Kwenye pita pita zako mtandaoni unakutana na hii picha, unapo-zoom na kutazama vizuri unamuona bi mkubwa naye yupo hapo chini.
Utafanya nini mkuu? π comment ziwe fupi fupi
Wakuu karibun mtaje vitu ambavyo hamtovifanya mpaka nchi hii ikombolewe. Binafsi naanza kama ifuatavyo
1. Sitofanya mapenzi mpaka October 29 ipite.
2. Sitoangalia picha au picha mjongeo yoyote...
Sheikh anawezaje sema haya maneno nasi tukamkubalia tu? Mbona ni mkanganyiko mkubwa?
=====
JamiiCheck imefuatilia kipande hicho cha video na kubaini kuwa kimekatwa kutoka kwenye video ndefu...
Je una lip la ku share nasi? Maana unaweza kusita kulitoa sasa na ukose muda wa kulitoa milele
Usiku mwema mpendwa Tanganyika.. Wewe ndie mama yetu na baba yetu.. Tunakupenda sana
Wakuu,
Naombeni kujuzwa changamoto za nyumba kama hizi. Chache nnazozijua:
Ukiibiwa hamna shahidi ila ukivusha manzi ndo utajua kama unaishi na milard ayo
Kila mtu ni DJ na usimwambie...
Huu sio uungwana hata kama nimelewa nimeagiza ya kuondoka nayo hom, nafika hom nakuta nyama iko hivi , ustaabu gani huu? kwahiyo Nile mindizi nikalale nyama imekua mkaa [emoji49][emoji49][emoji49]...