JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari ndio hiyo, Kama anakula tu za wenzake ipo siku watamwambia alete ya ampendaye ambaye ndio wewe mme/make. Ukiona mshirikina jibu ni moja dini kama hatak mwache usije ukawa msosi.
2 Reactions
3 Replies
561 Views
[emoji23][emoji23][emoji23] kwaza nicheke Ilikuwa siku fulani hiyo nilikuwa na stress balaa sasa nikaona sio tabu ngoja nijitoe out nikatoka mpaka sehemu yangu pendwa kwa bendi mzuri CAPE TOWN...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
KAMA UTAENDA KUNUNUA DADA POA, ZINGATIA HAYA. Anaandika Robert HERIEL Yule Mtibeli, Kuhani katika Hekalu Jeusi. Mambo haya pengine niya aibu, pengine hayasemeki kwa urahisi, tena hayafurahishi...
77 Reactions
231 Replies
55K Views
Salaaam wana JF, Kama ilivyokawaida wavunjifu wa sheria huwa hawakosekani mahali popote lakini pia hata wale tunaoheshimu mamlaka lazima tuwepo. Taja member waliowahi kula ban hapa JF ili tupige...
14 Reactions
117 Replies
5K Views
Alhamis njema kwa nyote. Siku hii ya leo pokea baraka za utajiri Pokea baraka za majengo Pokea baraka za magari Pokea baraka za fedha na dhahabu Pokea baraka za biashara kubwa kubwa Mwaka huu...
2 Reactions
7 Replies
431 Views
usi mind pindi manzi wako asipo kutafuta siku nzima 😀mtafute wewe kwasababu ndo unaeumia ✅✅
1 Reactions
8 Replies
542 Views
Kumbe bado kuna wanaume wana vaa pichu mpaka sasa licha ya boksa kuwa nyingi wana vaa pichu za kiume na mstari unatokezea kwenye suali kabisa.
5 Reactions
26 Replies
926 Views
Mambo vipi wale vijana wote wenye maini na figo safi kabisa kwa utendaji kazi mwilini, lakini inakuaje wanangu wote wazee wa kamnyweso, wazee wa kula gambe, kula kilaji, kuuchapa mtungi na...
17 Reactions
94 Replies
7K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavojieleza, huyo kiumbe Genta anaongea ongea sana humu kujifanya yeye ndo anajua kila kitu kana kamba viongozi wetu wapenda hawafanyi kazi nzuri vile na...
3 Reactions
10 Replies
687 Views
Hello lads and ladies. Legends! Tupitie flashbacks zetu tukiwa campus notes zina majina yake, vikaratasi vya kuibia majibu kwenye Tests na UE na majina yake. Wakali wa vizenga, dessa, simbi...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Sijakosea najua hili ni Jukwaa la Jokes na nimeweka hapa sababu yanayofanyika ni kama Utani... Nimemsikia Makamba leo katika utiaji wa Saini za mikataba lukuki ambayo itahitaji pesa lukuki za...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Nilikulia na kulelewa Mbeya maeneo ya Majengo na Nonde-machinjioni. (1974-1980). Nikaondoka kwenda kusaka maisha. Nikalowea huko nilikokuwa. Nimerudi majuzi. Daa!! Ooh! Mbeya, my dear Mbeya!
2 Reactions
101 Replies
9K Views
Habari wana Jf. Katika maisha kuna vitu vinakuja na kupotea, Kuna watu wanakuja katika maisha yako na kutoweka. Kuna watu mlizoeana kipindi fulani lakini ghafla mmesahauliana. (Bila ugomvi)...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Wakuu, plani yangu kesho ni hiyo kwa ajili ya EX wangu. 😂 Mwenye plan nyingine anipe tafadhali! ---------------👇-------------- This's for (Jokes). If you want a serious post, go and write what...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuelekea sikukuu ya wapendao 14/02/2020. Hebu weka wazo la zawadi unayofikiri utanunua au kuandaa kwa ajili ya mpenzi/mpendwa wako ila bajeti isizidi Shilingi 20,000/= Kwa kuweka limit ya...
7 Reactions
185 Replies
14K Views
TUJIKUMBUSHE. ________________ Mwandishi: Tukisema Elimu bure au ukisikia neno Elimu bure wewe unaelewaje.? Mzazi: Naelewa kama ni kitanda ambayo umentandikia na kukaa kuongeaongea kikawaida...
1 Reactions
4 Replies
441 Views
Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo langu la mkono, lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda." Tafakari ya babu... "Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika...
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Naona kulala pekee ni Kama adhabu, wee usiku mzima hakuna hata anayekugusa. Poleni wote mnaolala Kama baiskeli ukipaki imepaki utaikuta vilevile asubuhi.
8 Reactions
27 Replies
1K Views
umekatiza zako kitaa mara pap unamkuta manzi kasizi mahal analia et hana sehem ya kulala 🤭 ukichec ni bonge la pis unaamua kujibless unaenda nae geto then unajiweka kwa sofa yeye kitandan usiku...
0 Reactions
4 Replies
403 Views
TUKIO LA KWELI KATIKA MAISHA HALISI. Siku ya November 24 mwaka 1971, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mji wa Portland jamaa aliyevaa suti nyeusi na koti refu jeusi kwa juu akiwa amebeba...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom