Mtu gani alikuja katika maisha yako alikusaidia na kuondoka

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Jul 11, 2017
1,014
1,896
Hello.

Wana chitcharts ni nani alikuja katika maisha yako ukiwa na uhitaji mkubwa wa jambo alikusaidia kwa asilimia kubwa na Akaenda Hakurudi tena au haukuwahi kuendelea kuwasiliana nae.

Kuna rafiki yangu alinikopesha million 1 nilipotoka kumaliza chuo aisee yule Dada ni wakishua nimesoma nae alinisaidia nikaanza biashara ya viatu mtumba.

Nikawa nikipata faida namrudishia hela kidogokidogo mwanzo kabisa nilipompa laki moja akaniambia usinilipe nimekusamehe,kiukweli sijui yuko wapi maana baada ya kuolewa Tuliamua kupoteza au kuacha kuwasiliana
 
Hello.

Wana chitcharts ni nani alikuja katika maisha yako ukiwa na uhitaji mkubwa wa jambo alikusaidia kwa asilimia kubwa na Akaenda Hakurudi tena au haukuwahi kuendelea kuwasiliana nae.

Kuna rafiki yangu alinikopesha million 1 nilipotoka kumaliza chuo aisee yule Dada ni wakishua nimesoma nae alinisaidia nikaanza biashara ya viatu mtumba.

Nikawa nikipata faida namrudishia hela kidogokidogo mwanzo kabisa nilipompa laki moja akaniambia usinilipe nimekusamehe,kiukweli sijui yuko wapi maana baada ya kuolewa Tuliamua kupoteza au kuacha kuwasiliana
Ameona dharau, anakudai milioni moja unakuja kumlipa laki moja akaona dharau hizi bora akuachie tu.

Hapo ungeanza kumlipa angalau laki 5 angepokea ila laki moja amezira kuipokea na kupotezea mazima

Ni sawa mtu umkope elfu 1 aanze kulipa sh mia moja
 
Mungu siku zote huwa anaandaa watu wa kukuvusha mahala fulani ufike upande wa pili. Iko hivyo yan kubali kataa halaf hawa watu Mungu anaowaletaga huwa hawama mambo mengi.

USHUHUDA
Mwaka 2020 June baada ya kuamua kuacha kaz kutokana na sababu fulani plus majungu ofisni nilipitia msoto mmoja mtakatifu.Hapo nina family. Migogoro ya kifamilia niliijulia hapo baada ya kipato kuyumba. Na sikua nalipwa pesa ya maana,ni shilingi 800k tu uzuri kulikua na vi deal vya hapa na pale ambapo iliniwezesha kujenga nyumba within 3 years tu so mpaka naacha kazi familia haikua kwenye nyumba za kupanga.

Basi siku hiyo tumetoka kugombana sana na yf asubuh akiwa anaenda kazini nikajawa mawazo makali sana. Ile ameondoka home nimebak alone watoto wko shule , GHAFLA simu inaita.
Kuchek ni manzi mmoja hivi tulisoma class 1 o level.
Yeye : mambo?
Mimi: poa niaje xxxx
Yeye: fresh, mbona kama hauko fresh shida nini, kazi zinaendaje?
Mimi: aah hamna tatizo, mambo ya hapa na pale tu ila kwasasa siko kazin miez 6 nilipoteza kazi!.
Yeye: daah sasa mbona hatuwasiliani umekaa kimya hivyo? Basi haina tabu, pole nitakuchek baadae.
Mimi: poa poa, siku njema!

Baada ya kukata simu sikuwaza chochote. Nikaendelea na kuawaza na kuwazua kujitafuta!.

Kesho yake asubuh ananipigia simu mshkaji mmoja hivi, ofcz tunafahamiana japo hatukua na ukaribu, ila wana ukaribu na huyo manzi aliyenipigia simu jana yake!. Hakua na mambo mengi alipopiga simu

Jamaa: oyaa niaje wewee,habar ya miaka??? Sasa nimepigiwa na (akamtaja jina) amenieleza situation yako, fanya kunitumia CV yako halaf kesho utapigiwa simu, ufike makubusho saa 4 asubuh!!

