JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Just imangine wewe ni kijana wa miaka chini ya 30, hujaoa na una kazi nzuri tena unafanyia posta Dar es Salaam. Mshahara ni take home kama 2M hivi na unakaa either sinza or kigamboni. Maisha haya...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Mjuavyo tena, leo ndio siku ya wapendanao; msiponiona humu kuanzia saa nne na kuendelea, mjue nimeenda kujumuika na upande wangu wa kushoto(Hawa) katika kuburudika katika hii sikukuu ya...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Uliona nini ukajua kuwa sasa umri wako umeenda?
11 Reactions
249 Replies
8K Views
Game tafu sana Wakuu ikabidi nikumbuke nina kachenji uchafu kalibaki CRDB, ndio kwenda kuhakikisha balance nikaambiwa kuna 15800 sasa kibaya sina card ya ATM, ilipotea na hata sim banking line...
8 Reactions
26 Replies
1K Views
Leo mimi ndo nimejua kuwa ninatakiwa nitafute mtu sahihi katika maisha yangu nimeumia sana jmn
5 Reactions
14 Replies
677 Views
Umenyoa na hajaja Endelea kujikuna!!! Eti..vp wewe... mambo yako na bebii wako yaliendaje leo!!
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Ukiingia kwenye JF Web Analysis utakutana na zaidi ya members zaidi ya laki 8, zaidi ya Post 8m na Guest 6m. Cha ajabu, huwa sifumanii mwana JF akiwa JF Nimeishia kuona Guests wakiwa kwenye vituo...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Namtafuta rafiki yangu wa kitambo sana, tulipotezana mwaka 2019 hapa JF. Kama ananiskia tafadhali anicheki pm.
4 Reactions
7 Replies
555 Views
ANAFANYA kazi TANESCO?
0 Reactions
1 Replies
469 Views
Kitambo sijakuwepo jukwaani. Nmewamiss sana nikisema nianze kutaja mmoja mmoja sitamaliza. Hivi mnajua ushauri wenu uliniamsha usingizini nikaachana na yale mahusiano sugu. 2024 ni mwaka mzuri...
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Suala la utapeli lipo kila mahali, angalia hapa jinsi Tapeli anavyotafuta hela kwa njia ya Ki-Michael Jackson,
2 Reactions
0 Replies
609 Views
Tangu enzi na enzi mwanaume hajawahi kuwa Sawa na mwanaume. Hizi ni baadhi tuu ya tofauti kati ya wanawake na wanaume. Sasa Nina shangaa hawa wat u wa haji za kibinaadamu kuja na kelele nyingi...
1 Reactions
0 Replies
791 Views
Karibuni!
1 Reactions
2 Replies
497 Views
Tofauti na Hapa Africa ambapo Misibani wanaenda kujitafutia Sifa, Umaarufu, mbwembwe na hata kulogana Nawatakieni Jumatano ya Majivu Yenye Baraka Rip Edward Lowasa
1 Reactions
1 Replies
263 Views
Mpwayungu Kwa wenyeji wa Tarafa ya Mpwayungu, leo nipo hapa kwa masaa sita hivi, Kijiji ni kitulivu siyo mbaya, leo hali ya hewa siyo mbaya kabisa maana najua wazi kabisa kua, viunga vya Dodoma...
1 Reactions
8 Replies
655 Views
1 Reactions
3 Replies
409 Views
Umeme ukikata ghafla huwa unatamka maneno gani unayotamani TANESCO wayasikie?
6 Reactions
51 Replies
2K Views
It's only in Africa where politicians have a lot of money than businessmen. [emoji17]
1 Reactions
1 Replies
345 Views
Habarini za jioni wakuu.. Bila shaka mko na weekend nzuri kabisa, Kwangu mimi weekend ni mbaya nimekaa leo nikamkumbuka huyu kaka, alikuwa rafiki yangu sana tukaja kupotezana, sijui ntampata...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…