JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu nimeamua kuileta hii habari kama thread sio story ya kutunga ni kweli ilinitokea kipindi cha nyuma kidogo miaka ya 2008. Ilishawahi kunitokea hiyo Kijijini aisee. Nimetoka zangu Dar nikaenda...
13 Reactions
29 Replies
2K Views
Tuliosoma vyuo vikuu vya mijini tukutane hapa. Wahenga wanasema ukizaliwa mjini tu basi wewe Form 6. Ukikulia mjini basi tayari upo University. Tuliosoma Vyuo Vikuu vya mjini kuna raha yake...
3 Reactions
8 Replies
707 Views
Ughonile.. Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako...
31 Reactions
157 Replies
5K Views
Ugumu WA maisha unafanya tuonekane hatuna mapenzi ya kweli
11 Reactions
38 Replies
1K Views
Siasa zetu za kibongo bila chawa, ndumba na pesa hutoboi. PhD tupa kule! NB: Antipasi kazi unayo, itakuchukua miaka 10 kununua gari jipya.
3 Reactions
8 Replies
468 Views
Bakari is a house boy who every day drinks the wine of his Boss puts water in the bottle to replace what he drank. But the Boss having suspicions as for the quality of the wine, decides to buy...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Watoa likes wawe wanapewa likes nyingi.Siyo mtoa likes unakuta comment yake iko na like moja😳🙄....Jitahidini members...kuoneshana upendo siyo gharama. Nimewasemea eti!?🥴
44 Reactions
285 Replies
6K Views
3 Reactions
4 Replies
415 Views
1. Zaidi ya asilimia 70 ya watumishi wanachukua salary advance siku tatu tu baada ya mshahara kutoka 2. Zaidi ya 50 wanaishi kwa mshiko fasta kutoka bank 3. Katika simu 10 unazopigiwa kila siku...
4 Reactions
11 Replies
603 Views
Mimi huwa najikuta very uncomfortable kushare mambo au shida za familia kwa mwenzangu hata kama mara nyingine anasisitiza naona kama kuna siku tukikwazana he will use that against me. Japo yeye...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Nakumbuka mwaka mmoja nilitembelea kule Pangani. Nikashuhudia kisa kimoja cha jamaa na Punda wake, ambaye inasemekana Punda wake alikuwa mvivu sana. Jamaa alikuwa anamtumia Punda wake katika...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
kuna maeneo fulani mkoani morogoro kama unaelekea Kinole, kuna daraja jembamba ambalo linaruhusu kupita gari moja tu kwa wakati mmoja. Sasa siku moja kulikua na gari mbili zinatokea pande mbili...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Kipindi cha mjerumani...muone mchaga alivyokuwa
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Laana kuu ya wabongo ni longolongo na woga. Do something ~@$&%! La sivyo kaeni kimya maanayake malalamiko na manung'uniko pekee bila vitendo ni kichefuchefu. Angalau basi jiungeni na CHADEMA...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamaa mmoja mvuta unga kenda kwa kinyozi kunyolewa, alipoketi kwenye kiti cha kinyozi akainamisha kichwa chake huku akisinzia kwa jinsi madawa alivyo mkolea, vijana wa mjini wanaita akiyoyoma au...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zilizotujia kutoka mahakama ya mwanzo kisutu, zinasema kuwa, kijana mmoja kafikishwa mahakani kwa kosa la kumuibia dada mmoja mkufu wa dhahabu, na kuumeza tumboni, baada ya kusomewa kosa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na...
18 Reactions
133 Replies
4K Views
Heri ya kuzaliwa wadau wa JF mliozaliwa tarehe ya leo. Mungu awatangulie katika mishe zenu. Happy Birthday 28/August mwilongo Aron mr xuma Inspector Jws Gilbert Julius Alex Fredrick amonbiner...
5 Reactions
2 Replies
396 Views
Back
Top Bottom