JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika ulimwengu wetu wa kidijitali, chuki hujidhihirisha kwa njia ya matusi au kejeli, lakini pia hujificha kwenye emojis kama hizi: :mad::confused: 😠 👿 Watu wengine huonyesha chuki yao kimya...
-6 Reactions
49 Replies
1K Views
Nimekereka sana na huyu mmasai. Mbaya zaidi ananifuata ofisini kwangu! Niwe nashinda kwenye vijiwe vya kahawa ? Niache ugimbi kweli?
5 Reactions
12 Replies
510 Views
Hivi imetokea siku ya harusi yako mpenzi wako wa zamani akaja kushuhudia harusi yako alafu ukapewa nafasi umchagulie nyimbo utamchagulia nyimbo gani? Ukizingatia watu kibao wapo eneo la...
0 Reactions
74 Replies
15K Views
Wakuu, Nimepata hamu sana ya kuikumbuka shule niliyosoma O Level na kumaliza mwaka 1993 Form Four. Hebu kama kuna mtu alisoma kipindi hicho tubadilishane mawazo; wakati huo Mkuu wa Shule...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Unakuta mdada anaandika uzi kutafuta mpenzi au mume, eti anaandika mara nina diglii ya biashara, mara ninaishi sijui mbagala, mara mrefu kidogo mweupe! Jambo la kusikitisha ni kwamba ataeleza yote...
18 Reactions
78 Replies
2K Views
Haya sasa, Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku. Changamoto ya kuishi kwnye familia ya...
22 Reactions
295 Replies
15K Views
Leo siku imeanza vibaya na imeisha vibaya. Kunyimwa inauma nyie 😔 ANYWAY ; Jibu moja ya maswali haya tuzogoe. Nini kimetokea wiki hii kikakufurahisha au kukukera? Nyimbo unazozisikiliza on...
6 Reactions
109 Replies
3K Views
Habari wakuu Sijapata neno sahihi la kiswahili linaoendana na hobby. Hobbies ni kitu unachofanya kinachokupa furaha au kuridhika hasa muda unapokuwa uko free. Hobbies nazopenda Kusikiliza muziki...
11 Reactions
225 Replies
7K Views
To my man my forever love a partner in crime.To the light of life my Prince Charming, To my soulmate my rock. To my entire world the man of my dreams. You have always been my number one my...
19 Reactions
385 Replies
9K Views
Wakuu hv kuna nchi hapa Aftica ina rundo la pisi kali na zilizoumbika kama South Africa. Aisee south kuna pisi za maana sana. Nimeona nifunge safari kabisa huu mwezi wanane nizifate huko
9 Reactions
122 Replies
5K Views
Moja kati ya Game Kali sana ya kucheza kupitia simu au kompyuta yako basi ni hii the Walking Dead season 1, 2,3 na 4. Ni game nzuri yenye msisimko wa kipekee utakao kufanya ukicheza unafurahi...
4 Reactions
6 Replies
492 Views
Good morng Ase hii kitu ina ni kwaza sana since nipo mdogo up now tena kipindi nipo mdogo nilikuwa sitamani usiku ufike kabisa ipo hivi Usiku nikiwa nimelala naweza amka katikati ya usiku...
4 Reactions
149 Replies
3K Views
Huku si watoto,si watu wazima wengi wanaishi na VVU tena zile advanced stages (stage 3-4) Ogopa unaenda hospitali unakuta top ten diseases miongoni mwao ni HIV.
10 Reactions
51 Replies
2K Views
Ukifuatilia hiki kipande cha picha mjongeo, unapata picha gani?
7 Reactions
31 Replies
1K Views
GGADZZILA "kama hupati unachopenda penda unachopata" DIZASTA VINA "utairudia kawaida utagundua kuwa haukuwa malaika" WAZEE WANGU KIJIJINI "yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine...
7 Reactions
71 Replies
2K Views
Kila mwaka ifikapo tarehe 17 July Duniani watu huweza kusherekea siku ya Emoji Duniani. Emoji ni ishara inayoelezea kwa Namna gani mtu anajisikia Kwa wakati huo. Emojis Kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
205 Views
Hivi, nimewaza, Ndege ikiishiwa wese huko angani, inakuwaje! Wanasemaga huko kuna barabara. Rubani anapaki pembeni au anailaza kama wale wa pikipiki wanavyofanyaga? :D :D :D :D
5 Reactions
32 Replies
898 Views
Ila kuna vitu vinachekesha sana🤣🤣
3 Reactions
2 Replies
319 Views
Back
Top Bottom