I am very glad to announce to those persuing LL.B that apart from providing PhD of Laws, Masters of Laws, Bachelor of Laws, Diploma and Certificate of Laws, now St. Augustine University of...
wewe unaesubiri hebu soma hapa usichanganywe
BODI ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu
(HESLB) inaendelea
kuchambua wanafunzi wa
vyuo vya elimu ya juu,
waliofikia vigezo vya kupewa...
Wapendwa;
Nina ziara na wageni Bagamoyo.Ninaomba Msaada wa Mtu wakutuongoza (guide)
Kazi ni ya siku moja (Wanafunzi wa kitanzania) kwa malipo ya Tsh.20,000/. Kuanzia saa Tatu asubuhi hadi saa nane...
Ndugu zangu inasikitisha mpaka leo majina ya waliomba kusoma kozi mbalimbali kupitia wizara hawajatoa,maana tangazo lao toka mwezi wa kwanza haina maana kuwahisha tangazo wakati majibu mpaka sasa...
NAOMBA CLICK HIZI LINK TAFADHALI NAJITAHIDI KU UPLOAD KADIRI NTAKAVYOWEZA ILA USHAURI MNGESUBIRI BAADAE MAANA WEBSITE YA LOAN BOARD IKO CHINI MAANA WATUMIAJI WAMEZIDI KIPIMO KWA SASA..
UPDATE...
Mi nadhani ifike mahali watu watumie akili, mtu unakurupuka na kuanzisha thread yako ya ajabuajabu tu. Kwanini msitulie na kungoja hadi HESLB watoe wenyewe? Au mnataka tujue kwamba nyie ni...
jaman mbona hawa tcu mambo yao taratibu sana, tangu wametoa nafasi ya kuhama vyuo, mpaka leo hawajatoa majina,na vyuo vimesha funguliwa,hivi hawaoni kama wanawachelewesha wanafunzi masomo?mkopo...
wadau wa jf hasa kwa wale tunaomsubiria huyu bwana heslb kaeni mkao wa kula kwa mtonyo niliopewa na mdananda wa pande hizo anasema kesho mzigo watauweka hewani tho stay tuned by 2moro kuanzia saa nne.
habari wana jf..... leo bodi ya mikopo ya elimu ya juu imeitisha mkutano na waandishi wa habari kwa taarifa zaidi usikose kufuatilia habari ya saa mbili usiku:source mdimu's blog
Nawasilisha
wana JF wale wenzangu na mimi tumuombe mungu kuhusu loan maana huyu jamaa ni kama kifo muda wowote atakuja na huondoka akiwa na sehem mbili wenye furaha na wenye majonzi tukazane kumuomba muumba...
nasema hivyo kwa sababu kuna mijitu ingine bana cjui inakurupuka. toeni taarifa sahihi kwa wakati sahihi. kuna watu wana presha zao huku. so fresh mnavyofanya
Kumekuwa na kasumba ya wa Tanzania kusema elimu ya nje ni rahisi kulingalisha ya TZ. Je ubora means ugumu?. Kwa kufungua mada ningependa kuongelea elimu ya Engineering. Navyofahamu mimi wezetu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.