Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wana ndugu napenda niwashirikishe wazo langu linalo tatiza ufahamu wangu....ni biashara ndgo ya namna gani naweza fanya kwa mtaji wa makadirio ya laki5 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
1K Views
*SERIKALI KUWAPATIA VITAMBULISHO WAKULIMA* Baada ya Serikali nchini Tanzania kugawa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo 675,000, sasa inahamia kwa wakulima ambao nao watapatiwa vitambulisho...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MOPAYA MADI Mtaalamu wa kodi aliyeona fursa katika ung’arishaji viatu Na Beda Msimbe NI nadra sana kukutana na mtu ambaye amehitimu fani nyeti ya Usimamizi wa Kodi na Forodha kufanya shughuli...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
TUWAOMBE TRA KUWA NA BIASHARA-DARASA KWA AJILI YA UTAFITI Wadau ni matumani muko salama na mwaka mpya 2019, Ombi langu kwa wadau wa kodi , TRA, Serikali n.k ili kuepuka msuguano uliopo hadi...
1 Reactions
0 Replies
941 Views
Salamu Wakuu Hongereni kwa kuona mwaka mwingine tena Kama kichwa kinavyojieleza hapo Mimi ni mwanafunzi wa A level mkoani arusha kijana mdogo kabisa mawazo yangu yote niliaminishwa ajira...
7 Reactions
44 Replies
5K Views
Kuna Jamaa anataka nimpe mtaji wa pesa kama laki3 anataka kuanzisha kibanda cha kuuza mafuta ya petrol na Oil lkn kila nikiiangalia hiii biashara faida yake ndogo sana Lita moja filling station...
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Wakuu, Ukiwekeza 20m kwenye biashara yoyote ile, minimum period ya return inabidi iwe lini? Yani mtaji inabidi urudishe ndani ya muda gani? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Wadau naomba msaada jinsi ya kuanzisha day care inaendeshwaje unapataje faida mimi niko dar es salaam na ni nyingi gani ya kuifanyia marketing Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habaru za jumapili wanajamvi wa biashara na uchumi ... Kama Mara linavyojieleza hapo . . UMASKINI umenichosha UMASKINI umeniibia utu wangu .. Nataka 2019 niwe MTU mpya mwenye maono mapya ...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
RAM: 3 GB, STORAGE: 64 GB, CAMERA: 13 Megapixel, Battery: 4100 MAH. Location: Dar Bei: 330,000/= Mawasiliano: 0786 737 923 Alikuwa anaitumia shemeji yenu/wifi yenu for two months now (box...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi serikali ilienda kusini kukagua wanaomiliki mashamba ya korosho au walienda kununua korosho Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
915 Views
Wakuu nauza kiwanja kwa ajili ya makzi tayari kimepimwa,kina hati miliki na kimejengwa foundation iliyo na leseni ya ujenzi kutoka kwa mkurugezi wa jiji la dodoma Kiwanja kiko Kikuyu kusini...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu . Kheri ya Christmas na Mwaka Mpya . Kama kichwa cha habari kinavyoeleza kwa wale ambao waliwekeza kwa mwaka 2018. Je uwekezaji gani ulikulipa vizuri na changamoto zipi ulikutana nazo ...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
[emoji121] WAKUU, KUNA ALIYEWAHI KUFANYA BIASHARA YA NGUO ZA MTUMBA HUMU? YAANI KUNA MWANANGU KATOKA ZAKE SINGIDA KAJA DAR KUNUNUA BELO 3 ZA NGUO ZA MTUMBA. AMEFUNGUA YA KWANZA INA KAPTURA...
11 Reactions
120 Replies
23K Views
tunashughulika na uuzaji wa camera zilizotumika Dubai na South Africa ila zinakua ina good condition pia tunauza vifaa vya production (video na picha) kwa bei nafuu...instagram page...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba...
9 Reactions
67 Replies
6K Views
Msaada wadau hadi nataka kununua gari kutoka Japan,naomba Kwa anaejua hadi hii gari inakuwa mkononi inaweza kunigharimu shilingi ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Watu Makini Wanakula Vilivyo Bora Kwa Afya Zao, Wewe Ni Mmoja Wao. Kula Mboga Ya Majani Iliyozalishwa Kwa Viwango Vya Kimataifa, Isiyopoteza Ukijani Wake Hata Baada Ya Kupikwa. Radha Madhubuti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wakuu kama mada inavyojieleza. nilipokuwa chuoni nilianzisha mchezo wa upatu ambapo nilipata member wengi kiasi na nikawagawa katika makundi ya watu 20 20. baada ya kumaliza chuo na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau salaam kwenu Naomba msaada wa namna ya kusajiri hizi taasisi za kijamii. Nfano: Nataka kusajiri Taasisi ya kuhudumia kaya masikini au wajasiriamali wadogo wadogo. Utaratibu uko vipi,na...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…