Leo nimevaa Gongoti nitanazungukaa mitaa kadhaa ya Dsm, kama ukiona gongoti Leo ujue ni Mimi big thinker najaribu kupima uwezo wangu wa Miaka 15 iliyopita.
Nimevaa miwani ya rangi ya njano. Nyuma...
Niaje mdau unayesoma huu uzi, kama kichwa cha habari kinavyosema unahisi watoto wetu watatumia maneno gani kama misemo iliyosemwa na watu tuliopo kizazi hiki.
Weka comment yako chini mtu wangu...
1:Demiss
Huyu atakuwa na Chura flani hivi amaizing imebinuka kwa juu ambayo mtoto wa kiume ukiingia kichwa kichwa lazima uliwe hapo maana huwezi kuchomoka,
Nafikiri wanateseka sana wale...
Kama unakumbuka kukojoa kitandani ni kashikashi zipi ulipata by that time..mimi nakumbuka nilikuwa napigwa na kuambiwa nitoe matandiko huko nikila fimbo!
Raha niliyokuwa naipata nipale niliota...
Wanaume tulipaogopa muhimbili sana kutokupima magonjwa. Idadi ya wanaume imeongezeka muhimbili kila kukicha. Ni muda sasa wa kuwaleza wale madaktari wa sudani chimbuko lao lilitokea temeke sudani.
Nimekuwa nikifuatilia habari za kupotea kwa submarine inayomilikiwa na OceanGate iliyokuwa ikifanya safari yake katikati mwa bahari ya Atlantic kuelekea chini kabisa kwenye kina kirefu kutazama...
Mtu mjinga ni yule anayenyang'anywa mali huku akicheka pasipo kujiuliza kwanini amenyang'anywa.
Mtu mjinga anamiliki mali nyingi lakini anaruhusu mali hizo kuharibiwa na maadui na hata...
Wahenga walisema, kua uyaone. Humu jamvini hutangazwa ndoa baina ya flani na flani, lakini kumbe huwa ni ndoa za jinsia moja bila ya wenyewe kujijua. Makubwa!!!! Yaani kumbe Evelyn Salt ni DUME!!!!!!!
Wakuu naulizia lodge nzur kwa Bei ya shilingi kuanzia 15000-30000 maeneo ya Tandika, Sudani, Hospital, Pire, Temeke Mwisho, Mtongani, Kwa Azizi Ally anaefahamu nzuri anambie
Leo nimekumbuka baadhi ya incidents zimenifanya nicheke sanaaaaa baada ya sista duu mmoja kujamba akiwa usingizini tukiwa kwenye foleni ofisi Fulani
Nivyonunua kiredio changu mara ya kwanza miaka...
Wanaofanikiwa duniani sio wenye akili na nia pekee, wenzio wana miungu yao.
Wewe una Mungu gani?
Kusini unaweza ukawa na juhudi ila ukaishia kufanikisha wenzio ambao hawaangalii.
Kuna uchawi wa...
BIla kupoteza muda niende Moja Moja kwenye mada.
Hawa wanawake wenye nyash walahi wanaweza wakakuacha Unatokwa udenda.Alafu asiwe na kitambi sasa unaweza ukahisi unatembea peponi kumbe upo...
1. Kuanguka kwenye uzinzi na uashareti na wanawake wa ovyo na kupelekea kupata mikosi ya kila namna.
2. Kupata kesi za mimba na watoto usiowatarajia kutoka kwa wanawake unaolala nao.
3. Kwenda...
Nataka kuacha pombe kwa miezi sita, mwili wangu umeanza kuchoka lakini pia nataka kufanya saving kidogo, nataka ninywe Christmas 2023. Nipeni mbinu nifanikiwe.
Hili ni tangazo la kuacha pombe...
Jambo Jambo?
Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa.
Watu sasa hvi tuko vyombo.
Wanaume Tunaojitambua tuko bar...
Nitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili, wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia, bei usizidi elfu sabini, pub nzuri ambayo ina utulivu, maeneo ya kutembelea yenye utulivu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.