Hii ni moja ya nukuu iliyonigusa kwenye hotuba ya Rais Magufuli ya leo 23/10/2017. Naomba tujadiliane namna ya kutumia huu mtaji tulionao, mtaji wa kuwa wazaliwa wa Tanzania. Kama kuna vikwazo...
Nina kiwanja nimenunua milion 4 na katika mauziano hayo tulifanya katika maandishi na pia tukaenda serikali ya mtaa tukajaza fomu inayoashiria mm ndo muhusika , sasa wakuu ikabidi nianze ujenzi...
Za mchana huu wadau..pamoja na sifa walizonazo lakini pia Mna sifa ya wizi kwa Wateja wenu
Kisa ni hiki; asubuhi kaja mteja dukani kwangu akataka nimuweke vocha na nimuunganishie...
Hakuna kazi kubwa duniani kama kufikiri kutokana na ugumu wa kazi hii watu wachache hutumia brain zao kufikiri kwa niaba ya watu wengine. The Nobel Prize winning physcist Albert Eastern.The best...
Habari ya Mchana huu wadau. Naomba Niende moja kwa moja Kwenye hoja
Mimi Napenda kujifunza namna ya kuandaa mihuri yaani uchapaji kwa mfano kama vile Kwenye tshet za shule au vikundi mbali...
Kama uasherehe za kiislamu zinazo husiana na
KUMTOA MTOTO
HARUSI
KITCHEN MADA
NADHIRI
HAKIKA
ARUBAINI YA MTOTO
Madrasa hii inafanya vizur kabisa katika maadili ya dini ni madrasat da-awat ssayf...
Wakuu poleni na majukumu
Mi nikijana ambae nataka kujiajiri sasa napata tatizo kidogo, nimeweza kuanzisha website yangu
na pages kadhaa tayari kwaajili ya advertisements sasa nimefika kati kati...
Wadau amani kwenu, nimekuwa nina ndoto ya kufungua kampuni ya consultancy, nimepitia website ya BRELA, lakini naomba uzoefu kwa wale waliofanikiwa hasa kuhusu mtaji, maana hii ndio changamoto...
Nimeichukua mahali, Inaweza kukusaidia,
Ushawahi kuwaza kwanini kuna watu maisha yetu daily yanakua yanasukumwa na Mikopo? Ni kwa sababu tunakopa kununua vitu ambavyo baada ya muda wa mkopo na...
Ndugu wanajamvi naomben msaada wa maelezo kuhusiana na UTT
Nilinunuaga units 100 mwaka 2005 walipokuwa wanazitangaza by then I was a student in kilimanjaro nikasuggest badala ya Kuwa napewa pesa...
Kwa wanachama wa NSSF, hakikisha unakwenda sambamba na mwajiri wako kwa michango yako ya kila mwezi' kwa kufuata utaratibu
huu hapa chini:
KUJUA KIASI ULICHO CHANGIA KWA WANACHAMA wa NSSF:
Fuata...
Wakuu jamvini nataka kupiga hatua kwenye hii biashara yangu ya kuuza maziwa fresh, kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kuyapack kwenye vigaloni vya lita tano na packing ndogondogo za kupreserve kwa...
Kampuni ya Ante BV. ya Uholanzi inajishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa mashine na Mitambo ya kilimo na usindikaji wa Maziwa na vyakula vinginevyo. Mashine hizi ni mipya kwa oda maalum toka...
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataadhalisha Mihan gas kwa ujinga wa mipango isiokuwa na manufaa kwa jamii wala kampuni yenyewe
Kwanza kabisa bado ni wachanga katika usambazaji wa mitungi na gas...
Baada ya Kukosa kazi nikawa nawaza. Unga kllo 50 kwa mwezi tsh 65,000/=, kwa mwaka 780,000/=. Maharage kilo tsh 2,000, kwa siku @265 530,000/=, nyama kilo 6500, kwa siku 100 650,000 (jumla siku...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
Price went down on Monday and Tuesday, went up on Wednesday and Thursday, and came down again on Friday. This kind of...