JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Helo wazee wa kazi!! Naomba kujua kwa anayejua kuhusu ulaji wa mafuta wa 2009 JEEP CHEROKEE yenye CC 3,700 inayotumia Petrol. Lita moja ya Petrol inaenda KM ngapi? Natanguliza shukrani.
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Tujuzane, huku tukiendelea kusubiri sherehe za namba E mwezi huu mwishoni August ama September, 2022.
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari zenu Rafiki yangu anataka kununua gari lakini hataki kununua gari iliyo na Kimo cha chini. Anataka gari yenye kimo cha NISSAN DUALIS. Hii ni kutokana na kuishi maeneo yenye miundombinu...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Katika pita zangu nikakutana na jamaa yangu akaniamboa amefanya maintenance kwenye mfumo wa umeme wa gari hasa ule unaoingia kwenye plugin gari imepunguza consumption ya mafuta kwa kiasi kikubwa ...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari JF Kuna kijana wangu amepata Bajaji ya mkopo. Sasa Kuna kijiwe huku kigamboni gharama za kujiunga Ni 50,000/= Na mzunguko wa kawaida Sana. Lakini anasema kupitia Bolt na Uber Ni bure...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa JF naomba nijuzwe kwa ufasaha, kodi ipi ni kubwa, kati ya kuagiza gari mpya kabisa japan, na gari used japan, mfano gari toyota premio ya 2011 na ya premio mpya sio used ni mpya ya 2018.
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Gari nyingi za kuanzia late 1990's na kuendelea kuja huku mbele. Zina mifumo mingi ya umeme. Tuache mifumo mingine kwenye gari tuongelee engine tu... Mfano kwenye engine tu peke yake, Mfumo wa...
6 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwema wadau. Ninataka kufahamu bei ya Engine used ya Toyota Verosa ina uhitaji wa haraka sana.
1 Reactions
1 Replies
435 Views
Habari zenu wadau. Nimetokea kuipenda sana hivi gari toyota blade. Imefanania na runx ila cc ndio changamoto, zinaikaribia ile ya brevis. Sasa ukiachilia mbali na cc ni changamoto gani nyingine...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Wale wenzangu na mimi tuliokuwa tukisubiri kwa hamu hatimaye muda umefika sasa [emoji4]
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nawasalimia kwa jina la JMT. Ndugu yangu anatafuta gari ya kununua mkononi, lakini iwe gari iliyonyooka. Kaoneshwa gari na madalali, inaonekana kaipenda, lakini kuna vitu kama ana mashaka navyo...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Engine ya gari huwa inakuwa na njia za hewa. Inaweza kuwa hewa na kawaida, moshi, fumes za tank la mafuta, n.k. Endapo njia hizi za hewa zitaanza kuvuja[leak] huwa inaweza kusababisha matatizo...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
I need to know everything about this car
0 Reactions
51 Replies
16K Views
Habari wa jamvi nimekutana na swali kwenye usaili sehemu fulani nikabaki nashangaa maana sijawahi Kutana nayo kwenye barabara za Tanzania sasa naomba mwenye kujua atusaidie wengine tuelimimike...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la. Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Afya ya engine ya Gari lako. Je, unajisikiaje ukinunua gari baada ya muda mfupi sana ikakulazimu ufanye overhaul ya engine? Ili tuseme engine ya gari ina afya[engine mechanical health]...
16 Reactions
13 Replies
3K Views
Mfano, mlio wa Nissan Safari ni tofauti na WA Toyota Land Cruiser, Mlio wa Toyota Land Cruiser ni tofauti na WA Toyota Hilux na Mlio wa Hilux ni tofauti na wa VW double cabin. Je ni kitu Gani...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Wadau salama leko Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari zenu, nataka nunua nissan dualis ila sijajua changaoto zake,kama kuna mwenye taarifa zaidi na kijua hii gari atiririke hapa.
0 Reactions
Replies
Views
Habari za jioni wadau, Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi? Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…