Leo nimepigwa mkono na Traffic (walikua wengi) pale Magufuli Hostel wakidai nimepita taa nyekundu za Kona ya Mawasiliano.
Mkubwa wao nikasikia anasema "mwambieni atoe leseni haraka asitupotezee...
Nahitaji Kagari cha mizunguko ya Mjini na Visafari vichache vya mikoani,
Baadhi ya Maeneo nitakayofika yana Rough and Aggressive Roads.
Hiki kisuzuki kina cc 1300 na kipo juu kiasi kwamba...
Habari wadau.
Kuna wizi wa ajabu sana kwenye magari.
Wanaiba cover ya nyuma ya side mirror tu sababu ni rahisi kuzichomoa. Hawachukui side mirror nzima. Na wanaiba sababu wanajua mwenye gari...
Nilikuwa kwenye uzi wa tunaosubiria namba E sasa namba E imetoka nimekuwa na harakati za kutafuta ndinga ya kunifaa ila tatizo linakuja kila ninampomshirikisha mdau ninayemfahamu kuna...
Kipindi hichi barabarani si ajabu kabisa kukutana na magari kadhaa yamezima katikati ya barabara kwasababu ya kuishiwa mafuta.
Hali hii husababisha ongezeko la foleni kubwa hasa kipindi cha...
Chunguza upepo wa gari yako
#Roadlife.Tuendelee kukumbushana kuwa dereva ukiendesha lori lako jitahidi kuangalia geji zako zote mara kwa mara,tofauti yake ni kuwa madereva tunaangalia saana geji...
Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Kuna jamaa alinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linamtesa kuliko maelezo. Amejaribu kuliuza kupitia madalali...
Kwa wale wamiliki wa magari ikiwa umekuwa ukiwaza ni namna gani utapunguza gharama za matumizi ya mafuta kwenye gari lako BASI UJUMBE HUU UNAKUHUSU.
Tumekuwa tukilalamikia juu ya gharama za...
Wakuu habari napata changamoto, napokuwa speed au mzunguko wa engine unapokuwa 3 na kuendelea gari yangu inakuwa inatoa mlio flani ambao kama kuna kitu kinasuguana.
Mara ya kwanza nilienda kwa...
Habari wakuu. Ninahitaji kuagiza gari nimejaribu kufuatilia mtandaoni nimeona kuna kampuni tofauti kama beforward, sbi nk.
Napata changamoto maana nikiangalia bei zao ziko poa ila ukiangalia...
Nimekuwa nikifatilia hili jambo kwa muda mrefu ila majibu niliyokutana nayo yasiyo na shaka ni kwamba elfu i, haipo kwenye usajili wowote wa magari hapa tz . Unaweza kukutana na alfabeti zoote ila...
Habari JF garage!
Naomba kuuliza Mambo gani ya msingi Unatakiwa kujua Mara tu unapenda kununua Bajaj.
Service
Vifaaa Kama triangle na fire extinguisher.
Na Mambo yote ya msingi hasa Bajaj ikiwa...
Wakuu natumaini mko salama kabisa mnapambana na majukumu ....
Lengo la mapambabo nikuhakikisha kesho inakuwa njema kwa kika mmoja maana ndo ombi leti kila iitwapo leo .
Naomba mwenye ujuzi...
Anayetaka gari ya kazi achukue hii ISUZU Bighorn, 3,050cc, diesel, 234,000 kms. Gari ngumu Sana na ipo juu inapita popote . Bei 2,500 USD (CIF) mpaka Bandarini Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.