mr...
Dar es Salaam. The Higher Education
Students Loan Board (HESLB) plans to
spend Sh325 billion in loan disbursement to
students in the 2013/14 academic year.
About 62,000 students, 32,000 new...
Baada ya heka heka , kukosa usingizi na wasiwasi wa muda mrefu, wanafunzi wenye vigezo vya ufaulu kidato cha sita na diploma wamepata matokeo ya vyuo pamoja na kozi walizozichagua, wote twajua...
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.