Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba mnijuze ada mwanafunzi anachangia bei gani baada ya mkopo. dogo anasoma hapo na hunipa bei mpya kila muhula . Kesha lipa laki 6 anadai bado 7. Ni kweli?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Njoo Mara Serengeti nije moro,iringa,NJOMBE.call 0763490332
0 Reactions
5 Replies
864 Views
Wadau naomba mnisaidie katika hili. Mwanangu ni amefeli kidato cha nne kapata daraja la nne na pointi 40,hataki kurudia (Kureset) sasa naumiza kichwa nimpeleke chuo gani aweze kujiendeleza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepewa hela ya kujikimu siku tatu,nauli yangu sijarudishiwa,then watoto 250,mikondoA,B,C,D,E,majanga.
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Cku ya kwanza kuripoti afisa utumishi wa manispaa aliwaambia walimu wapya waliopangiwa shy manispaaa kwamba watapewa pesa ya cku 4,coz govt imetuma pesa nusu,wakapewa pesa ya cku 4 cku ya tar...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Naomba mtambue uwepo wangu hapa jukwaani..kwa sasa nimejirekebisha kiasi baada ya kuchezea supp za kutosha katika last semister exams.so kipindi hki ntakua mpole kwa kiasi flani.naomba ushirikiano...
1 Reactions
53 Replies
2K Views
Naomba mniambie wajuzi. Katk haya matokeo mnaona ninafaa kwenda kuendelea a-leval au chuo.. Na kama a-leval nikasome comb gani?.na kama ni chuo nikasomee nini? msaada please! civics-c...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Hawa necta vp
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani napenda kutoa ya moyoni kama kuna mwl. aliyepangwa mkoa wa Mtwara na anatoka NJOMBE/LUDEWA tubadilishane mie niende kwetu yeye aje LUDEWA, shule LUANA,KATA LUANA idara msing ni kama chache...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Home Politics and policy Politics and policy Search now starts for private varsities to tap State-funded students Share Bookmark Print...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar? naomba kuuliza eti TIA wamesha anza kutoa form za maombi kwa ngazi ya cheti? Pia kama tayari watu wameshaanza kurudisha hizo form?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"STANDARDS LEVEL THE PLAYING FIELD" Unapata picha gani juu ya hiyo nukuu hapo juu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naongea hivi kama muhanga wa suala la ajira za uwalimu, tokea yatangazwe majina ya uwalimu ni wiki 3 ivi zimepita na wahusika wakuu ni tamisemi kama wizara husika.Baada yakutangazwa aya majina...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
ETI NI KWEL POST ZA KWENDA KIDATO CHA TANO ZIKO KARBU KUTOKA? na ni jinsi gan wizara ya elimu inafanya selection.wanatumia wakuu wa shule au computer ndo zinachagua electronically,nijuze wana-jf
0 Reactions
11 Replies
5K Views
kwanza posho ya kujikimu haieleweki mikoa baadhi wamepewa za siku saba na nauli zao kwingine wamepewa za siku tatu nauli hawajapewa jingine baadhi ya mikoa walimu ngazi ya shahada waliokuwa hawana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani msaada, Nimeshindwa kupokelewa katika halimashauri fulani (jina nalihifadhi) kisa sina transcript nami nina provisional results ambayo ina matokeo yoote mpaka Overall GPA. Wakati...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana Jf anaeijua hii course anisaidie wap ina apply haswa?
0 Reactions
0 Replies
624 Views
mimi ni mwalimu wa shahada ajira mpya, nahitaji mwalimu wa kubadilishananae kituo. Npo bukoba manispaa. Mawasiliano yangu ni 0789152076
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Toka mlivowapa pesa ya kujikim ya cku 4,cku ya tar 2/4 mpaka leo kimya,nauli zao hamjawapa na pesa yao ya cku 3...mnategemea waish vp hawa watumish wetu uku ugenin..?kuwen wastaarabu
0 Reactions
0 Replies
858 Views
kwa wale waliokuwa wanataka aplication form kwa ordinary diploma dar es saalam institute of science and technology waichukue hapo www.dit.ac.tz
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom