Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Wakuu ninaishi Moshi, ningependa kujua ni bidhaa gani zinalipa vizuri nikitoa Tanzania halafu nipeleke kuuza Nairobi?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau. Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu na mikopo ya wafanyakazi inayotolewa na mabenki mbalimbali. Je inawezekana kubadili kituo cha kazi baada ya kukopa na ukaendelea kukatwa kama kawaida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kuna mtu mwenye info za kina kuhusu hii project? Na je imeshaanza kufanywa maeneo hayo ya Bahari Beach? kuna eneo kubwa kiasi cha kufanikisha huo ujenzi? Angalia hiyo video chini. Project...
5 Reactions
104 Replies
16K Views
Please read full article and share your comment do you agree or disagree?, we would love to hear from you. Click the link bellow. DarProperty >> Read Article
0 Reactions
2 Replies
618 Views
UMUHIMU WA KUPANGA MALENGO NA KUYAANDIKA Habari ndugu mpenda mafanikio namatumaini yangu kuwa uko salama hadi wakati huu, niwakati mwingine tena tunakutana kwa mara nyingine kuhakikisha...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Samahani wanajamvi kama kichwa cha habari kitakuwa kinakinzana na matakwa ya huu uzi. Ila kimsingi mimi ni mwanachuo mwaka wa tatu ili kujikwamua na tatizo la ajira, nimeamua kujiajiri kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1 US Dollar = 1834.59 Tanzanian Shilling Nadhani tunaelekea kuwa sawa na hali ya uchumi ya zimbabwe iliyotokea miaka ya nyuma kidogo.Kupata mkate mmoja ungeweza kubeba hela kwenye mfuko wa rambo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Redirect
Hi! For long Rabbit meat has been proved to be the Most healthy meat next to Fish. Rabbit farming is attractive not only as a source of protein , but also employment for young people! Kenya has...
2 Reactions
Replies
Views
Ni matumaini yangu kuwa katika jukwaa letu hakuna kinachoshindikana. Mimi ni mwenyeji wa Mwanza , nimetembelea masoko ya samaki hasa Sangara na sato jijini Dar es Salaam hivi kariburini...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kwa mtu anayehitaji kununua hisa, mi nauza hisa zangu za Mkombozi Bank. Zipo 643 Bei ya sokoni kwasasa ni sh. 1500 kwa hisa moja but we can negotiate.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mimi ni mtumishi wa serikali na nimenunua gari aina ya Raum new model mwaka 2005 na nimeprocess form zote za exemption na kufuata utaratibu wote lakini nimeenda TRA wamenambia kuwa sistahili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina simu ya smartfone tecno p3, naomba ushauri ni ntaitumiaje iweze kunizalishia pesa badala ya kuingia whatsapp na fb maana sijui mitandao gani ambayo inaweza kuniingizia kipato. Natangulisha...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Eneo la Tunduru liko katika mpaka wa Tanzania na Zambia. Wakati bei elikezi ya mafuta aina ya petroli iliyotangazwa na Ewura hivi karibuni katika vituo vyote vya mafuta nchini ni kati ya Sh 1,700...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kwa muda mrefu nimekua nikifikiria watu wanafanyaje ili kuweza kufanikisha uuzaji na ununuzi wa pesa ( forex trad) online na unapataje faida. Tafadhali mwenye dondoo naomba anijuze.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Biashara ya udalali! Hata Manji ndio anachofanya. Ananunua huku na kuuza kule tena bila hata mtaji. Anaweka bla bla, anashinda tenda,anaenda benki wanadhamini show. Kiwanda kinaleta mali, then...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu,poleni na majukumu ya kujenga taifa, mimi ni mjasiliamali,nimekaa na kufikilia how to employ my self lakini kikwazo ni kupata area ya kufanyia biashara, hasa ya mbao along road reserve bkoz...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
SIRI ILIYOJIFICHA NDANI YA BIASHARA KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MFUMO WA BIASHARA YA MTANDAO NA UMACHINGA? Habari ndugu msomaji wa makala zangu? Ninaa matumaini uko salama hadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii kampuni mbona haitangazi gawio kwa wanahisa au imefilisika? Ni miaka miwili sasa wanahisa hatujapata gawio na hatuna mawasiliano nao.Brela chunguzeni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali ingefatilia kwa karibu kuhusu kodi. kuna watu wanakopesha pesa kwa riba bila kuwa na leseni hao watu wangefatiliwa ili walipe kodi labda watapunguza asilimia ya riba
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyosema, Napenda kufanya biashara katika mikoa tajwa hapo juu! Je, ninaweza kupata fremu ya biashara ambayo kidogo itakuwa ipo jiran na movement ya watu target population. Lengo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom