101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Mimi binafsi si msambaa Ila hawa jamaa wakiongeaga lugha yao Huwa naenjoy sana hususani zile lafudhi zao kama vile hela wanaita hea, nyumbani wanaita nyumbai.
Kabila lingine ni wamakonde wakiongea kilugha chao Huwa naenjoy sana yaani naburudika napenda sana kuwasikiliza.
Na kabila la mwisho ni wamwera na watu wa kusini Kwa ujumla mtwara na wanapoongea Kiswahili chao kilichochanganyika na kilungha yaani hata mtwara wanaita ntwara,mtu Mambo anasema ntu
Wew kabila gani linakushangaza na kukufurahisha wanapoongea lugha yao au kiswahili.
Kabila lingine ni wamakonde wakiongea kilugha chao Huwa naenjoy sana yaani naburudika napenda sana kuwasikiliza.
Na kabila la mwisho ni wamwera na watu wa kusini Kwa ujumla mtwara na wanapoongea Kiswahili chao kilichochanganyika na kilungha yaani hata mtwara wanaita ntwara,mtu Mambo anasema ntu
Wew kabila gani linakushangaza na kukufurahisha wanapoongea lugha yao au kiswahili.