Niaje wadau,
Naombeni Msaada gari yangu kila nikipita kwenye rough road inapiga sana kelele kwa ndani, lakin kwenye lami inatulia. Kupiga kelel kwake inakua kama inagonga..
Tatizo itakua ni nini.?
Habari JF
Mimi ni dereva bajaji, sasa nimeona kutegemea chanzo kimoja cha bajaj ni changamoto
Nimeamua kutafuta hili wazo la kuuza oli hasa M-GAS na TOTAL. Kwa bei ya jumla ili na mimi nipate...
Habari wataalamu kwa wiki kama mbili nimenotisi kitu kwenye gari yangu. Nikiwasha asubuhi. Inakuwa na kamlio fulani kwenye engine ambapo kanapotea baada ya dakika kama mbili au tatu gari ikipata...
Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.
Na kama vp...
Wakuu habari zenu...
Nimepata changamoto ya oil ya gearbox kuvuja kwenye Carina Si, nimepeleka gari garages tatu tofauti, wote wamebadilisha oil seals, tukafunga mpya, lakini bado tatizo lipo...
Habarini wakuu,
Nisaidieni kujua kuhusu Cooper Ukulaji wake wa mafuta, matunzo yanayofaa, disadvantages zake na advantages, na hiyo speed 260 sustainable kiasi gani kwa hizi road zetu.
karibuni..
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.
Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni...
habari wakuu
gari yangu naisikia inagonga gonga kwa chini hasa nikipita kwenye barabara vumbi, ila kwenye lami sisikii ikigonga shida yaweza kua nini, gari ni nissan juke
Toyota Voltz
Habarini wakubwa,
Nisaidieni kujua kuhusu voltz. Ukulaji wake wa mafuta, matunzo yanayofaa, disadvantages zake na advantages
Bei ya voltz 2008, 2006 na 2002.
Karibuni wakubwa.
Wadau naomba ushauri kati ya hizo pikipiki mbili. Nahitaj kununua kwa matumiz binafasi sio boda boda.
Kw uelewa mdogo ni kwamba TVS ni pikpiki iliyotengenezwa na mhindi na Haojue ni Mchina...
Kwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika.
Mabasi na malori mchina kashika soko, Yutong tatu sawa na scania moja, Kwenye malori ni hivyo hivyo.
Sasa siku akiamua...
Nanga ni kifaa kilichotengenezwa Kwa ajili ya kuzuia Meli isipelekwe na upepo au mawimbi pale itapokuwa imesimama endapo imemaliza safari, marekebisho au maegesho kwenye maji. Nanga ilianza...
Hello,
Mimi nataka kujifunza gari, anaejua bei ya kufundishwa na je ni sehemu gani mzuri ya kujifunza au kama kuna mtu anae weza kunifundisha aje pm tuyajenge nitampoza kidogo.
ELEWA AINA ZA MAFUTA YA BRAKE (BRAKE FLUIDS) NA MATUMIZI YAKE
Dot ni kifupi cha US depertment of transportation, dot inaonesha grades za brake fluid ambazo hutolewa na Federal Motor Vehicle...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.