Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Hii ni moja ya nukuu iliyonigusa kwenye hotuba ya Rais Magufuli ya leo 23/10/2017. Naomba tujadiliane namna ya kutumia huu mtaji tulionao, mtaji wa kuwa wazaliwa wa Tanzania. Kama kuna vikwazo...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Nina kiwanja nimenunua milion 4 na katika mauziano hayo tulifanya katika maandishi na pia tukaenda serikali ya mtaa tukajaza fomu inayoashiria mm ndo muhusika , sasa wakuu ikabidi nianze ujenzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Za mchana huu wadau..pamoja na sifa walizonazo lakini pia Mna sifa ya wizi kwa Wateja wenu Kisa ni hiki; asubuhi kaja mteja dukani kwangu akataka nimuweke vocha na nimuunganishie...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hakuna kazi kubwa duniani kama kufikiri kutokana na ugumu wa kazi hii watu wachache hutumia brain zao kufikiri kwa niaba ya watu wengine. The Nobel Prize winning physcist Albert Eastern.The best...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Manji jeuri, amefungiwa ofisi za Quality Center sasa leo kaitisha press anasema anainunua Nakumatt Supermarket. Taarifa Zaidi Kufuata
16 Reactions
142 Replies
16K Views
It is not a map, this is a house model.contact : 0763269695 to get your own house map with it's model.
1 Reactions
2 Replies
877 Views
Habari ya Mchana huu wadau. Naomba Niende moja kwa moja Kwenye hoja Mimi Napenda kujifunza namna ya kuandaa mihuri yaani uchapaji kwa mfano kama vile Kwenye tshet za shule au vikundi mbali...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama uasherehe za kiislamu zinazo husiana na KUMTOA MTOTO HARUSI KITCHEN MADA NADHIRI HAKIKA ARUBAINI YA MTOTO Madrasa hii inafanya vizur kabisa katika maadili ya dini ni madrasat da-awat ssayf...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Wakuu poleni na majukumu Mi nikijana ambae nataka kujiajiri sasa napata tatizo kidogo, nimeweza kuanzisha website yangu na pages kadhaa tayari kwaajili ya advertisements sasa nimefika kati kati...
1 Reactions
2 Replies
862 Views
Stanzania
0 Reactions
8 Replies
832 Views
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Nimeichukua mahali, Inaweza kukusaidia, Ushawahi kuwaza kwanini kuna watu maisha yetu daily yanakua yanasukumwa na Mikopo? Ni kwa sababu tunakopa kununua vitu ambavyo baada ya muda wa mkopo na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT Nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Kwa wanachama wa NSSF, hakikisha unakwenda sambamba na mwajiri wako kwa michango yako ya kila mwezi' kwa kufuata utaratibu huu hapa chini: KUJUA KIASI ULICHO CHANGIA KWA WANACHAMA wa NSSF: Fuata...
1 Reactions
34 Replies
47K Views
Wakuu jamvini nataka kupiga hatua kwenye hii biashara yangu ya kuuza maziwa fresh, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kuyapack kwenye vigaloni vya lita tano na packing ndogondogo za kupreserve kwa...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kampuni ya Ante BV. ya Uholanzi inajishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa mashine na Mitambo ya kilimo na usindikaji wa Maziwa na vyakula vinginevyo. Mashine hizi ni mipya kwa oda maalum toka...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataadhalisha Mihan gas kwa ujinga wa mipango isiokuwa na manufaa kwa jamii wala kampuni yenyewe Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Baada ya Kukosa kazi nikawa nawaza. Unga kllo 50 kwa mwezi tsh 65,000/=, kwa mwaka 780,000/=. Maharage kilo tsh 2,000, kwa siku @265 530,000/=, nyama kilo 6500, kwa siku 100 650,000 (jumla siku...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral Price went down on Monday and Tuesday, went up on Wednesday and Thursday, and came down again on Friday. This kind of...
2 Reactions
3 Replies
862 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…