Kwel bwana nikapigiwa simu kesho nikatakiwa kufika makumbusho pale ofis flan, hakukua na mambo mwngi ile naingia , habar zangu na CV ilishanitangulia so kufika pale ilikua ni kujadili tu maelekezo ya kazi, na kusaini contract mshahara kwa mwezi 2.5million, haina interview wala nini!!!!.
Posho nikiwa nje ya Dar 80k per day nalipiwa hotel chakula na usafir...haina kupanda basi, ni kula flight tuu. Kuna time nachukua posho kubwa kuliko mshahara.
MAMBO HAYA NYIE ACHENI TUU!!!

Baada ya kufanya kazi miezi 6 kwa hiyari yangu nikaamua kuacha kazi bila kusukumwa, why?
Kipindi najitafuta tafuta nilikua nishapata wazo la nini nifanye so ile pesa nilikusanya ndani ya miezi 6 (ilikia kama miliion 26 hiv) nika settle madeni yaliyoniandama baada ya kukaa kipindi kirefu bila kazi, nikaboresha nyumba yangu kimtindo na nyingine nikanunua gari kwa ajili ya shughuli ambayo nilipata idea kuifanya.

Nikaanza ujasiriamali nikiwa siingizi hata shilling 0 kwa kwa mwezi na nimeacha kazi ya 2.5M kwa mwezi (sounding crazy) ila tayar ule msoto wa kwamza ulishanifunza kitu kuhusu ajira na msoto so kwakifupi woga wa maisha ulinitoka kabisaaa.

Baada ya mwaka now ,idea yangu ina generate almost 1.8M kwa mwezi and am still struggling...nikaanza kupita tena kwenye msoto mwingine ila huu ni wa kujitakia kwa hiyari maana kwenye biashara hiz mambo hazikwepeki..

BAADA YA HAPA KUNA TUKIO LINGINE LA MTU MWIMGINE TENA KUJITOKEZA KU SUPPORT IDEA YANGU MPAKA SASA TUKO PAMOJA.
 
Mimi niliwahi kusaidiwa na Mzungu mmoja hivi,ilikuwa hivi nilikuwa naenda kuangalia kiwanja changu kigamboni na kipindi hicho nilikuwa kwenye ajira katika Moja za hotel hapa Dar,nikafika pale tunapokata ticket huyo Mzungu alinisalimia akaniambia dada naomba unisaidie nilipie tickets nivuke hapa halafu alikuwa na mabegi kibao ila alikuwa amechoka halafu si unajua wazungu Huwa na harufu zao mbaya zile Mimi nikamuhurumia nikamsadia na nikamlipia baada ya kumuhoji yaliyomkuta nikamlipia na bajaji akaniambia nimpe namba yangu ya simu hiyo ilikuwa 2009 nikampa ,Sasa katika story za hapa na pale aliniuliza unafanya kazi wapi nikamwambia hotelini na nikamtajia hoteli tukaachana hapo,baada ya mda mrefu Sana alikuja hotelini kwetu akiwa na mkewe na dada yake wakaja Kula breakfast na ilikuwa weekend tunaita brunch basi aliwaambia Kila kitu Kwa hiyo kama aliwaambia ni huyu,Nashukuru Mungu mpaka Sasa maisha ninayoishi Mimi na familia yangu ni kwasababu yake aliniunganisha na dada yake huyo ambaye anaishi Hong Kong na amenifundisha biashara huyo dada na yeye muonganishaji sijamuona mpaka Leo,Dada yake alikuwa anatafuta mtu mwaminifu atakaye mwamini wapige kazi pamoja mpaka Leo nipo napiga kazi na dada yake nimekanyaga ardhi ambazo sikutegemea kufika katika maisha yangu ila Mungu mkubwa Sana.
 
Mungu siku zote huwa anaandaa watu wa kukuvusha mahala fulani ufike upande wa pili. Iko hivyo yan kubali kataa halaf hawa watu Mungu anaowaletaga huwa hawama mambo mengi.

USHUHUDA
Mwaka 2020 June baada ya kuamua kuacha kaz kutokana na sababu fulani plus majungu ofisni nilipitia msoto mmoja mtakatifu.Hapo nina family. Migogoro ya kifamilia niliijulia hapo baada ya kipato kuyumba. Na sikua nalipwa pesa ya maana,ni shilingi 800k tu uzuri kulikua na vi deal vya hapa na pale ambapo iliniwezesha kujenga nyumba within 3 years tu so mpaka naacha kazi familia haikua kwenye nyumba za kupanga.

