Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wadau naombeni mnijuze wap naweza pata chuo kinachofundisha course tajwa hapo juu...tanzania au nje ya tanzania
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kunahabari nimeipata hv punde kuwa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kuwa wamebadili mihula yao kwa wale wadiploma wataanza mwezi wa tisa hizo ni tetesi tu badoo hazijasibitishwa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kukosa mshahara "kwenye mazingira ya kutatanisha' umefuatilia wee! Hadi basi mwishowe ukaamua kuaply plan b (wengine walikopa)., ukitegemea salary mwezi huu itaflow! sasa kwa kuwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wale Wote Mlowahi Kusoma Baptist Mnahitajika Kuunda Jumuia Ya Tulosama Au Kufanya Kazi Hapo Haptist Magomeni,mjulishe Na Mwenzako
0 Reactions
0 Replies
675 Views
ni mtahiniwa wa mwaka 2013. Nilikuwa naomba kujua kujua nawezaje ku apply kwa kujiunga na masomo ya afya kwa vyuo vya serikali..
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Kama hujui maana ya chemba nenda shule za boarding za serikali zile za zamani (kongwe) hakika utazijua. Ni mahali ambapo kikundi cha wanafunzi kuanzia watatu hadi watano ambamo huwa wanapiga msuli...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanafunzi wa elimu ya juu hatujapewa hela zetu za mkopo,najiuliza kulikoni? katika utawala jambo la utoaji wa taarifa huwa ni muhimu watu angalau wapate matumaini! Au tunabaguliwa kwkuwa sio vyuo...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Oya vijana Kujifungulia Thread kila mtu akiuliza swali Lile lile tu Post lini post lini ! Mnachafua Jukwaa la waungwana ! Thread zimezidi sasa ! !
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Sorry jamani eti form six wameanza kuomba mikopo? na kama ndivyo hiyo form inapatikana wapi? NATANGULIZA SHUKRANI
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nyumba kidogo nbaa walitoa rivised excemption policy ilisema kuwa kutakuwa na excemption ya paper by paper kwa watu waliosoma bussiness related subject(non accounting ) mm nimesoma corporate...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Kuna kitabu kiliwahi kuchapishwa chenye jina "Mafisadi wa Elimu", kitabu hicho kinatamka kuwa William Lukuvi, ambaye kwa sasa ni waziri wa nchi sera uratibu na bunge ana elimu ya darasa la 7...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Last year,the budget of ministry of education and vocational training was more than fifty percentage of the whole budget,but still most of the students got chance to join higher learning...
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Kwa niaba ya rafiki yangu anatafuta kazi ya kufundisha shule ya msingi yenye mchepuo wa kiingereza (english medium primary school) katika mikoa ifuatayo mbeya, iringa na njombe. Amehitimu mafunzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wapendwa. Kuna hili suala la ufaulu limekuwa ni gumzo, kila mtu ana judge kadri aonavyo, eidha kwa mazoea au kimantiki. Binafsi hili suala la ufaulu nimeliweka katika mafungu mawili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanafunzi ktk chuo cha teku mkoani mbeya wameshangazwa na kitendo cha serikar kukaa kimya mpaka sasa hv juu ya mstakari wa pesa zao za kujikimu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wana chama wa nyabu mpoo? Tangu shule ifunguliwe mwaka 2014 ndo mwaka uliofanya vizur vyenye aijawah kutokea katika shule yetu yaan division one ya p.10 haijawah kutokea au xio? Ulizen...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
samahani wanajukwaa naomba ushauri, nlifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidate combination ya HGK mwaka jana matokeo ya ngu nlikuwa nna III ya point 13 ingawa GS nlipata F...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
All de best form four for preparation of BRN EXAMINATION
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari zenu wakubwa. Wanaosoma bridging course na kuhitimu wanaomba kujiunga na degree kwa njia ipi!? Hii ya TCU au kutuma moja kwa moja maombi chuoni!?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom