Wakuu nimeamua kuileta hii habari kama thread sio story ya kutunga ni kweli ilinitokea kipindi cha nyuma kidogo miaka ya 2008.
Ilishawahi kunitokea hiyo Kijijini aisee.
Nimetoka zangu Dar nikaenda...
Tuliosoma vyuo vikuu vya mijini tukutane hapa.
Wahenga wanasema ukizaliwa mjini tu basi wewe Form 6. Ukikulia mjini basi tayari upo University.
Tuliosoma Vyuo Vikuu vya mjini kuna raha yake...
Ughonile..
Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako...
Bakari is a house boy who every day drinks the wine of his Boss puts water in the bottle to replace what he drank. But the Boss having suspicions as for the quality of the wine, decides to buy...
1. Zaidi ya asilimia 70 ya watumishi wanachukua salary advance siku tatu tu baada ya mshahara kutoka
2. Zaidi ya 50 wanaishi kwa mshiko fasta kutoka bank
3. Katika simu 10 unazopigiwa kila siku...
Mimi huwa najikuta very uncomfortable kushare mambo au shida za familia kwa mwenzangu hata kama mara nyingine anasisitiza naona kama kuna siku tukikwazana he will use that against me. Japo yeye...
Nakumbuka mwaka mmoja nilitembelea kule Pangani. Nikashuhudia kisa kimoja cha jamaa na Punda wake, ambaye inasemekana Punda wake alikuwa mvivu sana. Jamaa alikuwa anamtumia Punda wake katika...
kuna maeneo fulani mkoani morogoro kama unaelekea Kinole, kuna daraja jembamba ambalo linaruhusu kupita gari moja tu kwa wakati mmoja.
Sasa siku moja kulikua na gari mbili zinatokea pande mbili...
Laana kuu ya wabongo ni longolongo na woga. Do something ~@$&%! La sivyo kaeni kimya maanayake malalamiko na manung'uniko pekee bila vitendo ni kichefuchefu. Angalau basi jiungeni na CHADEMA...
Jamaa mmoja mvuta unga kenda kwa kinyozi kunyolewa, alipoketi kwenye kiti cha kinyozi akainamisha kichwa chake huku akisinzia kwa jinsi madawa alivyo mkolea, vijana wa mjini wanaita akiyoyoma au...
Habari zilizotujia kutoka mahakama ya mwanzo kisutu, zinasema kuwa, kijana mmoja kafikishwa mahakani kwa kosa la kumuibia dada mmoja mkufu wa dhahabu, na kuumeza tumboni, baada ya kusomewa kosa...
Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na...
Heri ya kuzaliwa wadau wa JF mliozaliwa tarehe ya leo. Mungu awatangulie katika mishe zenu.
Happy Birthday 28/August
mwilongo Aron mr xuma
Inspector Jws Gilbert Julius
Alex Fredrick amonbiner...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.