Mimi ni kijana wa kiume,nmemaliza chuo mwezi huu. Nasubiri vyeti mwisho wa mwaka ambapo ajira rasmi inaweza kuwa mwakani. Kwa muda huu ninafikiria nifanye biashara(nina mtaji wa 500,000) au...
"With every trade or investment there are four possible outcomes. You can have a small win, big win, small loss or big loss. As long as we make sure we eliminate the big loss from happening, we...
Moja kati ya vitu pekee watu walitamani kuvisikia ni kurejea kwa thamani na heshima ya pesa za Tanzania na Hii ndio awamu pekee katika miongo 30 iliyopita ambapo watanzania tumekua na heshima na...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
EURUSD, which has generally been bullish this year, went upwards by 100 pips last week, testing the resistance line at...
Wazo la biashara ni jinsi wewe mwenyewe unavyopambanua mambo, ni sawa na wewe unaweza ona mke wako ni mrembo ila wengine wakaona ni wakawaida sana na kadhalika.
ANGALIA HUU MFANO
Kuna kundi la...
Ndugu wanajamvi
Napenda kuwasilisha hali ninayoiona hapa airport kwa kweli si nzuri,
Huduma Za matangazo si nzuri-Spika Za matangazo hazitoi Sauti,hata ndege ilichelewa au kutua huwezi kusikia...
Habari wana jamvi, matumain yangu hamjambo.
Ngoja niende moja kwa moja, n hv nlijichanga nkapata mtaji nkafungua duka la bidhaa mchanganyiko mkoa wa Pwani sasa mwanzon wiki ya kwanza biashara...
By Lucy Hooker
Business reporter, BBC News
27 July 2017
Business
Amazon founder Jeff Bezos has overtaken Bill Gates to become the world's richest person, worth $90.6bn (£69bn).
A rise in Amazon...
Wilaya ya mbozi ni miongoni mwa wilaya zilizopo mkoa mpya wa songwe uliogawanywa kutoka mbeya.Wilaya hii inakadiliwa kuwa na wakazi wasiopungua laki 6 na asili ya wakazi wa wilaya hii wengi ni...
July 28, 2017
Barclays reported a £1.2 billion ($1.57 billion) attributable loss for the first half of the year, as it suffered a loss on the sale of its Africa business.
The lender reported a...
Barrick Announces Dividend
PDF
TORONTO, July 26, 2017 — Barrick Gold Corporation (NYSE:ABX)(TSX:ABX) today announced that its Board of Directors has declared a dividend for the quarter of U.S. 3...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa kweli inasikitisha kuona taasisi zetu mbali mbali, kama vile Uhamiaji, SUMATRA, TRA n.k zikiwa zimekaa kimya wakati Tanzania tunaibiwa mchana kweupe. Naomba nitoe...
Mkurugenzi mtendaji wa benki ya maendeleo
Mzunguko mdogo wa fedha uliopo nchini kwa sasa unaendelea kuzipa Taaasisi za kifedha nchini changamoto ya idadi ndogo ya watu wanaoweka amana kwenye...
Habari za wikeend, na poleni kwa majukumu mazito tuliyonayo kwenye ujenzi wa taifa letu.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nimepata fursa ya kuwa agent ambaye nitakua naletewa hizi bidhaa mpya...
Wadau habari za humu.
Naomba ufafanuzi katika hili,
Kuna mzigo nimetumiwa na ndugu kutoka UK kuja Tanzania na amelipia kila kitu kuhusu transport cost.
Sasa nimepigiwa simu na jamaa kutoka...
Wasalaam wakuu,
Ujasiriamali kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ni jambo linalohubiriwa sana. Watu wa kada mbalimbali wamelisemea kama jambo la kher, na matokeo yake mwitikio kutoka kwa watu...
Jamani nauza mafuta ya ubuyu, mwenye kuhitaji au ajuaye soko lake mahali lilipo awasiliane nami ktk 0787891477. Matumizi na faida ya mafuta ya ubuyu zinafahamika,hasa kwa wenye HIV na inatibu...
Leo nimepewa taarifa kuwa katika kikao cha Wanahisa kilichokaa mjini Arusha imeamuliwa kuwa gawio la kila hisa iwe shs. 10. Haingii akilini kwangu kutokana na faida ya Tshs.75bn iliyopatikana...