mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Wana Nsumba mpo?
Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984!
It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau Mama Manyanda!Na Mtera vile vile
Mgoha alipoingia kuwa Headmaster aliibadilisha shule kidogo!wakati mzuri ulikuwa jioni,kwenda ziwani kuoga etc.Bila kusahau Visiting-Nganza au Bwiru wakati wa baadhi ya Jumapili!Oh na Disco vile vile siku maalum kati ya Nsumba au Bwiru Girls!
Tupeana fresh memories kama uliattend Nsumba miaka hiyo!
Nilikuwa Nsumba Sec toka 1981-1984!
It was nice experience and great school ever attended!Walimu wetu wakina Michapo,Bia ,Kikuli na wengineo.Mshikaji ,Mdundo etc.Bila kumsahau Mama Manyanda!Na Mtera vile vile
Mgoha alipoingia kuwa Headmaster aliibadilisha shule kidogo!wakati mzuri ulikuwa jioni,kwenda ziwani kuoga etc.Bila kusahau Visiting-Nganza au Bwiru wakati wa baadhi ya Jumapili!Oh na Disco vile vile siku maalum kati ya Nsumba au Bwiru Girls!
Tupeana fresh memories kama uliattend Nsumba miaka hiyo!