kunahabari nimeipata hv punde kuwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kuwa wamebadili mihula yao kwa wale wadiploma wataanza mwezi wa tisa hizo ni tetesi tu badoo hazijasibitishwa
Baada ya kukosa mshahara "kwenye mazingira ya kutatanisha' umefuatilia wee! Hadi basi mwishowe ukaamua kuaply plan b (wengine walikopa)., ukitegemea salary mwezi huu itaflow!
sasa kwa kuwa...
Kama hujui maana ya chemba nenda shule za boarding za serikali zile za zamani (kongwe) hakika utazijua.
Ni mahali ambapo kikundi cha wanafunzi kuanzia watatu hadi watano ambamo huwa wanapiga msuli...
Wanafunzi wa elimu ya juu hatujapewa hela zetu za mkopo,najiuliza kulikoni? katika utawala jambo la utoaji wa taarifa huwa ni muhimu watu angalau wapate matumaini! Au tunabaguliwa kwkuwa sio vyuo...
nyumba kidogo nbaa walitoa rivised excemption policy ilisema kuwa kutakuwa na excemption ya paper by paper kwa watu waliosoma bussiness related subject(non accounting ) mm nimesoma corporate...
Kuna kitabu kiliwahi kuchapishwa chenye jina "Mafisadi wa Elimu", kitabu hicho kinatamka kuwa William Lukuvi, ambaye kwa sasa ni waziri wa nchi sera uratibu na bunge ana elimu ya darasa la 7...
Last year,the budget of ministry of education and vocational training was more than fifty percentage of the whole budget,but still most of the students got chance to join higher learning...
Kwa niaba ya rafiki yangu anatafuta kazi ya kufundisha shule ya msingi yenye mchepuo wa kiingereza (english medium primary school) katika mikoa ifuatayo mbeya, iringa na njombe. Amehitimu mafunzo...
Habarini wapendwa.
Kuna hili suala la ufaulu limekuwa ni gumzo, kila mtu ana judge kadri aonavyo, eidha kwa mazoea au kimantiki.
Binafsi hili suala la ufaulu nimeliweka katika mafungu mawili...
Jaman wana chama wa nyabu mpoo? Tangu shule ifunguliwe mwaka 2014 ndo mwaka uliofanya vizur vyenye aijawah kutokea katika shule yetu yaan division one ya p.10 haijawah kutokea au xio? Ulizen...
samahani wanajukwaa naomba ushauri, nlifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidate combination ya HGK mwaka jana matokeo ya ngu nlikuwa nna III ya point 13 ingawa GS nlipata F...
Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama...
habari zenu wakubwa. Wanaosoma bridging course na kuhitimu wanaomba kujiunga na degree kwa njia ipi!? Hii ya TCU au kutuma moja kwa moja maombi chuoni!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.