Wana ndugu napenda niwashirikishe wazo langu linalo tatiza ufahamu wangu....ni biashara ndgo ya namna gani naweza fanya kwa mtaji wa makadirio ya laki5
Sent using Jamii Forums mobile app
*SERIKALI KUWAPATIA VITAMBULISHO WAKULIMA*
Baada ya Serikali nchini Tanzania kugawa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo 675,000, sasa inahamia kwa wakulima ambao nao watapatiwa vitambulisho...
MOPAYA MADI
Mtaalamu wa kodi aliyeona
fursa katika ung’arishaji viatu
Na Beda Msimbe
NI nadra sana kukutana na mtu ambaye amehitimu fani nyeti ya Usimamizi wa Kodi na Forodha kufanya shughuli...
TUWAOMBE TRA KUWA NA BIASHARA-DARASA KWA AJILI YA UTAFITI
Wadau ni matumani muko salama na mwaka mpya 2019,
Ombi langu kwa wadau wa kodi , TRA, Serikali n.k ili kuepuka msuguano uliopo hadi...
Salamu Wakuu
Hongereni kwa kuona mwaka mwingine tena
Kama kichwa kinavyojieleza hapo
Mimi ni mwanafunzi wa A level mkoani arusha kijana mdogo kabisa mawazo yangu yote niliaminishwa ajira...
Kuna Jamaa anataka nimpe mtaji wa pesa kama laki3 anataka kuanzisha kibanda cha kuuza mafuta ya petrol na Oil lkn kila nikiiangalia hiii biashara faida yake ndogo sana
Lita moja filling station...
Wakuu,
Ukiwekeza 20m kwenye biashara yoyote ile, minimum period ya return inabidi iwe lini?
Yani mtaji inabidi urudishe ndani ya muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba msaada jinsi ya kuanzisha day care inaendeshwaje unapataje faida mimi niko dar es salaam na ni nyingi gani ya kuifanyia marketing
Sent using Jamii Forums mobile app
Habaru za jumapili wanajamvi wa biashara na uchumi ...
Kama Mara linavyojieleza hapo . . UMASKINI umenichosha UMASKINI umeniibia utu wangu .. Nataka 2019 niwe MTU mpya mwenye maono mapya ...
Wakuu nauza kiwanja kwa ajili ya makzi tayari kimepimwa,kina hati miliki na kimejengwa foundation iliyo na leseni ya ujenzi kutoka kwa mkurugezi wa jiji la dodoma
Kiwanja kiko Kikuyu kusini...
Wakuu .
Kheri ya Christmas na Mwaka Mpya .
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kwa wale ambao waliwekeza kwa mwaka 2018. Je uwekezaji gani ulikulipa vizuri na changamoto zipi ulikutana nazo ...
[emoji121]
WAKUU,
KUNA ALIYEWAHI KUFANYA BIASHARA YA NGUO ZA MTUMBA HUMU?
YAANI KUNA MWANANGU KATOKA ZAKE SINGIDA KAJA DAR KUNUNUA BELO 3 ZA NGUO ZA MTUMBA.
AMEFUNGUA YA KWANZA INA KAPTURA...
tunashughulika na uuzaji wa camera zilizotumika Dubai na South Africa ila zinakua ina good condition pia tunauza vifaa vya production (video na picha) kwa bei nafuu...instagram page...
Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba...
Msaada wadau hadi nataka kununua gari kutoka Japan,naomba Kwa anaejua hadi hii gari inakuwa mkononi inaweza kunigharimu shilingi ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu Makini Wanakula Vilivyo Bora Kwa Afya Zao, Wewe Ni Mmoja Wao. Kula Mboga Ya Majani Iliyozalishwa Kwa Viwango Vya Kimataifa, Isiyopoteza Ukijani Wake Hata Baada Ya Kupikwa. Radha Madhubuti...
habari wakuu
kama mada inavyojieleza.
nilipokuwa chuoni nilianzisha mchezo wa upatu ambapo nilipata member wengi kiasi na nikawagawa katika makundi ya watu 20 20. baada ya kumaliza chuo na...
Wadau salaam kwenu
Naomba msaada wa namna ya kusajiri hizi taasisi za kijamii.
Nfano: Nataka kusajiri Taasisi ya kuhudumia kaya masikini au wajasiriamali wadogo wadogo.
Utaratibu uko vipi,na...