Nyotinzuri
Senior Member
- Mar 17, 2017
- 132
- 196
Habari wana jamvi, matumain yangu hamjambo.
Ngoja niende moja kwa moja, n hv nlijichanga nkapata mtaji nkafungua duka la bidhaa mchanganyiko mkoa wa Pwani sasa mwanzon wiki ya kwanza biashara haikua nzuri ila cku zlvyozd kwenda ikachangamka mauzo yakawa yanapanda mpk laki,
sasa kuna cku wakat nataka kufunga ilkua cku ya j3 nkaona juu kabsa ya geti ambapo n parefu kwelii kufkia mpk uweke kiti kirefu sn nkaona pana soks pair moja za mtoto zmebanwa na kibanio nkashangaa sn zmefkaje kule ikabd nmuite mume wng akasema n watoto watakua wameweka mmh nkamwambia poa,
sasa bwana toka siku ile mauzo yamepungua sn naweza fungua asbh mteja wa kwanza akaja sa nane nalala naamka nalala naamka hakuna mteja, najitahid sn kukemea hii ila cjajua iman yng n haba au vp.
Kwan naweza kuuza ht elfu moja tu kwa cku, inaniuma sn.
Nikiuza sn elfu 10 navunjika moyo, naomben ushauri na mm iman za waganga siziamn kweli.
Nafanya maombi lkn wap mara tu nnavyofungua.
Naomben ushauri ila kwenye huu mtaa yapo maduka km 6 hv km langu.
Nawaza nfunge tu kwan kod yng haijaisha na kwenye hii biashara nna miez mi5 tu.
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Ngoja niende moja kwa moja, n hv nlijichanga nkapata mtaji nkafungua duka la bidhaa mchanganyiko mkoa wa Pwani sasa mwanzon wiki ya kwanza biashara haikua nzuri ila cku zlvyozd kwenda ikachangamka mauzo yakawa yanapanda mpk laki,
sasa kuna cku wakat nataka kufunga ilkua cku ya j3 nkaona juu kabsa ya geti ambapo n parefu kwelii kufkia mpk uweke kiti kirefu sn nkaona pana soks pair moja za mtoto zmebanwa na kibanio nkashangaa sn zmefkaje kule ikabd nmuite mume wng akasema n watoto watakua wameweka mmh nkamwambia poa,
sasa bwana toka siku ile mauzo yamepungua sn naweza fungua asbh mteja wa kwanza akaja sa nane nalala naamka nalala naamka hakuna mteja, najitahid sn kukemea hii ila cjajua iman yng n haba au vp.
Kwan naweza kuuza ht elfu moja tu kwa cku, inaniuma sn.
Nikiuza sn elfu 10 navunjika moyo, naomben ushauri na mm iman za waganga siziamn kweli.
Nafanya maombi lkn wap mara tu nnavyofungua.
Naomben ushauri ila kwenye huu mtaa yapo maduka km 6 hv km langu.
Nawaza nfunge tu kwan kod yng haijaisha na kwenye hii biashara nna miez mi5 tu.
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app