Naomba mnijuze ada mwanafunzi anachangia bei gani baada ya mkopo.
dogo anasoma hapo na hunipa bei mpya kila muhula . Kesha lipa laki 6 anadai bado 7. Ni kweli?
Wadau naomba mnisaidie katika hili.
Mwanangu ni amefeli kidato cha nne kapata daraja la nne na pointi 40,hataki kurudia (Kureset) sasa naumiza kichwa nimpeleke chuo gani aweze kujiendeleza...
Cku ya kwanza kuripoti afisa utumishi wa manispaa aliwaambia walimu wapya waliopangiwa shy manispaaa kwamba watapewa pesa ya cku 4,coz govt imetuma pesa nusu,wakapewa pesa ya cku 4 cku ya tar...
Naomba mtambue uwepo wangu hapa jukwaani..kwa sasa nimejirekebisha kiasi baada ya kuchezea supp za kutosha katika last semister exams.so kipindi hki ntakua mpole kwa kiasi flani.naomba ushirikiano...
Naomba mniambie wajuzi.
Katk haya matokeo mnaona ninafaa kwenda kuendelea a-leval au chuo..
Na kama a-leval nikasome comb gani?.na kama ni chuo nikasomee nini?
msaada please!
civics-c...
Jamani napenda kutoa ya moyoni kama kuna mwl. aliyepangwa mkoa wa Mtwara na anatoka NJOMBE/LUDEWA tubadilishane mie niende kwetu yeye aje LUDEWA, shule LUANA,KATA LUANA idara msing ni kama chache...
Naongea hivi kama muhanga wa suala la ajira za uwalimu, tokea yatangazwe majina ya uwalimu ni wiki 3 ivi zimepita na wahusika wakuu ni tamisemi kama wizara husika.Baada yakutangazwa aya majina...
ETI NI KWEL POST ZA KWENDA KIDATO CHA TANO ZIKO KARBU KUTOKA?
na ni jinsi gan wizara ya elimu inafanya selection.wanatumia wakuu wa shule au computer ndo zinachagua electronically,nijuze wana-jf
kwanza posho ya kujikimu haieleweki mikoa baadhi wamepewa za siku saba na nauli zao kwingine wamepewa za siku tatu nauli hawajapewa jingine baadhi ya mikoa walimu ngazi ya shahada waliokuwa hawana...
Jamani msaada, Nimeshindwa kupokelewa katika halimashauri fulani (jina nalihifadhi) kisa sina transcript nami nina provisional results ambayo ina matokeo yoote mpaka Overall GPA.
Wakati...
Toka mlivowapa pesa ya kujikim ya cku 4,cku ya tar 2/4 mpaka leo kimya,nauli zao hamjawapa na pesa yao ya cku 3...mnategemea waish vp hawa watumish wetu uku ugenin..?kuwen wastaarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.