'Baby walker' yangu inataka kunipasua kichwa!

Mlolongo

JF-Expert Member
Jul 4, 2019
3,271
5,892
Babywoka yangu (IST/Passo)

Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.

Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.

Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).

Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.

Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.

Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.

Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)

Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.
 
Ebu baada ya kujibu swali la brother hapo juu, pili tuambie service ya mwisho ya ATF na oil sana sana ilikua lini.?
Service nilifanya miezi Kama minne imepita. Fundi aliniwekea ATF imeandikwaje ileee... Nimesahau jina la lile dumu. Oil alisema ameweka ile dumu lake kwa nje limeandikwa 'Toyota'
 
Toyota babywoka (IST/Passo)
IST na Passo wanatumia ATF Type IV hina haja ya kuangaika kama upo Dar nenda Toyota Shop wapo Kariakoo Msimbazi inauzwa kama 95,000/= hivi. Hiyo ndio recommended.

Oil hapo serious ulimuachia fundi gari abadirishe. We upo busy sana? Nenda Total dakika 30 ushanadirishiwa kwa Elfu 70 tu pamoja na filter na ufundi.

Okay, ila tatizo nahisi ni la gear box. Upo Dar nikuunge na fundi au upo mkoa?
 
Nipo mitaa ya Ubungo blaza.
Tafadhali niunganishe na fundi mzuri.
Nakosa kabisa raha ya kuendesha gari langu. Yaani nikitoka nje nalitazama hivi nasikitika.
Uzuri jamaa yupo Shekilango pembeni ya Rombo Bar pale.

Kama una muda kesho nenda akuchekie. Ila likija swala la kubadirisha vimiminika peleka sehemu husika au kanunue mwenyewe. Usiwaachie hao jamaa.

Hamis Fundi (Shekilango): +255714504214

Nenda nalo mwenye pale gereji kwake Shekilango. If possible ongea nae sahivi mwambie kanipa jamaa wa Runx.
 
Babywoka yangu (IST/Passo)

Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.

Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.

Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).

Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.

Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.

Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.

Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)

Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.
Toyota wametoa gari jipya IST/PASSO?
 
Babywoka yangu (IST/Passo)

Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.

Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.

Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).

Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.

Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.

Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.

Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)

Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.

Shida ya kwanza itakuwa ya umeme mzee. Mtafute jamaa wa diagnosis ya umeme ascan hio bebiwoka yako chap chap. Anapostigi sana humu yuko magomeni Kagera. Tafta mada zake anawekaga na namba ya simu hata jana kapost.

Tatizo la pili ni gear slipping ndio hupelekea mlio wa resi ukiwa kwenye speed. Gearbox oil imepungua au imechoka. Zaidi na hapo kutakuwa na tukitu tumeisha ndani ya gearbox wanatuita clutch hivi kiti kama hicho.

Chomoa stiki ya gear nusa kama inanuka harufu ya kuungua na ina rangi ya brown badala ya light pink badili imechoka sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom