Ni baada ya wanachuo kushindwa kuvumilia hali ya sintofaham inayoendelea kukosa pesa ya mkopo,wanafunz hao wameita uongozi wa chuo na kuongea nao na walipokosa majibu ya kuvutia wanafunzi hao...
Wanajamvi habari!
Kwa niaba ya Kampuni yangu ya Mwangili Electronics Solution(MES), tutaendesha mafunzo ya muda mfupi ya kielectronics. Mafunzo haya ni kwa ajiri ya Wataalamu na wale wote wapenzi...
Kweli mimi nashangazwa na kitendo cha serikali kuto kutenga fungu kwa ajiri ya kuwapa walimu ambao wamethibitika kuwa wamepanga vyumba vya kuishi mtaani. Mwalimu kulipia pango kutoka kwenye...
wadau na wataalam wa kufikiri nawasalimuni.
naomba kuuliza mbona nkifungua OLAS inasumbua sana inasema cant connect to data base.sasa registration na ku fill form itafanyikaje
Habarini wanajamvi, mimi ni mfanyakazi ninayejiendeleza ki-elimu na Juni mwaka huu nataraji kumaliza Diploma ya Uhasibu. Natamani sana kuendelea zaidi ya hapa kwa kuwa nafanya vizuri. Naombeni...
Wanajamvi msaada kwa anaejua kuhusu quality of education inayotolewa Dar es salaam University College Of Education (DUCE) vipi kinaweza kua ni miongoni mwa vyuo bora nchini?
Jamani naomba mnijuze hv ss watu wana apply mkopo au vyuo
Maana watu wanazungumzia kuapply vyuo wakati matokeo yenyewe bado
Jamani mm najua watu wanaomba mkopo na sio vyuo naomba nieleweshwe zaidi
Wakuu, Assalam Aleiykum kwa mpigo.
Napenda kuchukua wasaa huu kuwakumbusha na kuwaomba msambaze taarifa za hii program ya The Mastercard Foundation for Africa, ambayo inatoa Scholarship kwa...
My warmest wishes to you and your dear ones on this very, very special day.
Kama umegraduate with a good GPA, tafadhali jaribu The Master Card Foundation for Africa: Home Page | The MasterCard...
jaman wana javi ninashida moja inay
onisumbua nayo ni hii. Ndugu zangu hapa nilipo mwenzenu nimehitimu Elimu ya kidato cha sits lakini lugha ya kiingeleza imenipita
kushoto. namanisha ivi...
Kuanzia uongozi wa juu wa chuo kuja chini wamejaa wahaya tuu.jambo linawatesa wanachuo kwa kutopata mahitaji yao kwa wakati mwafaka,kwani wanafanya mambo bila kujali wakijua kuwa hakuna atakaye...
Naomba mwenye kunielewesha kuhusu hili suala la utoaji wa ruzuku(grants) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu.Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba wanafunzi wanaosoma udaktari katika vyuo vya serikali km...
Jaman msaada kwa anaejua namna ya kujiunga na kusoma online(distance learning) katika chuo kikuu huria,kozi ya sheria ngazi ya cheti
matokeo ni dv-4(28points)ENG -C,GEO- C,HST- D,KIS D,CIV-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.