JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kipindi tupo maservice enzi izo kambi fulani kulikuwa na op ilio tutangulia sasa kulikuwa na kijana mmoja maarufu sana anaitwa ngosha so sisi op mpya tulivyo fika pale kikosini tukamkuta sisi...
15 Reactions
84 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu wanajukwaa. Nikifahamu kwamba humu ndani ya jukwaa wapo watu wa namna mbalmbalii na experience mbalimbali, leo nawaomba wale waliopitia seminary tukutane hapa...
2 Reactions
115 Replies
15K Views
Ukiachilia mbali yale ya yule bi dada mwenyekiti kule kwenye jumba vikao vya kaya. Wakuu kwa wale mlioutwangwa mtindi weekend hii ukizingatia ilikua ya mwisho wa mwezi tukumbushane tu hata kama...
2 Reactions
8 Replies
549 Views
Waswahili wanasema akiba haiozi basi kupitia kitabu cha Richest Man in Bablion anasema. “Hakikisha una kipato kwaajili ya siku zijazo. Waangalie wazee na kumbuka kuwa siku zijazo nawe utakuwa...
3 Reactions
10 Replies
598 Views
Habari zenu kama tunavyojua mpendwa wetu Leejay49 alipata shida kidogo iliyopelekea kufanyiwa upasuaji wa sikio na jicho ni baada ya muda kidogo leo nimepata kuwasiliana nae Anasema anaendelea...
46 Reactions
184 Replies
3K Views
Sijamtaja mtu nimekumbuka katuni ya Kirikuu. Chama cha kijani kinaandwa na laana ya kuropoka ropoka Alianza Waziri Pena, Akaja, Mama yangu Kumwita Mnyama jina la Binadamu. Mara Mbwa. Chura Simba...
1 Reactions
4 Replies
481 Views
Hii nimeshajaribu mara kadhaa, ukicheki dashboard mshale unasoma 120kph, gari inaenda kasi, lakini unaona kama imesimama hivi.., ukicheki nje unaona kabisa hii gari haizidi 30kph..,
5 Reactions
24 Replies
770 Views
Salaam ! Kaka mkubwa "The Boss" nimekumiss mdogo wako Mkunazi Njiwa [emoji7] Nimemiss mikato ya maneno yako mkuu wangu.... Popote ulipo "shout out" dude ! #Nchi Isalama chini ya mh.Rais...
8 Reactions
43 Replies
1K Views
Leo tuifanye hii thread iwe ya moto. Ni ushauri upi wa muhimu unao mpa kijana wa kitanzania siku ya leo ili aweze kuyabili maisha vema?
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Wadau mimi nina swali hapa. Wapi ni sehemu sahihi haswa ya kukutana na mchumba wa kuoa? Wengi wanasema sehemu ya ibada, je nyie wana jamii Forum mwaona wapi ni pazuri kukutana na mchumba wa kuanza...
1 Reactions
7 Replies
491 Views
Chemsha mchaichai majani ya maboga oga siku tatu maji uvuguvugu tia chumvi mawe kijiko kimoja manuizi ya mvuto kupendwa kuthaminika. Fanya mpaka saba, ogea njoo niambie.
1 Reactions
4 Replies
446 Views
Enzi huzo nipo chuo, mida ya asubuhi nimeenda mgahawani kupata supu then niingie zangu pindi. Basi bwana, nikafika nikaagiza supu nikawa nasubiriwa niletewe. Sasa kuna vile vitambaa vya...
3 Reactions
8 Replies
489 Views
Tutapate raha kwa matani na picha za vichekesho leo weekend
5 Reactions
0 Replies
1K Views
Elewa tu sisi wengine hatuna maisha mazuri ila mioyo yetu ipo tayali kukosa kuliko kuzulumu haki ya mtu.
4 Reactions
9 Replies
383 Views
Leo ni kumbukizi ya kuzaliwa Kwa chakorii.. Karibu tusheherekee pamoja na Gemini. Kama na wewe unasheherekea birthday yako leo tafadhali mguse Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa.Tembelea watoto...
18 Reactions
130 Replies
5K Views
Hello hello hellooooooo. Mko salama jamani😉😉 Leo ni birthday ya Chakorii. Karibu tusheherekee pamoja 🫶🫶 Mtoto ninapokea zawadi🥳🥳🥳 Huhuhuuuu🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️ 🥂🥂🥂🥂
17 Reactions
56 Replies
2K Views
Dear crush ninakusabahi nikiwa nyuma ya keyboard,uhali gani?🥰🥰 Nikiuona mwandiko wako basi roho yasuudhika barabara(jamani mniombee)😊😊hallelujah. Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍. Wana...
24 Reactions
225 Replies
5K Views
Kila nikipita kwenye mitandao kuanzia Instagram, Twitter ( X ), Facebook n.k kote huko kwa asilimia kubwa unakuta Picha au clip ya demu akionesha makalio bila aibu Sasa najiuliza ni matangazo au...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka ya 90, hakukuwa na access sana na mitandao hasa hii ya kijamii, Hapa naongea kabla ya Facebook, kabla ya tweeter, JF, Badoo, instagram hata whatsapp, Najua wahenga walijua...
8 Reactions
165 Replies
13K Views
Wakuu, weekend hii naingia Mjini(Kariakoo).. nitakuwepo kama siku tatu hivi.. nahitaji Lodge Affordable inayo-range bei ya 20,000 - 30,000(Isizidi hapa) Nahitaji connection zenu wakuu ili...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom