Msaada wa tovuti nnayoweza kudownload vitabu vya science bure

Matty96

JF-Expert Member
Jul 1, 2013
215
194
Jamani wana jamvi wenzangu la elimu nilikuwa naomba kwa yeyote anayefahamu website ambayo nnaweza kushusha vitabu bure bila malipo anisaidie.. vitabu vya masomo ya science lakn kwa A-Level maana mambo ni mengi na material yanakuwa machache hivyo tunashindwa kufanya kazi ya kusoma effectively ukizingatia mabook mengi bei ziko juu sana.... na vitabu vinahitajika vingi sana..... Msaada please kwa anayefahamu anisaidie mie mwana-PCB
 
MaTT96 if you wanna go for the best you have to surrender some cash... hivyo vitabu unavyovihitaji akina chand, UB, BS, principles of chem and phys nk hata softcopy zake ni pesa tupu....
MY ADVISE
for the time been jaribu kusoma vi-pamphlets vya walimu wa tuition(mgote, mudy, unga, ishu boy, mbuga nj, at some point vita boost your brain, then when you're ready for those large books unaweza kununua
 
Last edited by a moderator:
Daaah... kusoma vi-pamphlets ndo siwezi kabsa yani mpaka nipate kitabu ndo huwa naona nasoma kwa uhakika... kama nikikosa basi sina budi tu kuzama mfukoni aisee kutoa tu pesa for them.... asante kwa ushauri xir jyerphy
 
Daaah... kusoma vi-pamphlets ndo siwezi kabsa yani mpaka nipate kitabu ndo huwa naona nasoma kwa uhakika... kama nikikosa basi sina budi tu kuzama mfukoni aisee kutoa tu pesa for them.... asante kwa ushauri xir jyerphy


Imekaaa poa sana hiyo dogo.... inaonekana wewe sio crammer, when you embrace that spirit ukafanya wonders at your final exam....
kumbuka elimu is of great value hence expensive indeed, ndio mana wanasemaga "kama elimu ni gharama basi jaribu ujinga"
just toil upate pesa ununue hivyo vitabu dogo, pitia maswali from different sources especially necta-review questions, utajijengea experience na confidence ya kutackle maswali
 
kama una bando za kutosha niPM nikutumia vitabu vinne: viwili vya kemia na viwili vya biolojia. Hakikisha una syllabus kabisa maana utanogewa na material yaliyomo na kwenda 'deep' zaidi.
 
kama una bando za kutosha niPM nikutumia vitabu vinne: viwili vya kemia na viwili vya biolojia. Hakikisha una syllabus kabisa maana utanogewa na material yaliyomo na kwenda 'deep' zaidi. Pia nina video za kemia za jamaa anaitwa 'chemguy' hebu cheki intro ya video za huyo jamaa kupitia youtube.
 
Jamani wana jamvi wenzangu la elimu nilikuwa naomba kwa yeyote anayefahamu website ambayo nnaweza kushusha vitabu bure bila malipo anisaidie.. vitabu vya masomo ya science lakn kwa A-Level maana mambo ni mengi na material yanakuwa machache hivyo tunashindwa kufanya kazi ya kusoma effectively ukizingatia mabook mengi bei ziko juu sana.... na vitabu vinahitajika vingi sana..... Msaada please kwa anayefahamu anisaidie mie mwana-PCB
Kuwa na account google(gmail),,,Halafu ingia 4shared.com,,utaweza ku download vitabu vilivyopo apo bure,,,pia ingia bookboon.com,,nayo ina vitabu ambavyo vitaweza kukusaidia,,,pia penda kuuliza maswali kupitia yahoo answers but nako ujiunge coz different people from da world can answer u,,,,,other wise ungekua PCM ngekutaftia maana nlikua na vtabu vng sana vya maths hasa vya wahindi,,,,kama una cash bac,,kuwa na master cad tu,,unaweza pata vtabu online au ka na ww ni wa kuuliza maswali yaani kutafuniwa full kuna tovuti ambazo unauliza swali/una2pia assigment yako,na wanakujibu but kwa malipo,,hiyo apo,,,,assigment.com
 
Asante sana Elninho... Ngoja nicheze na hyo 4shared kwanza nione
 
Back
Top Bottom