JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naombeni mwaliko kwenye sherehee ya IDDI . Unique Flower .
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Eid mubaraak ndugu zangu, ramadhaan imekamilika na Eid fitr imeingia hatuna budi kusherehekea. Panapo majaaliwa kesho nikiufinya mtoko utakuwa kwenda kuwatembelea wagonjwa. VIPI WEWE MTOKO WAPI?
0 Reactions
13 Replies
634 Views
Aliyeko karibu na Mufti tusaidieni kumuuliza kama kesho ni sikukuu. Confirmed kesho ni Eid
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Usiwe na ujasiri sana kufanya mazungumzo au kukutana na watu usiowafahamu mtandaoni. Kwa upande wako mwana-Jamiiforums unanini ya kusema kuhusu haya maelezo..?
6 Reactions
36 Replies
1K Views
1. Single mother Watanzania wengi walikuwa hawajui single mother ni nani 2. Wanaume wa dar 3. Mizagumuo 4. Kataa ndoa 5...
1 Reactions
28 Replies
1K Views
Ni level gani ya elimu imekupa marafiki ambao umedumu nao hadi leo, kati ya 1. Primary 2. Secondary 3. A level 4. Chuo 5. Kitaa
4 Reactions
18 Replies
990 Views
Wadau hamjamboni nyote Leo nimepewa ofa na rafiki yangu huko maeneo ya Skansca Salasala Nimefurahi sana kwa huduma husika shukrani kwa Ndugu yangu Gharama zake za kutisha Nimeweka...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
8 Reactions
88 Replies
3K Views
Unaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
4 Reactions
150 Replies
9K Views
Jamani naombeni kujua kazi ya hivi vitu kwenye pombe kali haswa Whiskey au Spirit. Je unaweza kutumia kwenye beer?
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Kila rijali huwa kuna mwanamke maarufu anayemhusudu ila ndo hivyo huishia kumtafuna kimoyomoyo kutokana na kutokuwepo kwa nafasi ya kuweza kumpata. Ifuatayo ni orodha tukufu ya wanawake maarufu...
20 Reactions
191 Replies
10K Views
Hivi kwanini pombe ujazo wa juu ni mililita 750?
1 Reactions
2 Replies
365 Views
Kichwa cha Habari kinajitosheleza. Miaka ipi tumeanza kuvalisha watoto pempas je ni 90' au 2000'. Na vipi kuhusu chupi na vipi kuhusu boxer naombeni ufafanuzi.
0 Reactions
1 Replies
533 Views
1. Nilifaulu nipangiwa mkoa kilimanjaro, nyumba ya ubalozi niliofikia kulikua na mfanyakazi wa ndani anatokea Tanga, Kwakua sikuwa na uzoefu sana jinsi alivyojua ananionesha nikajua ananipenda...
26 Reactions
46 Replies
4K Views
Binadamu kukumbushana. Usije kuweka simu mfuko uliouwekea Hela. Weka na kingine tuendelee kukumbushana
5 Reactions
20 Replies
846 Views
Kitambi aka friji kinaninyemelea na umasikini wangu huu Ndo kabisa nishapa gundu na sijui nitatoboaje, vipesa kidogo tu kitambo kinanisonga Bilgate hana kitambi Elon musk hana kitambi Aliko...
22 Reactions
75 Replies
2K Views
1. Wachaga - Kimara 2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda 3. Wahaya - Mwananyamala na sinza 4. Wapemba - Kigamboni 4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko 5. Mbagala - wamakonde Hii inaweza kutumika kwa...
18 Reactions
104 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…