JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
"Daima Mbwele Nyuma Mbwiko" Kudadadeki zenu Waajentina Wote.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Huyu mdau nini kimempata ndani ya majuma mawili sasa hapatikani au na yeye kalambishwa asali!
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Leo nimevaa Gongoti nitanazungukaa mitaa kadhaa ya Dsm, kama ukiona gongoti Leo ujue ni Mimi big thinker najaribu kupima uwezo wangu wa Miaka 15 iliyopita. Nimevaa miwani ya rangi ya njano. Nyuma...
0 Reactions
1 Replies
302 Views
Niaje mdau unayesoma huu uzi, kama kichwa cha habari kinavyosema unahisi watoto wetu watatumia maneno gani kama misemo iliyosemwa na watu tuliopo kizazi hiki. Weka comment yako chini mtu wangu...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
1:Demiss Huyu atakuwa na Chura flani hivi amaizing imebinuka kwa juu ambayo mtoto wa kiume ukiingia kichwa kichwa lazima uliwe hapo maana huwezi kuchomoka, Nafikiri wanateseka sana wale...
11 Reactions
911 Replies
49K Views
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo! Raha niliyokuwa naipata nipale niliota...
29 Reactions
367 Replies
31K Views
Wanaume tulipaogopa muhimbili sana kutokupima magonjwa. Idadi ya wanaume imeongezeka muhimbili kila kukicha. Ni muda sasa wa kuwaleza wale madaktari wa sudani chimbuko lao lilitokea temeke sudani.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia habari za kupotea kwa submarine inayomilikiwa na OceanGate iliyokuwa ikifanya safari yake katikati mwa bahari ya Atlantic kuelekea chini kabisa kwenye kina kirefu kutazama...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
3 Reactions
74 Replies
7K Views
Mtu mjinga ni yule anayenyang'anywa mali huku akicheka pasipo kujiuliza kwanini amenyang'anywa. Mtu mjinga anamiliki mali nyingi lakini anaruhusu mali hizo kuharibiwa na maadui na hata...
1 Reactions
0 Replies
375 Views
Wahenga walisema, kua uyaone. Humu jamvini hutangazwa ndoa baina ya flani na flani, lakini kumbe huwa ni ndoa za jinsia moja bila ya wenyewe kujijua. Makubwa!!!! Yaani kumbe Evelyn Salt ni DUME!!!!!!!
6 Reactions
112 Replies
7K Views
Wakuu naulizia lodge nzur kwa Bei ya shilingi kuanzia 15000-30000 maeneo ya Tandika, Sudani, Hospital, Pire, Temeke Mwisho, Mtongani, Kwa Azizi Ally anaefahamu nzuri anambie
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Leo nimekumbuka baadhi ya incidents zimenifanya nicheke sanaaaaa baada ya sista duu mmoja kujamba akiwa usingizini tukiwa kwenye foleni ofisi Fulani Nivyonunua kiredio changu mara ya kwanza miaka...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Wanaofanikiwa duniani sio wenye akili na nia pekee, wenzio wana miungu yao. Wewe una Mungu gani? Kusini unaweza ukawa na juhudi ila ukaishia kufanikisha wenzio ambao hawaangalii. Kuna uchawi wa...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
BIla kupoteza muda niende Moja Moja kwenye mada. Hawa wanawake wenye nyash walahi wanaweza wakakuacha Unatokwa udenda.Alafu asiwe na kitambi sasa unaweza ukahisi unatembea peponi kumbe upo...
7 Reactions
69 Replies
8K Views
Bwana Juma amewafukuza wageni waalikwa nyumbani kwake,sababu haijulikani,pilau limeachwa😀
2 Reactions
9 Replies
958 Views
1. Kuanguka kwenye uzinzi na uashareti na wanawake wa ovyo na kupelekea kupata mikosi ya kila namna. 2. Kupata kesi za mimba na watoto usiowatarajia kutoka kwa wanawake unaolala nao. 3. Kwenda...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Nataka kuacha pombe kwa miezi sita, mwili wangu umeanza kuchoka lakini pia nataka kufanya saving kidogo, nataka ninywe Christmas 2023. Nipeni mbinu nifanikiwe. Hili ni tangazo la kuacha pombe...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Jambo Jambo? Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa. Watu sasa hvi tuko vyombo. Wanaume Tunaojitambua tuko bar...
28 Reactions
154 Replies
7K Views
Nitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili, wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia, bei usizidi elfu sabini, pub nzuri ambayo ina utulivu, maeneo ya kutembelea yenye utulivu na...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom