Usalama wa pesa yangu PayPal

ipyax

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
4,042
6,295
Habari za leo ndugu zangu wa jamii forums, nina changamoto inayonikabili kuhusu matumizi ya PayPal.

Kuna mzigo wa thamani kubwa kidogo nataka kuagiza toka Thailand na muuzaji amependekeza nilipe kwa kupitia PayPal. Naomba kujuzwa je usalama pesa yangu unakuaje?

Endapo mzigo hautafika baada ya siku tulizo kubaliana naweza fungua dispute na pesa yangu kurudishiwa? Nitashukuru sana kwa michango yenu chanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unanunua kupitia online markets kama ebay, baadhi ya sellers huwa wanakuwa na kitu kinaitwa money back guarantee. Am sure hata amazon wana kitu kama hicho. But sijajua kwa sites zingine kama aliexpress.... labda ww unatumia site gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama unanunua kupitia online markets kama ebay, baadhi ya sellers huwa wanakuwa na kitu kinaitwa money back guarantee. Am sure hata amazon wana kitu kama hicho. But sijajua kwa sites zingine kama aliexpress.... labda ww unatumia site gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa nimempata Alibaba, ila hataki kutumia alibaba payment system na mimi pia nimegoma kutumia T/T. Mwishoe akapendekeza nilipe kwa kutumia PayPal, amenitumia invoice kwenye email yangu ambayo pia ina details zake za PayPal.

Ningependa kujua kama nakua protected kama buyer endapo hatatuma mzigo kama tulivyokubaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
amenitumia invoice kwenye email yangu ambayo pia ina details zake za PayPal.

Ningependa kujua kama nakua protected kama buyer endapo hatatuma mzigo kama tulivyokubaliana.
Paypal ni njia salama.

Baada ya malipo una siku zisizozidi 180 ya kudai refund iwapo mambo yataenda kombo.

Kwa paypal seller hana ujanjawa kufanya dhuruma.
 
Paypal ni njia salama.

Baada ya malipo una siku zisizozidi 180 ya kudai refund iwapo mambo yataenda kombo.

Kwa paypal seller hana ujanjawa kufanya dhuruma.
Najiuliza paypal unaifunguaje wakati Tanzania hakuna makubaliano ya matumizi ya Paypal au ninaelewa vibaya.
 
mi ndio maana sipendagi kumuaziaga mtu kitu.. wabongo waoga sana kutake risk.. na hapo hapo maswali ya kuuliza hata google tu wakaona majibu anataka umjibu wewe..

wanapenda sana kutafuniwa kila kitu..

hakuna muuuzaji wa paypal ambaye atakutapeli hela yako
 
Nyongeza : Seller niliye mtumia hela kupitia PayPal amenitumia msg muda huu kuniomba ni request money back toka PayPal kwa sababu akinitumia mzigo yeye atapata pesa baada ya wiki 2. Huo ni muda mrefu sana kwake, nimeona bora ni cancel tu hiyo order.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom