JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hatuwezi mlipa Wala muhonga Mungu ili atujibu hitaji za mioyo yetu. Asubuhi hii ya leo lila mwana JF aombe Sala hii. "MUNGU wa mbinguni asanteh kwa wema na neema zako, licha ya kuwa sisi ni...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Sijui hii comment niliandika nimelewa au laah, lakini Kuna mwamba kaja inbox kuuliza kama naweza kumpa million 3 na hio comment kuwa nina pesa mpaka zinamwagika imenibidi niisome Tena kwa utulivu...
13 Reactions
24 Replies
1K Views
Tanga mtoto wa kike akizaliwa tu anavalishwa shanga. Arusha kama huna meno ya dhahabu unatengwa. Manyara usipoua simba we sio mwanaume kamili. Mara demu akiwa hapigwi anaomba talaka. Mwanza...
1 Reactions
4 Replies
946 Views
Unajua ukizoea vidada vinavonata sana alafu ukiwa na kipesa kidogo cha kubadilisha totoz basi unaona sawa tu kuharibu laki kulipia kiwanja tuu kwa ajili ya pambano. Nimegundua huku kwenye Lodge...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Kama habari inavyojieleza natafuta Mke wa kuoa, nimekuwa busy na kazi nakosa muda wa ku-mingle na kutongoza, na wengi ninaokutana nao wanawapenzi wao na wengine wameolewa. Sasa mimi nataka wa...
5 Reactions
106 Replies
7K Views
Wanajukwaa naomba msaada wa Lodges nzuri za bajeti ya kati 25 to 30.
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazee wa kazi hii noma aseee
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Wenyewe habarini za mchana ,this thread pls tuelezee matukio ya kutisha ambayo wewe binafsi umeshawahi kukutana nayo dunia hii kwenye kuishi kwako, mimi binafsi sitosahau siku moja nilikua...
3 Reactions
151 Replies
27K Views
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, Asante Jehova Asante Mama Asante walimwengu Kwa kunipokea kuishi nanyi. Tuitafute amani sikuzote Duniani tunapita tusijisahau tukalowea kwenye dhambi, Kila kitu...
36 Reactions
258 Replies
7K Views
Tuseme bilionea yupo asubuhi ofisini anaendelea na majukumu Mara ghafla inaingia laki moja kwenye simu kimakosa, je hapa bilionea hawezi kuacha shughuli zake na kuchukua lifti kwenda kwa wakala...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!. Kwa Taarifa yako 1990 - Umri Miaka 35 1991 - Umri Miaka 34 1992 - Umri Miaka 33 1993 - Umri Miaka 32 1994 - Umri Miaka 31 1995 - Umri...
13 Reactions
59 Replies
3K Views
Hakuna jina la kike linaloanzia na herufi "Q" kama lipo litaje[emoji23][emoji23][emoji23]
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Ni siku nyingine ya kukumbusha kwamba vitu vya bure vinakuja na masimango , learn to hustle
7 Reactions
8 Replies
486 Views
Unajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana, ila hamna lolote. Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Mimi naishi na dogo langu la kiume kigeto geto, sasa shida ni kwamba, itokee siku yeyote tupike chakula kizuri sana lazima itokee kasheshe yeyote ile nisikile hicho chakula. Either nitatoka na...
2 Reactions
6 Replies
454 Views
"Wanaume mnashauriwa mnapotubusu alafu mkashuka kusini kutula, tunaomba msipande juu kutubusu maana mnakuja na harufu kali. Binadamu akila msosi husubiria nusu saa ndio anywe maji.. Muwe na...
0 Reactions
268 Replies
18K Views
Wakuu huu Uzi ni kwa ajili ya kushare different stories ya umbandu mbandu uliokutokea sikukuu pendwa ya wajinga ..kwangu Mimi siji sahau siku ambayo swalehe alikuja kuniamsha kwamba nje kuna simba...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Leo katika pita pita zangu maeneno ya kanisania nikakutana na rafkiangu nilikua nae wakati tupo wadogo Kattika kuongea ongea nae muda mrefu akaniambia ya moyoni,,, eh mie nae nina kismati kila...
4 Reactions
101 Replies
9K Views
Habari. Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…