NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,648
Habari za wikeend, na poleni kwa majukumu mazito tuliyonayo kwenye ujenzi wa taifa letu.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nimepata fursa ya kuwa agent ambaye nitakua naletewa hizi bidhaa mpya za DIAMOND KARANGA zinazofanya vyema sana sokoni kwa sasa.
Nitakua naletewa bidhaa kutoka dar mpaka MBEYA kwa gharama za kwao, But mimi ninachotakiwa ni kulipa kwa CASH then kufanya SUPPLY to the markets (at wholesale price).
Box/dozen moja ina packet 100
Na wholesale price ntauziwa na kampuni kwa tsh 19000/ then Mimi ntauza kwa tsh 25000 (wholesale price)
There fore margin profit will be 25000-19000=6000
Nina experience na masoko yote kuanzia
IRINGA
MAFINGA
MAKAMBAKO
NJOMBE
SONGEA
MBINGA
MBEYA
NA TUNDUMA
changamoto iliyopo ni
1.LACK OF CAPITAL (I.e cash)
2. SUPPLY MEANS/TRANSPORT/DELIVERY to the markets/customers
(Ikipatikana kirikuu itafaa zaidi)
Kwa yeyote aliye tayari namkaribisha tushirikiane kwenye hiki!
Nawasilisha fursa iliyo mbele yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nimepata fursa ya kuwa agent ambaye nitakua naletewa hizi bidhaa mpya za DIAMOND KARANGA zinazofanya vyema sana sokoni kwa sasa.
Nitakua naletewa bidhaa kutoka dar mpaka MBEYA kwa gharama za kwao, But mimi ninachotakiwa ni kulipa kwa CASH then kufanya SUPPLY to the markets (at wholesale price).
Box/dozen moja ina packet 100
Na wholesale price ntauziwa na kampuni kwa tsh 19000/ then Mimi ntauza kwa tsh 25000 (wholesale price)
There fore margin profit will be 25000-19000=6000
Nina experience na masoko yote kuanzia
IRINGA
MAFINGA
MAKAMBAKO
NJOMBE
SONGEA
MBINGA
MBEYA
NA TUNDUMA
changamoto iliyopo ni
1.LACK OF CAPITAL (I.e cash)
2. SUPPLY MEANS/TRANSPORT/DELIVERY to the markets/customers
(Ikipatikana kirikuu itafaa zaidi)
Kwa yeyote aliye tayari namkaribisha tushirikiane kwenye hiki!
Nawasilisha fursa iliyo mbele yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app