Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,271
- 5,892
Babywoka yangu (IST/Passo)
Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.
Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.
Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).
Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.
Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.
Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.
Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)
Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.
Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.
Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.
Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).
Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.
Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.
Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.
Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)
Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.