Zile taa kama balbu za rangi rangi kwenye malori kazi yake nini au faida yake?

HOPEfull

JF-Expert Member
Apr 8, 2021
1,715
2,056
Wadau salama leko

Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na tairi.Nimejaribu kufikiria na kugugumia mara nyingi na kujiuliza kazi yake hasa ni nini hizi taa au ni urembo tu.

Kuna wakati usiku haya malori kwa mbali yanang'ara unaweza kudhania ni ukumbi wa harusi.Hivi huwa wanatumia betri gani kuwasha haya mataa yote betri huwa haziishi?

Mimi ninachojua ni taa kubwa za mbele, taa za indiketa tu pamoja na taa za break,sasa hizi zingine hebu wadau wa malori mkuje mutuweke wazi hapa.
 
Kama hivi..
Screenshot_2022-07-29-21-40-51-1.jpg
Screenshot_2022-07-29-21-43-12-1.jpg


Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Wadau salama leko

Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na tairi.Nimejaribu kufikiria na kugugumia mara nyingi na kujiuliza kazi yake hasa ni nini hizi taa au ni urembo tu.

Kuna wakati usiku haya malori kwa mbali yanang'ara unaweza kudhania ni ukumbi wa harusi.Hivi huwa wanatumia betri gani kuwasha haya mataa yote betri huwa haziishi?

Mimi ninachojua ni taa kubwa za mbele, taa za indiketa tu pamoja na taa za break,sasa hizi zingine hebu wadau wa malori mkuje mutuweke wazi hapa.
Una elimu gan mkuu
 
Wadau salama leko

Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na tairi.Nimejaribu kufikiria na kugugumia mara nyingi na kujiuliza kazi yake hasa ni nini hizi taa au ni urembo tu.

Kuna wakati usiku haya malori kwa mbali yanang'ara unaweza kudhania ni ukumbi wa harusi.Hivi huwa wanatumia betri gani kuwasha haya mataa yote betri huwa haziishi?

Mimi ninachojua ni taa kubwa za mbele, taa za indiketa tu pamoja na taa za break,sasa hizi zingine hebu wadau wa malori mkuje mutuweke wazi hapa.
Duh we jamaa, unahisi ule ni urembo? Ile no kwa ajili ya usalama (visibility ) hasa wakati wa usiku na nyakati za mvua.. pia zile gari huwa zinatakiwa kuzungushiwa reflector strip ya njano gari zima na nyekundu kwa nyuma (hii na kwa sheria za usalama barabarani za Tanzania).. hii ni kwa ajili ya viability, kuonyesha upana wa gari wakati wa usiku, kuonesha height, na kuonesha length ya gari nyakatai za usiku.

Na hizi taa nyingi ni stock (yaan za kuja na gari na sio za kuongeza kwa ajili ya urembo)

Na hii kitu si kwa malori tu, hata mabasi ya mkoani, na dalala.. lazima kwa sheria zetu Tanzania wanatakiwa waweke reflector strip za njano Gari zima na nyekundu kwa nyuma.. but hao wa malori na mabasi wanaongezea na taa kibusa ili hata akiwa mbali kabisa unajua bila hata reflector kumulikwa..

Kwa gari ndogo hizi ukiangalia kwanyuma nazo zinakuaga na reflector either zipo built-in kwenye tail lump or kuna sehemu kwa nyuma zinawekwa plus na third brake light kwa juu ya gari au ndani ya kioo cha boot la nyuma. Yote hiyo ni visibility mkuu.. na Gari zina shift kutumia normal halogen bulb kwa tail lights to LED light lwakua zinakua na mwanga zaidi so visibility inakua ya kutosha kwa nyuma.


Ukitaka jua zaidi umuhimu wa hizi taa ni siku utapopata ajali na hizi guta za pikipiki za kichina, ambapo unakuta bodi ni kubwa alafu dereva yupo katikati... Usiku unamkuta kawasha taa unacha mafasi mdogo ukidhani ni pikipikk kumbe ni guta.. unapata ajali kubwa. Unajiuliza root cause ni nini, kumbe ni hakuna reflector au light inayo inyesha upana wa chombo.
 
Duh we jamaa, unahisi ule ni urembo? Ile no kwa ajili ya usalama (visibility ) hasa wakati wa usiku na nyakati za mvua.. pia zile gari huwa zinatakiwa kuzungushiwa reflector strip ya njano gari zima na nyekundu kwa nyuma (hii na kwa sheria za usalama barabarani za Tanzania).. hii ni kwa ajili ya viability, kuonyesha upana wa gari wakati wa usiku, kuonesha height, na kuonesha length ya gari nyakatai za usiku.

Na hizi taa nyingi ni stock (yaan za kuja na gari na sio za kuongeza kwa ajili ya urembo)
Umemaliza kama hajaelwwa hapo bas anashida
 
Wadau salama leko

Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na tairi.Nimejaribu kufikiria na kugugumia mara nyingi na kujiuliza kazi yake hasa ni nini hizi taa au ni urembo tu.

Kuna wakati usiku haya malori kwa mbali yanang'ara unaweza kudhania ni ukumbi wa harusi.Hivi huwa wanatumia betri gani kuwasha haya mataa yote betri huwa haziishi?

Mimi ninachojua ni taa kubwa za mbele, taa za indiketa tu pamoja na taa za break,sasa hizi zingine hebu wadau wa malori mkuje mutuweke wazi hapa.
N za krisimasi hizo
 
Umemaliza kama hajaelwwa hapo bas anashida
Kuna case kibao watu wana gonga malori kwa nyuma yakiwa yamepaki wanapokua highway, unajiuliza shida ni nini.. kumbe ndo mambo kama haya.. gari halina reflector yoyote au taa zinazowaka kashiria kuna gari lipo limepark na lina breakdown.. na hii ndo maana triangle zina reflector na sio mambo ya kuweka majani barabarani... Na kwenye kuweka hizi triangle lazima uweke umbali wa kutosha ili kumpa nafasi mtumiaji wa barabara mwingine kuchukua taadhari kwa ajili xa usalama wake na usalama wa wale walio pata breakdown na chombo chao.

These are small safety issues but zina severe impact in case things go wrong.
 
Wadau salama leko

Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na tairi.Nimejaribu kufikiria na kugugumia mara nyingi na kujiuliza kazi yake hasa ni nini hizi taa au ni urembo tu.

Kuna wakati usiku haya malori kwa mbali yanang'ara unaweza kudhania ni ukumbi wa harusi.Hivi huwa wanatumia betri gani kuwasha haya mataa yote betri huwa haziishi?

Mimi ninachojua ni taa kubwa za mbele, taa za indiketa tu pamoja na taa za break,sasa hizi zingine hebu wadau wa malori mkuje mutuweke wazi hapa.
Lorry za hivyo huwa njiani usiku zinapiga disco
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom