Asante.Fortes Garage Mwanza karibu
Msalimie Mr Francis the service manager na dada Mathla kama bado wapo hapo Fortes.Fortes Garage Mwanza karibu
Ajiandae kisaikolojia kwa gharama za fortes.Fortes Garage Mwanza karibu
Auto.Manual au auto??
Nashukuru.Uwanja wa kirumba wote umezungukwa na mafundi garage wanatengeneza hadi BMW
Auto.
Kuna gari linalotumia umeme linapoteza kumbukumbu.Auto siwezi kukudanganya namfahamu mchawi wa manual pekee mwanza nzima
Ungekuwa Mbeya au Iringa ningekuelekeza, Kuna fundi ukimuona huwezi kumdhania , yupo yupo tu ! Hajawahi shindwa kazi na sio mbahatishajiKuna gari linalotumia umeme linapoteza kumbukumbu.
Yaani kuna wakati linapoteza nguvu.
Ukiondoa 'terminal' kwenye betri kisha kuirudisha inapata nguvu.
Naweza kupata mtaalamu.
Nadhani wa umeme ananifaa zaidi.