JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Karibuni tusheherekee pamoja siku hii muhimu kwangu wapendwa. Ninapokea zawadi kwa mikono miwili. Thank you 🫶🫶 😘😘 🥂🥂
17 Reactions
59 Replies
2K Views
Kuna jamaa hapa kijiweni kasema kama ulikuwa hauna unafuu kabla ya 2015, umebakia hivyo hivyo had hii sasa yan unaishi kwa mishe to mishe zisizoeleweka
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Salamu wanajukwaa. Popote ulipo Setfree unaombwa kurudi jukwaani ushushe elimu ya kiimani. Uwepo wako ndio mafanikio ya injili hapa JamiiAfrica. Wewe na mama mchungaji Donatila elimu yenu ni...
4 Reactions
26 Replies
957 Views
GT Watu wa Mkoa wa Mara na viunga vyake Mjiandae kwa ubwabwa, sato na sangara.
1 Reactions
6 Replies
416 Views
Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd. Cc: Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent...
22 Reactions
141 Replies
5K Views
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “mshangazi”. Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao...
11 Reactions
190 Replies
6K Views
Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha. Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano 👉I kwangu ni jamii...
41 Reactions
976 Replies
32K Views
Mfano wewe mwanamke ungezaliwa mwanamume Wewe mwanamume ungezaliwa mwanamke. Unahisi ungekuwa mtu wa namna gani?
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Hili tatizo la kukosa usingizi usiku kama hivi haswa nikiwa na bando kwenye simu, hivi ninalo mimi peke yangu au?
13 Reactions
249 Replies
7K Views
Hebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau? Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi. Karibuni!
7 Reactions
738 Replies
87K Views
  • Poll Poll
Ni kawaida sisi wanaime kufuatlia Ili kujua yaliyomo yamo. Shida ni matokeo yake
0 Reactions
2 Replies
307 Views
Kwema wakuu ? Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
😂
2 Reactions
1 Replies
184 Views
Nimepita sehemu nimekuta ng'ombe kasimama juu ya bati,ile juu ya bati juu ya nyumba Uzi bado
16 Reactions
104 Replies
3K Views
Kila nikisoma maandiko humu naona neno "MBUSUSU" halikosekani🙄 Mfano: kuchakata mbususu, kula mbususu nk.. Ni kinini hicho, maana Tanzania kwa Rejesta/ maneno yasiyo rasmi mnajiweza... Naomba...
8 Reactions
98 Replies
3K Views
Weka emoj tuuuu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MCHIBO...
0 Reactions
3 Replies
348 Views
Bikra bikra! Enzi za kale babu zetu walihakikisha watoto wao wanatunza bikra zao hadi siku ya ndoa! Binti aliyejitunza alionekana kuwa ni bora zaidi Na heshima kubwa kwa wazazi wake! Njia...
4 Reactions
181 Replies
16K Views
Kulikuwa na washtakiwa watatu, Mmasai, Mmakonde na Mchaga. Wote waliukumiwa kufa/kuwawa kwa kukutwa na madawa ya kulevya, kule Jamhuri ya wa watu wa China. Serikali ya China kwa kuzingatia...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu mitaani mji wa ZnZ, siku moja nilipata bahati ya kuwasikia ndugu zangu wa kule Pemba. Walikuwa wakijadiliana kuhusu kipindi kilichokuwa kimerushwa na runinga, kipindi...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
A Chinese couple got married. When the baby was born, her eyes were big and blue, hair was curly and blonde, skin was brown. Finally, name of baby was SUM TING HONG ("some thing wrong")...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom