Ndiyo maana wengi huwaoni jukwaani.
Vijana utuuzima unamajukumu mengi saana. Unataka kulog-in JF mke anahitaji cuddling, watoto wanachezea simu yako kazini labda kwasababu ya umri wewe ndiye boss...
Shule tulizosoma zilikuwa na sheria na kanuni zake
Binafsi shule niliyosoma pamoja nilikuwa mwanafunzi mtiifu ila sheria zifuatazo zilinishinda
1. Kufika shule siku ya kufungua shule
Hapa...
Wadau hamjamboni nyote?
Je ni kweli watu wa kigoma wanaoongoza kusafiri kwao wakiwa wamebeba mikate mikubwa? Sababu ni zipi hasa?
Ni tetesi tunaomba uthibitisho
Wadau hamjamboni nyote?
Niwakumbushe vituo mbalimbali kwa wanaJF mnaosafiri kwa njia ya mabasi kwenda kanda pendwa ya ziwa
Morogoro, Dodoma,Manyoni, Singida, Shelui , Igunga, Nzega, Tinde...
Katika mazingira gani?
Mi nilipataga trafiki mmoja Kibaha pale Maili moja. Alinikamata kwenye ile zebra crossing. Nikalipa faini kiroho safi halafu nikampa business card yangu.
Ndiyo ikawa hivyo.
Chochote chenye mwanzo huwa kina mwisho.
Na wewe kama ulizaliwa, hutofikisha miaka 100 ya kuishi hapa duniani.
Ni muhimu kufahamu ya kuwa, na wewe una mwisho wako.
Kwa upande wangu, baada ya...
Ni kweli hainihusu kabisa lakini lazima uambiwe ukweli bana.
Mwanaume unatakiwa uwe tofauti na jinsia ya kike bana.
Mods ni Vyema na haki sasa mkawaorodhesha watu wenye I'd zaidi ya moja maana...
Ngudu wa jamii habari zenu.
nimeanza ufugaji wa paka nilianza na paka majike manne na dume moja sasa hv nina paka takribani mia hamsini na natarajia ikifika mwezi wa sita nitaweza kufikisha paka...
Baada ya kujichangachanga kama laki 2 na nusu, nikapanga niende pangani tanga kumsaka mtaalamu (mganga wa kienyeji) kwaajili ya tiba ya maradhi yaliokuwa yakinisumbua pamoja na kuweka mambo yangu...
Tangu Jumamosi nilidhani wangelipwa, lakini hadi leo kimya. Isije kuwa wameshalipwa wakaamua kunyamaza.
Biashara imekuwa ngumu jamani—wadeni wangu, kama mmepokea malipo, tafadhali msinisahau.
Hello everyone 👋
Sorry for the late info…
But after deep thinking and unstoppable pressure from society — finally, my big day is here.
We’ve come a long way together in this forum, so I had to...
Happy birthday Darling.
I'm not good in writing sorry for this. To me wewe ni special gift and I always thanks God to have you🥰🥰. You know how much I love you.
Mungu akupe maisha Marefu My...
Kwema wakuu. Huu ni Uzi maalumu kwa ajili ya bar zenye wahudumu wazuri nchini Tanzania.
Weka la bar, mtaa ilipo, wilaya na mkoa.
Naanza Mimi : ONE POINT ipo Chanika wilaya ya Ilala jijini Dar...
for educational purposes and enjoyment ... Heb tutiririke jumbe ambazo kwako wewe huwa ni za kifala as per your perceptions.
Tukiziona tujirekebishe ili tusionekane mazutwa kwa watu.
Mimi mtu...
Kuna mtu huko inbox ameniita wa kienyeji, nimemuuliza inamanisha nini amekataa kuniambia.
Naomba mniambie hili jina linamaanisha nini? au ni tusi?
Nimejaribu kusearch humu JF nakutana na nyuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.