Helo wazee wa kazi!! Naomba kujua kwa anayejua kuhusu ulaji wa mafuta wa 2009 JEEP CHEROKEE yenye CC 3,700 inayotumia Petrol. Lita moja ya Petrol inaenda KM ngapi?
Natanguliza shukrani.
Habari zenu
Rafiki yangu anataka kununua gari lakini hataki kununua gari iliyo na Kimo cha chini.
Anataka gari yenye kimo cha NISSAN DUALIS. Hii ni kutokana na kuishi maeneo yenye miundombinu...
Katika pita zangu nikakutana na jamaa yangu akaniamboa amefanya maintenance kwenye mfumo wa umeme wa gari hasa ule unaoingia kwenye plugin gari imepunguza consumption ya mafuta kwa kiasi kikubwa ...
Habari JF
Kuna kijana wangu amepata Bajaji ya mkopo.
Sasa Kuna kijiwe huku kigamboni gharama za kujiunga Ni 50,000/=
Na mzunguko wa kawaida Sana.
Lakini anasema kupitia Bolt na Uber Ni bure...
Wadau wa JF naomba nijuzwe kwa ufasaha, kodi ipi ni kubwa, kati ya kuagiza gari mpya kabisa japan, na gari used japan, mfano gari toyota premio ya 2011 na ya premio mpya sio used ni mpya ya 2018.
Gari nyingi za kuanzia late 1990's na kuendelea kuja huku mbele. Zina mifumo mingi ya umeme.
Tuache mifumo mingine kwenye gari tuongelee engine tu...
Mfano kwenye engine tu peke yake,
Mfumo wa...
Habari zenu wadau.
Nimetokea kuipenda sana hivi gari toyota blade.
Imefanania na runx ila cc ndio changamoto, zinaikaribia ile ya brevis.
Sasa ukiachilia mbali na cc ni changamoto gani nyingine...
Nawasalimia kwa jina la JMT.
Ndugu yangu anatafuta gari ya kununua mkononi, lakini iwe gari iliyonyooka.
Kaoneshwa gari na madalali, inaonekana kaipenda, lakini kuna vitu kama ana mashaka navyo...
Engine ya gari huwa inakuwa na njia za hewa. Inaweza kuwa hewa na kawaida, moshi, fumes za tank la mafuta, n.k.
Endapo njia hizi za hewa zitaanza kuvuja[leak] huwa inaweza kusababisha matatizo...
Habari wa jamvi nimekutana na swali kwenye usaili sehemu fulani nikabaki nashangaa maana sijawahi Kutana nayo kwenye barabara za Tanzania sasa naomba mwenye kujua atusaidie wengine tuelimimike...
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa...
Afya ya engine ya Gari lako.
Je, unajisikiaje ukinunua gari baada ya muda mfupi sana ikakulazimu ufanye overhaul ya engine?
Ili tuseme engine ya gari ina afya[engine mechanical health]...
Mfano, mlio wa Nissan Safari ni tofauti na WA Toyota Land Cruiser, Mlio wa Toyota Land Cruiser ni tofauti na WA Toyota Hilux na Mlio wa Hilux ni tofauti na wa VW double cabin.
Je ni kitu Gani...
Wadau salama leko
Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine...
Habari za jioni wadau,
Kijana wenu nimejichanga changa sasa nataka kuachana na dala dala nilikua naomba ushauri katika izo gari mbili nichukue ipi?
Nazungumzia zenye cc 1490 kwenye aspects zote.