Naweza kujenga nyumba kwa TZS Milioni 20?

Jestina

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,831
1,710
Jamani siwezi kujenga nyumba ya vyumba vinne hapo Dar kwa milioni 20? Niambieni kama siwezi kabla sijaipoteza hii pesa...

Asante
 
kiwanja ninacho,nilitaka kujua gharama za ujenzi....thanks..
 
ngojea nikupe wazo langu waweza punguza ngarama zako sana. Jenga ukuta wa maana na uwe unaonekana wa usalama wa maana. Alafu nyumba wewe piga milango kama ya bei raisi na frams za madirisha za bei raisi na aterial mengine ya bei nafuu uwezavyo na kadizaini kako. waweza punguza gharama kidogo na ukaongezee mambo mengine ngangali ukishaamia na mambo yako yakiwa safi zaidi.
 
Kwa fundi mie huwezi......labda fundi mwengine :[

Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=
 
Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=

gharama kubwa ni za mafundi
vifaa vingi ni cheap kuliko hata hizo data...
madirisha na mbao sio lazima ununue dukani..
unaweza nunua raw material ukapata fundi wa kutengeneza for cheap....
 
Kwa kuwa kiwanja unacho millioni 20 mbona unahamia kwenye nyumba lakini finishing hutamaliza. Angalia mgawanyo wa gharama ( I assume uko Dar es Salaam na nyumba unayojenga ni ya mtu anayejenga nyumba yake ya kwanza):
  1. Matofali 5,000 @700=TZS3,500,000
  2. Mafundi (kujenga toka msingi mpaka kuezeka)=4,000,000/=
  3. Cement mifuko 150 @15,000=2,250,000/=
  4. Mbao zote TZS4,000,000/=
  5. Bati 60 @ 15,000=900,000/=
  6. Fundi umeme na vifaa vyake=5,000,000/=
  7. Finishing (madirisha na milango)=5,000,000/=
  8. Finishing (plastering + ceiling works)=5,000,000/=

Ndio hapo, mafundi wako wa daraja na bei tofauti. Mie siwezi :]]
 
ndio hapo, mafundi wako wa daraja na bei tofauti. Mie siwezi :]]

gee
hebu kuwa serious kidogo..
Nimekuuliza bei yako ni ipi???
Provided mteja ananunua vifaa vyake vyote...
Gharama zako kama fundi ni kiasi gani,,,,??????
 
Back
Top Bottom