Wana jf wote kwa pamoja..mim ni mjasiliamali wa ufugaji kuku aina zote nahitaj taa za sola zenye kutoa joto kwa ajili ya vifaranga. .mwenye kujua zinapopatikana na garama yake anipigie 0744903557...
Jamani napenda sana bishara ila nina mtaji wa Tsh. 100000/=
Sasa nashindwa nifanye biashara gani
Tafadhari wa bishara za mtandao usije kunishauri niiingie siju mara trevo sijui oilfrem sijui...
Wanajukwaa kama kichwa kinavyojieleza nataka kununua Hisa za Crdb na kuziuza ili nipate faida kidogo kidogo kutokana na kautafiti kangu nilichokafanya kwa mfano juzi niliangalia Hisa moja ilikuwa...
Wadau mpo powa!
Hivi karibuni kumeibuka biashara nyingi sana za mitandaoni ambazo zimekuwa zikivutia sana kwa kujinadi kwao. Mfano wa biashara hizo ni D9, Amazon traders, Elnet Africa, Helping...
habarini wana jukwaa.
niende moja kwenye mada yangu, nataka nimpe dada yangu mtaji tajwa hapo juu ili aendeshe maisha yake.
naombeni msaada wa mawazo ni mshauri afanye kitu gani? maana yy kama...
by Jenny
I have had a couple of emails lately from parents, containing attitudes which I found a little worrying.
We support the teaching of business skills to kids, and we encourage parents to...
AUS200
Dominant bias: Neutral
In the last few months, AUS200 has been in a neutral phase. The market is quite choppy, rough and unattractive, oscillating upwards and downwards with no...
Leseni ya Mwendelezaji
Hii inatolewa kwa mwekezaji anayetaka kuwekeza katika miundo mbinu kama vile ujenzi wa majengo ya viwanda na maghala, ujenzi wa barabra za ndani, usawazishaji mazingira na...
Ndugu yangu wakati ukiwa unatekeleza mipango yako zipo changamoto zitakazokupitia na kukufanya hujihisi huna nguvu tena ya kuendelea. Kama wewe unaesoma ujumbe huu umekumbwa na jambo kama hili...
Kwa wale ambao wameshaanza kutumia huduma hii naomba mtujuze tafadhali,ni kiasi gani unapaswa kuweka akiba ili ustahili kupata mkopo?
Na mengine ambayo ni muhimu kujua kuhusu huduma hii...
Habari wapendwa wana JF .
Kwa wale walio katika biashara, naomba kupewa tips jinsi ya kuanzisha biashara ya duka, yaani nini na nini kinatakiwa ikiwa ni kuhusiana na documentation n.k
Yaani...
Naomba kujua kama kuna mtu amewahi kununua vitu kupitia ebay, alibaba au amazon. Huduma zao vipi?, TRA wanatozaje ushuru? na pia vipi muda wakupokea ni kadri ya mkataba?. mwenye uzoefu atushirikishe?
Hi People
Nahitaji msaada kujua kama unataka kufanya biashara na USA kupitia AGOA unafanyafanyaje??
Nasikia soko liko waziwazi huko America, tunasububiriwa siye tu tupeleke bidhaa.
Msaada tafadhali
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima,
Samahani mimi nahitaji kujua na kupata ushauri pia kwa wazoefu wa biashara sana sana katika zao la karanga.
1.Njia nzuri ni ipi kwa mfano ukiwa na...
Habari wana Jf
Kuna uzi ulianzishwa wakueka akiba na M-PAWA, katika Jukwaa hili nautafuta unaelezea namna ya kuunda kikundi kila mtu anaeka akiba kwenye laini yake ya VodaCom then mwisho wa...
Ndugu Wanajamvi,,
Poleni na majukumu.
Historia:
Mimi ni kijana umri 25. Nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2010. Nikafaulu na kuchaguliwa kujiunga form 5 (2011) Azania boys. Comb: PCB. Mlezi...
Niliwahi kuleta Mara Mbili humu Janvini swala la watu kuunganisha Mitaji, hakuna aliye jari, watu wanataka kila mmoja aonekane kwamba anaweza, kila mtu anataka aonekane kwa Ndugu, jamaa, marafiki...
Kwanza kabisa hongera benki ya CRDB BANK kwa huduma mnayotupatia. Pili tunaomba uongozi wa benki kuwabadilisha wafanyakazi wa branch moja kwenda kwingine( kuhamisha wafanyakazi) hili...