Basi siku hiyo tumetoka kugombana sana na yf asubuh akiwa anaenda kazini nikajawa mawazo makali sana. Ile ameondoka home nimebak alone watoto wko shule , GHAFLA simu inaita.
Kuchek ni manzi mmoja hivi tulisoma class 1 o level.
Yeye : mambo?
Mimi: poa niaje xxxx
Yeye: fresh, mbona kama hauko fresh shida nini, kazi zinaendaje?
Mimi: aah hamna tatizo, mambo ya hapa na pale tu ila kwasasa siko kazin miez 6 nilipoteza kazi!.
Yeye: daah sasa mbona hatuwasiliani umekaa kimya hivyo? Basi haina tabu, pole nitakuchek baadae.
Mimi: poa poa, siku njema!

Baada ya kukata simu sikuwaza chochote. Nikaendelea na kuawaza na kuwazua kujitafuta!.

Kesho yake asubuh ananipigia simu mshkaji mmoja hivi, ofcz tunafahamiana japo hatukua na ukaribu, ila wana ukaribu na huyo manzi aliyenipigia simu jana yake!. Hakua na mambo mengi alipopiga simu

Jamaa: oyaa niaje wewee,habar ya miaka??? Sasa nimepigiwa na (akamtaja jina) amenieleza situation yako, fanya kunitumia CV yako halaf kesho utapigiwa simu, ufike makubusho saa 4 asubuh!!

Kwel bwana nikapigiwa simu kesho nikatakiwa kufika makumbusho pale ofis flan, hakukua na mambo mwngi ile naingia , habar zangu na CV ilishanitangulia so kufika pale ilikua ni kujadili tu maelekezo ya kazi, na kusaini contract mshahara kwa mwezi 2.5million, haina interview wala nini!!!!.
Posho nikiwa nje ya Dar 80k per day nalipiwa hotel chakula na usafir...haina kupanda basi, ni kula flight tuu. Kuna time nachukua posho kubwa kuliko mshahara.
MAMBO HAYA NYIE ACHENI TUU!!!

Baada ya kufanya kazi miezi 6 kwa hiyari yangu nikaamua kuacha kazi bila kusukumwa, why?
Kipindi najitafuta tafuta nilikua nishapata wazo la nini nifanye so ile pesa nilikusanya ndani ya miezi 6 (ilikia kama miliion 26 hiv) nika settle madeni yaliyoniandama baada ya kukaa kipindi kirefu bila kazi, nikaboresha nyumba yangu kimtindo na nyingine nikanunua gari kwa ajili ya shughuli ambayo nilipata idea kuifanya.

Nikaanza ujasiriamali nikiwa siingizi hata shilling 0 kwa kwa mwezi na nimeacha kazi ya 2.5M kwa mwezi (sounding crazy) ila tayar ule msoto wa kwamza ulishanifunza kitu kuhusu ajira na msoto so kwakifupi woga wa maisha ulinitoka kabisaaa.

Baada ya mwaka now ,idea yangu ina generate almost 1.8M kwa mwezi and am still struggling...nikaanza kupita tena kwenye msoto mwingine ila huu ni wa kujitakia kwa hiyari maana kwenye biashara hiz mambo hazikwepeki..

BAADA YA HAPA KUNA TUKIO LINGINE LA MTU MWIMGINE TENA KUJITOKEZA KU SUPPORT IDEA YANGU MPAKA SASA TUKO PAMOJA.
ukaacha kazi ya 2.5?
 
ukaacha kazi ya 2.5?
Niliacha mkuu.!!. Na sio kaz yangu ya kwamza kuacha.
2014 mwaka mmoja tuu toka nimetoka kumaliza chuo nilipata kaz ya kulipwa $450 by that time ilikua kama 720k hiv... nilifanya kazi miez mi 5 nikaacha kwakua sikua naipenda na sikua na amni nayo nikaenda kufundisha tuition nalipwa shiling elf 15 kwa siku kisha nikaajilowa kwenye kaz niliyosomea na kua nalipwa 250k na nikaona poa tu Wakilimsomitz
 
Back
Top Bottom