Hellow
Rafiki zangu wapendwa wangu niliwamic sana nilipewa ban nimefunguliwa leo nikaribisheni upya nipe story kwa ufupi kipindi sipo kilitokea nini?
Nina furaha leo sana
Miongoni mwa stressful days hasa likija swala la msosi ni leo.
Wakristo wengi hasa wa madhehebu ya Katoliki leo nyama ni marufuku.
Iwe kuku, kitimoto, mbuzi, ng'ombe, kondoo etc leo hawali kisu...
Waruka na ungo usiku mnafeli wapi?
Kwanini ungo usitumike mchana na sio usiku kwanini umsiungane ukafanye sayansi yenu ikawe bora maana sayansi yenu bado ni duni means bado haina maboresho...
Ndoto yangu ilikuwa nifikishe likes 1,000 kabla ya Pasaka ya mwaka 2023, hatimae leo nimefikia. Pongezi nyingi kwangu, sasa hii pasaka nitakula vizuri sababu nimetimiza lengo langu kuu hapa JF...
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK...
Jf member wote nawatakia kheri ya sikukuuu ya pasaka karibu nyumbani ila ukija uje na nauli yako na hela ya soda
Nawatakia watu wangu wa nguvu kheri na furaha tele
Punguani Gily mrembo Lenie...
Rais mwenzako sifi Leo ndo napita Ikulu zote mbili yaani Magogoni, na apo DODOMA nikiwa na Ungo wa Babu ila nikwambie ukweli ndio maana nchi inaibiwa.
Inakuaje muda huu ikulu muda huu hakuna...
Wakuu,
Nafurahi leo mtani wangu kikabila GENTAMYCINE ameweza kunitumia zawadi, maana baada ya ushindi wa JamiiForums majuzi, nilimuomba walau akipata zawadi anitumie kidogo.
Sasa kisa kinaanza...
African dont sleep wake up
Tuanze hii challenge una andika namba mbili za mwisho wa mwaka wako wa kuzaliwa mpaka umapate mdogo wako au kaka yako au dada yako au mchumba wako
Naanza mimi 06...
Mtalii na mtafsiri wake bongo hotelini.
Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.